Lionel Messi kumpiku Karim Benzema kwenye tuzo ya Ballon d'or mwaka 2022

Lionel Messi kumpiku Karim Benzema kwenye tuzo ya Ballon d'or mwaka 2022

Daah ila kama messi atahusishwa na hizi tuzo basi itakua ni zinatolewa kwa ukubwa wa jina tu.
 
Haujawaona Argentina tangu walipopambana kubeba Copa America na sasa ni wazuri sana.

Italy wamefungwa jana, na hawatakuwepo wc. Timu zilizobakia inayoweza kuwasumbua labda ni england na spain. France sio wakali sana kwasasa, germany na belgium wameisha na brazil hawaeleweki.

Anabakia senegal tu kama mshindani mkubwa wa Argentina.
German usikalili. Ktk taifa ambalo mipango Yao ya soccer hawana kelele ni German.

Subiri shughuli yake
 
Kwakutumia kigezo namba 8 basi Messi ndio anastahili.

6, 7 na 13 ni vigezo?

Vingine umerudiarudia tu vya UEFA hapo mara kafunga kama ronaldo mara sijui top 3 mara hivi mara vile..🤣

Anastahili kwa njia gani? Benzema amebaba CHampion League mara 5, Messi amebeba 4 tu.
 
Mashabiki wa Messi wamekua ni vichaa, uwendawazimu unawanyemelea.
 
Haujawaona Argentina tangu walipopambana kubeba Copa America na sasa ni wazuri sana.

Italy wamefungwa jana, na hawatakuwepo wc. Timu zilizobakia inayoweza kuwasumbua labda ni england na spain. France sio wakali sana kwasasa, germany na belgium wameisha na brazil hawaeleweki.

Anabakia senegal tu kama mshindani mkubwa wa Argentina.

Argentina hawana uwezo wa kuzifunga France wala Germany.
 
Back
Top Bottom