Lionel Messi ni Mungu wa mpira ulimwenguni na Cristiano Ronaldo ni Lucifa wa mpira duniani

Lionel Messi ni Mungu wa mpira ulimwenguni na Cristiano Ronaldo ni Lucifa wa mpira duniani

Ronaldo ana magoli mengi ya mipira ya adhabu kuliko mess, Ana magoli mengi ya vichwa kuliko Mess.
Ana uwezo wakutumia miguu yote miwili kwa ufasaha katika kufunga magoli wakati mess ni marachache kufunga kwa mguu wa kushoto.

Ronaldo Ana uwezo wa kufunga mbaka mita 35 kwa mashuti wakati mess mbaka asogelee 18, kumbuka mechi ya man United na Benfica. Ronaldo haitaji kuzungukwa na nyota wenye vipaji ili ang'are yeye anahitaji mpira tu ili aing'arishe timu yake.
Ronaldo alisha acha mpira wa kukimbianao na kupigachenga kule Man Utd wakati mess ndio anacheza sasa.

Mess ana vingi vya kujifunza kwa Ronaldo wakati Ronaldo hana cha kujifunza kwa mess.
Unamaliza nguvu zako kuwaelimisha hawa kima Hawatakuelewa wamejawa na muhemko wa hat tric hawajawah ona
 
Kuna ' tetesi ' duniani kwamba huyu ' Mbebwaji ' huwa ' anabebwa ' Kibaiolojia na Wanaume ' walioshiba ' kabisa duniani. Ngoja Team Mbebwaji waje Mkuu labda watakuwa na majibu ya kutosha Kwetu Sisi Team Kipaji toka Mbinguni / Lionel Messi.

Sijaona kama Lionel Messi Ulimwenguni.
Wapumbavu nyinyi mmenisababishia kikohozi kwa kucheka.

By the way, huyu Messiah huwa hachezei mpira kwa kushindana na mtu, yeye anajichezea tu mpira wake. Tukirudi kwa 'mbebwaji', yeye hujikamua mishipa ya koo hadi washeli mnamlegea ili tu ashindane na Messiah. Na pia, mbebwaji ana tabia ya ujivuni
 
Kuna ' tetesi ' duniani kwamba huyu ' Mbebwaji ' huwa ' anabebwa ' Kibaiolojia na Wanaume ' walioshiba ' kabisa duniani. Ngoja Team Mbebwaji waje Mkuu labda watakuwa na majibu ya kutosha Kwetu Sisi Team Kipaji toka Mbinguni / Lionel Messi.

Sijaona kama Lionel Messi Ulimwenguni.
hakuna source ya ukweli iliothobitisha taarifa yako!zaidi ya blabla na chuki za kumchafua mtu!pili hakuna anaekataa kua messi hana kipaji ila utofauti unakuja!moja amezaliwa na uwezo na mwengine anajituma!sasa kazi kwako!we ukipenda tembele yule atapenda kisamvu!!.
 
Messi ajifunze kwa Ronaldo? hahaha ajifunze kitu gani labda kwa mfano?
Ana vitu vingi sana vya kujifunza. Kwanza kujitambua yeye ni nani. Kama kiongozi wa timu na taifa linamuangaliaje. Mtu kama Messi hakuwa wa kukata tamaa mpaka kufikia kustaafu timu ya taifa kisa wamekosa ubingwa wa America. Mpaka aje abembelezwe ndio akubali.
 
Sijui utajitofautishaje na mpinga Kristo , sijui utajitofautishaje na mdharau Mungu ,sijui utajitofautishaje na muasi shetani.

Katika ufahamu na mafundisho mbalimbali ya maisha na elimu ya dini tumekuzwa kwa kulitukuza,kuliheshimu ,kuliheshimu na kuliabudu jina la Nyumba wetu yaani MUNGU.

Sasa kwako nimerudia Mara mbilimbili kusoma Uzi wako nikijaribu kutafuta unafananisha nn au una maana gani? Nimeshangazwa na uandishi wako wa neno Mungu lenye kuanza na herufi kubwa kumfananisha na Messi.

Hakika huku ni kutukosea heshima na dharau iliyojaa kiburi kisa soka kumlinganisha binadamu na Muumba wetu.

Binafsi ningekuomba ujitafakari na utumie mifano mwingine mingi na bora kumsifu Messi na kumponda Cr7 na jamii ya wapenda soka ingekuelewa
 
Mie ni mshabiki wa messi mnoo, lakin siwez kujaribu mapenzi yangu niyaambukize kwa wengine.

Huo ni msimamo wako wewe..

Simkubali ronaldo ila simchukii.
 
87cc65fb419083e00d9b0fcae7d2e232.jpg

Huyu mwingine yuko busy anabebwa huko Morocco
Halafu jamaa aliyembeba mbona kama kuna embe linataka kudondoka hapo katikati mwa kaptula yake?
 
