NITAKUKAMATA TU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 347
- 432
Argentina siyo timu ya kubeba kombe la dunia!!
Nimeamka na habari ya uhakika ndio hiyo hapo."acha kuota,amka kumekucha"
German usikalili. Ktk taifa ambalo mipango Yao ya soccer hawana kelele ni German.Haujawaona Argentina tangu walipopambana kubeba Copa America na sasa ni wazuri sana.
Italy wamefungwa jana, na hawatakuwepo wc. Timu zilizobakia inayoweza kuwasumbua labda ni england na spain. France sio wakali sana kwasasa, germany na belgium wameisha na brazil hawaeleweki.
Anabakia senegal tu kama mshindani mkubwa wa Argentina.
Kwakutumia kigezo namba 8 basi Messi ndio anastahili.
6, 7 na 13 ni vigezo?
Vingine umerudiarudia tu vya UEFA hapo mara kafunga kama ronaldo mara sijui top 3 mara hivi mara vile..🤣
Haujawaona Argentina tangu walipopambana kubeba Copa America na sasa ni wazuri sana.
Italy wamefungwa jana, na hawatakuwepo wc. Timu zilizobakia inayoweza kuwasumbua labda ni england na spain. France sio wakali sana kwasasa, germany na belgium wameisha na brazil hawaeleweki.
Anabakia senegal tu kama mshindani mkubwa wa Argentina.
Matokeo ya world cup hayahusiki.. Clueless!Messi na uefa
Pipa na mfuniko
Ikitokea messi kabeba world cup. IMEISHA HIYO