Lionel Messi Hana Sifa za Uongozi kama za Cristiano Ronaldo

Lionel Messi Hana Sifa za Uongozi kama za Cristiano Ronaldo

You are nailed it effectively Mr [emoji120]
Messi is just a regular player outside BARCA, don’t deserve to be mentioned in the same line as Pele, Maradona, Ronaldinho and other great players in the World.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Asante sana Mzee Baba [emoji1]
Mkuu kuna Utofauti Mkubwa sana wa Malezi, Elimu na Utamaduni Kati ya Ulaya (CR) na America Kusini (LM).
America kusini wachezaji wake wote Dizaini ya Wachezaji wa Manzese, TMK nk so CR usimlinganishe na hao Machoko kitabia na haiba.
 
Kuweka ushabiki kando, binafsi nimekuelewa sana tu.Ni sawa na Kumpa ukiranja mkuu anayeshikaga ukwanza darasani bila kujali uwezo wake wa kiuongozi.Hongera sana mleta mada...!
Timu Andunje wakikusapoti ktk hili basi watakuwa siyo watoto wadogo tena kiupeo.
 
-Ameibeba timu yake kuipeleka world cup vs Sweden kwenye playoff anafunga Hat trick mbele ya Ibra. Moja Kati ya mechi Kali Sana kupata kuiona.
-kwenye Euro mechi karibia zote either anafunga ama anatoa pasi ya Goli kasoro fainali. Na fainali yenyewe alivyoumia akawa kocha yeye.

Portugal Sasa hivi ni wazuri Wana young players ambao Wana potentials kubwa Sana, ila at that time Ronaldo alikuwa akicheza na watu wa kawaida Sana Kama Eder, carvalho, Silva, joao Mario, quaresma etc

Ukitaka nitakuekea clips za Euro jinsi Ronaldo alivyoibeba timu yake Hadi fainali
Kabisa Chifu, alikuwa nnje akihamasisha wachezaji wajitume na kuwapatia morali wa juu akiwa majeruhi hadi Ureno walibeba ndoo [emoji120]
 
-Ameibeba timu yake kuipeleka world cup vs Sweden kwenye playoff anafunga Hat trick mbele ya Ibra. Moja Kati ya mechi Kali Sana kupata kuiona.
-kwenye Euro mechi karibia zote either anafunga ama anatoa pasi ya Goli kasoro fainali. Na fainali yenyewe alivyoumia akawa kocha yeye.

Portugal Sasa hivi ni wazuri Wana young players ambao Wana potentials kubwa Sana, ila at that time Ronaldo alikuwa akicheza na watu wa kawaida Sana Kama Eder, carvalho, Silva, joao Mario, quaresma etc

Ukitaka nitakuekea clips za Euro jinsi Ronaldo alivyoibeba timu yake Hadi fainali
Hehehe ushabiki uliopitiliza sasa , kwa hivyo ukiwa good leader lazima timu yako ibebe kombe? Mbona Gerald na ugood leader wake hakuwahi kushinda EPL?

Hayo ni mambo ya bahati tu wala hakuna cha good leader hapo , timu inahitaji ubora na kujituma kwa wahusika tu na mchezaji siye atakayewafanya watu wacheze kama anavyocheza yeye.

Wapo makapteni wazuri ila hawajawahi kushinda kombe la dunia wala EURO
 
Hehehe ushabiki uliopitiliza sasa , kwa hivyo ukiwa good leader lazima timu yako ibebe kombe? Mbona Gerald na ugood leader wake hakuwahi kushinda EPL?

Hayo ni mambo ya bahati tu wala hakuna cha good leader hapo , timu inahitaji ubora na kujituma kwa wahusika tu na mchezaji siye atakayewafanya watu wacheze kama anavyocheza yeye.

Wapo makapteni wazuri ila hawajawahi kushinda kombe la dunia wala EURO
Wapi kumeandikwa ukiwa good leader lazima timu ichukue kombe?
 
Wapi kumeandikwa ukiwa good leader lazima timu ichukue kombe?
Hehehe , then what are you blaming here unapokuja na post za Messi kutokuwa good leader? Kama si good leader wewe unatumia kigezo gani kupima?
Amecheza fainal nne akiwa capten na kabla ya kuwa kapten na zote kapoteza sasa u good leader wake unahusianaje na kutofanikiwa kwa timu ya Argentina?

Kubalini katika maisha huwezi pata kila kitu
 
Hehehe , then what are you blaming here unapokuja na post za Messi kutokuwa good leader? Kama si good leader wewe unatumia kigezo gani kupima?
Amecheza fainal nne akiwa capten na kabla ya kuwa kapten na zote kapoteza sasa u good leader wake unahusianaje na kutofanikiwa kwa timu ya Argentina?

Kubalini katika maisha huwezi pata kila kitu
Wapi nimeandika Messi sio good leader? Sikuelewi elewi unatunga vitu na kujijibu as if nimesema mimi
 
Tukisema tutafute watu wasio na sifa za uongozi lakini wamepewa nyadhifa za uongozi. Kuna nchi zitajikuta zinakosa marais
 
Wapi nimeandika Messi sio good leader? Sikuelewi elewi unatunga vitu na kujijibu as if nimesema mimi

Soma ulichokiandika , nakunukuu


Argentina inachokosa kikubwa ni uongozi
Kwenye uongozi kinachohitajika ni
  1. Inspiration - aweze kuwatia hamasa wenzake hata wakati wa hali ngumu
  2. Kujengewa wachezaji positive and winning mentality
  3. Communication - aweze kuwa mdei laini na rahisi ya mawasiliano- kusiwepo na gap ya mawasiliano yenye kusababisha mahusiano mabaya, magomvi na kutoaminiana
  4. Unification au kujenga timu kila mtu ajione ni sehemu ya timu na peke yake hakuna mafanikio
  5. Uzalendo - kwamba mafanikio ni lazima kwa ajili ya familia, marafiki, ndugu, nchi na awe tayari kujitoa mhanga kwa ajili ya hiyo
Hizo sifa zote Messi hana
  1. Messi is not a good communicator
  2. Ukimya wake unapitiliza na mara nyingi hana muda wa kuwatia ari na hamasa wenzake
 
Back
Top Bottom