Sijui utajitofautishaje na mpinga Kristo , sijui utajitofautishaje na mdharau Mungu ,sijui utajitofautishaje na muasi shetani.

Katika ufahamu na mafundisho mbalimbali ya maisha na elimu ya dini tumekuzwa kwa kulitukuza,kuliheshimu ,kuliheshimu na kuliabudu jina la Nyumba wetu yaani MUNGU.

Sasa kwako nimerudia Mara mbilimbili kusoma Uzi wako nikijaribu kutafuta unafananisha nn au una maana gani? Nimeshangazwa na uandishi wako wa neno Mungu lenye kuanza na herufi kubwa kumfananisha na Messi.

Hakika huku ni kutukosea heshima na dharau iliyojaa kiburi kisa soka kumlinganisha binadamu na Muumba wetu.

Binafsi ningekuomba ujitafakari na utumie mifano mwingine mingi na bora kumsifu Messi na kumponda Cr7 na jamii ya wapenda soka ingekuelewa

Ukiwa na akili za ' Funza ' siku zote utashindwa kumuelewa GENTAMYCINE na kumwona wa ajabu wakati ukweli ni kwamba Uandishi wangu na uibuaji wangu wa mijadala humu JF imakuwa ni ya ' Kifikirishi ' zaidi na ' Chokonozi ' ili Watu waweze ' Kufunguka ' na ' Kujadili ' nje ya box.

Jitahidi sana Mkuu uimarishe uwezo wako wa IQ ili siku zingine uwe unanielewa ' Purely Talented and Charismatic Fella ' Mimi GENTAMYCINE vinginevyo utazidi tu ' Kuteseka ' nami humu.
 
Narudia tena dogo ubishi haukusaidii hali yakuwa bado hujajua nenda English Course kwa faida yako.
Kijana wakiume kama wewe badala ya kuandika "vizuri" unaandika "vizury" jitathmini upya.
Tatizo lenu watu wa bara mmechelewa sana mko nyumaa kichizii
 
Usitulazimishe tukubaliane na ushetani wako, wampendaa? Kafunge naye ndoa. Shenzi zako
Mkuu majuzi umewatukana wanajeshi wetu walinda Amani huko Congo....!!
Hapa tena (kwa swala la Burudani tu) unatutukania kijana wetu (member mwenzako) matusi mazito, vipi Mkuu una tatizo gani limekukuta..!?
 
Ukiwa na akili za ' Funza ' siku zote utashindwa kumuelewa GENTAMYCINE na kumwona wa ajabu wakati ukweli ni kwamba Uandishi wangu na uibuaji wangu wa mijadala humu JF imakuwa ni ya ' Kifikirishi ' zaidi na ' Chokonozi ' ili Watu waweze ' Kufunguka ' na ' Kujadili ' nje ya box.

Jitahidi sana Mkuu uimarishe uwezo wako wa IQ ili siku zingine uwe unanielewa ' Purely Talented and Charismatic Fella ' Mimi GENTAMYCINE vinginevyo utazidi tu ' Kuteseka ' nami humu.
Ahsante kwa kuziona akili zangu ni za funza !!!
Lkn nimekupa funzo kuu kama una akili fikirishi au huna hiyo akili fikirishi utakuwa taratibu umeipata.

Kamwe huwezi kuwa na akili fikirishi ukatumia uandishi wa neno Mungu (yenye uandishi huu) kumuita binadamu !(fikilishi ni mungu)
 
Takwimu zinaonesha watu wanao tumia mkono au mguu wa kushoto huwa wana nguvu ya ziada katika kazi zao na siku zote wanaweza, mfano.

Obama
Messi
Rafael
Maradona
Mike Tyson
Quavo huncho
 
Mkuu majuzi umewatukana wanajeshi wetu walinda Amani huko Congo....!!
Hapa tena (kwa swala la Burudani tu) unatutukania kijana wetu (member mwenzako) matusi mazito, vipi Mkuu una tatizo gani limekukuta..!?

Bado yupo katika muendelezo wa maadhimisho ya Siku ya Wendawazimu iliyokuwa na Kilele chake Jumatatu au Jumanne Mkuu.
 
Ahsante kwa kuziona akili zangu ni za funza !!!
Lkn nimekupa funzo kuu kama una akili fikirishi au huna hiyo akili fikirishi utakuwa taratibu umeipata.

Kamwe huwezi kuwa na akili fikirishi ukatumia uandishi wa neno Mungu (yenye uandishi huu) kumuita binadamu !(fikilishi ni mungu)

Naona bado ni mwendelezo ule ule wa ' akili ' za ' Funza ' naziona.
 
Takwimu zinaonesha watu wanao tumia mkono au mguu wa kushoto huwa wana nguvu ya ziada katika kazi zao na siku zote wanaweza, mfano.

Obama
Messi
Rafael
Maradona
Mike Tyson
Quavo huncho

Umemsahau na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya Mkuu nae pia ni ' malefti ' vile vile.
 
Back
Top Bottom