Tatizo unatoa vitu kichwani na huna Data.
1. Wales na France ndio timu pekee zenye maGoli mengi kupita Portugal, hivyo timu ya tatu kwenye magoli si Haba.
2. Hao uliowataja Wana Goli 3 Wana Assist Kama Ronaldo pia? Maana Ronaldo ni wa pili kwa magoli na ni wa pili kwa assist pia.
3. Si kweli pia eti Portugal wamefungwa Goli chache Kuna mechi wamedroo Hadi 3-3 Tena magoli ya kizembe zembe Wana concede,
Angalia hii video mechi ya kudecide kwamba Portugal anafuzu ama anatoka mara 3 wanakuwa nyuma na Ronaldo anawaokoa