Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo tuzo inatolewa baada ya kupiga kura. Messi anao ushawishi mkubwa kuliko benzema katika ulimwengu wa michezo.Hapana. Kwa mwaka huu haina mjadala BENZEMA anabeba. Messi mwenyewe majuzi kakiri kuwa mwaka huu hakuna ushindani kwenye ballon d or maana benzema hana wa kumshinda. Namkubali messi mno ila hii tuzo mwaka huu apewe tu benzema
Ndio ana ushawishi lakini huo ushawishi unaendana na mafanikio ya msimu husika ila acha tuone itakavyo kuwaTatizo tuzo inatolewa baada ya kupiga kura. Messi anao ushawishi mkubwa kuliko benzema katika ulimwengu wa michezo.
Kustahili na kupata ni vitu viwili tofauti. Tuzo anapewa atakayejipatia kura nyingi. Benzema ana rekodi mbaya ya nidhamu hivyo Messi anaweza akamshinda ushawishi.This is joke, Benzema anastahili msimu huu
Atapata kura kumzidi Messi?mbeleko fc,wizi fc hebu mpeni benzema tuzo yake
Ww jamaa ni team messi tu hakuna lolote benzema anarekodi gani mbya ya kinidhamu?Kustahili na kupata ni vitu viwili tofauti. Tuzo anapewa atakayejipatia kura nyingi. Benzema ana rekodi mbaya ya nidhamu hivyo Messi anaweza akamshinda ushawishi.
Mkuu labda wewe hufuatilii mpira. Benzema hata timu ya taifa alikuwa haitwi kwasababu ya maswala ya nidhamu.Ww jamaa ni team messi tu hakuna lolote benzema anarekodi gani mbya ya kinidhamu?
World cup ndio anaichukua mwaka huu na kustaafu rasmi timu ya taifa.Hata asipochukua messi, however! Ameshachukua vyote, na w/c anachukua.
Kweli mkuu, kila mtu anataja magoli tu. Vigezo ni vingi.Halafu wadau wengi hawajui ballon d'Or inatolewa kwa sifa gani!
Wanakimbilia magoli😁
[emoji23] [emoji1787]Tunawasubiria mtakapokuja mkilialia baada ya Messi kubeba tuzo..[emoji1787]
Hata iweje watu inabidi wajiandae kisaikolojia tu kuwa enzi za Messi zimeishia hapo!!! Msimu mzima kwenye ligi ya ufaransa ana magoli 6 tu. AQmeshindwa kuibeba timu yake kwenye ligi ya mabingwa!! Huu ni mwaka wa BENZEMA tupende tusipende!!Mara baada ya mechi ya jana kwenye UEFA Cup of Champions (Finalissima) wachezaji wa Argentina walionekana kumbeba Messi na kumrusha juu katikati yao.
Kwa kawaida hili huwa anafanyiwa kocha wa timu kama ikitokea wamebeba kombe. Kitendo hiki kinatafsiriwa kwamba Messi ndiye aliyeibeba timu.
Messi alitoa assist mbili kwenye mchezo huo wa jana na amebeba Lique 1 kwa ngazi ya klabu. Benzema kabeba UCL na Laliga.
Tutarajie Messi kushinda tuzo ya msimu huu kwasababu huwa anapendwa UEFA.
Muda utatupa majibuMessi hastahili kuwemo hata top 3.
Argentina siyo timu ya kubeba kombe la dunia!!Messi na uefa
Pipa na mfuniko
Ikitokea messi kabeba world cup. IMEISHA
Haujawaona Argentina tangu walipopambana kubeba Copa America na sasa ni wazuri sana.Argentina siyo timu ya kubeba kombe la dunia!!