BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Kwahyo nani anamagoli mengi hapo??
Copa america kule siku hizi hakuna kitu ni sawa na Afrika tu.
Ndiyo maana timu kupigwa 5+ ni kawaida tu.
Mambo yote Ulaya bana, hao wengine wasindikizaji tu.
Unaota bila shaka.Wangekuwa wasindikizaji Albiceleste wasingefika final kule Brazil, Higuain tu ndiye alituangusha ile siku..sikilizia sasa Copa America inaenda wapi, na World Cup Russia tunaisubiri uone wazee wa tiktak watakavyowaonyesha timu pinzani mpira unavyochezwa..Vivaa Albiceleste Vivaa The King
Cr7 is the best of all.... [emoji123][emoji61]
messi ni shiiiiidaaaaaaa vyenga vingi, magoli shazi, hakuna ubinafsi, vikombe chungu mbovu na nizamu ya kutosha...huyu panya hatari sana
Umeona mkuu yani wanabishana na ukweliUmempatia kwelikweli na hatokuijia tena,
Umeona mkuu yani wanabishana na ukweli
Weka na ile ya 8 players wa Real madrid wamemzunguka mfalme, akiwemo na ronaldo wao
Ronaldo ni kiberenge tuuu hamna lolote, kufunga magori ndo kunamsaidia na penyewe mpaka awaminye akina benzima na bale...ronaldo hana uwezo wa kuwatoka hata mabeki wawili haweziiiii...messi ana uwezo wa kuwatoka hata mabeki 8
[emoji1] [emoji2] [emoji2] huwa anawaonea sana hawa jamaaa