Lipi Bora?

Lipi Bora?

Dunia imeharibika sana!
Wakati nasoma hii, nimekumbuka kisa cha mwanafunzi mmoja.... mtoto wa kiume ambaye kushuka kwake masomo kumefanya kazi ya ziada ifanyike.Kilichogundulika kimetisha!
Baba mzazi kaamua kumgeuza " mke"...... kwa kumdanganya " these are things daddies do with their sons..moms do special things with daughters..so dont tell anyone!"..... tuliosimuliwa kisa hiki tuliangua kilio......
having said that... huyo bwana bora akapumuliwe/pumulie wenzie huko nje!....
Binafsi im just fed-up na moral decay of our society!..nyumba ndogo is no longer an issue/threat! kuna surprises nyingi mno.... ndoa huenda zitakuja kufa tu siku moja!..wengine kazi zetu zinatufanye tuone na kusikia mengi kiasi ambacho tunashindwa hata kushangaa tena.

Thanks very much WOS! Ndio maana watu katika mazingira ya kawaida yanafanya waone kwamba Babu Seya alionewa au alibambikiziwa kesi. Sasa hebu ona hapo kwenye RED, je katika hali ya kawaida inaweza kuingia akilini baba mzazi kumfanyia mwanae wa kiume kitendo kama hicho? Huyo inabidi akapimwe akili kwanza!
 
Dunia imeharibika sana!
Wakati nasoma hii, nimekumbuka kisa cha mwanafunzi mmoja.... mtoto wa kiume ambaye kushuka kwake masomo kumefanya kazi ya ziada ifanyike.Kilichogundulika kimetisha!
Baba mzazi kaamua kumgeuza " mke"...... kwa kumdanganya " these are things daddies do with their sons..moms do special things with daughters..so dont tell anyone!"..... tuliosimuliwa kisa hiki tuliangua kilio......
having said that... huyo bwana bora akapumuliwe/pumulie wenzie huko nje!....
Binafsi im just fed-up na moral decay of our society!..nyumba ndogo is no longer an issue/threat! kuna surprises nyingi mno.... ndoa huenda zitakuja kufa tu siku moja!..wengine kazi zetu zinatufanye tuone na kusikia mengi kiasi ambacho tunashindwa hata kushangaa tena.

jamani huu ni unyama kabisaaaaaaaaaaa!!! tumemzidi hata shetani binadamu sie.

kwa kweli kiwango cha mmomonyoko wa maadili tulichofikia kina katisha tamaa sana.
Pole WOS kweli kazi yako ngumu, one can just tell!!!
 
oooops Twin,ngoja nikamchukue lulu xul
wala hata usiwe na wasiwasi hakuwa akifanya kitu mbaya wala....
ujue nimeona hii weather nikaesema ooooh here we go, tunaanza kuumwa sasa hivi!!!
take a gud care of urself for us twin eeh!!
 
ridhika basi, tunapoelekea naona utakuwa above the law sasa!!!

Nimeridhika!
icon10.gif
 
Baba mzazi kaamua kumgeuza " mke"...... kwa kumdanganya " these are things daddies do with their sons..moms do special things with daughters..so dont tell anyone!"..... tuliosimuliwa kisa hiki tuliangua kilio

So sad and shocking - hamna mental case kwenye family tree?
 
Unatakiwa ku-balance trial kwanza kabla ya ku-balance ma-sheet!! 🙂

ooh nimekusoma, tatzo lako hauko consistent kwenye ufundishaji, sidhani kama una wito.............
 
ooh nimekusoma, tatzo lako hauko consistent kwenye ufundishaji, sidhani kama una wito.............

Hahahahaha! Wito ninao ila sikujua kama natakiwa kufundisha! 🙂
 
So sad and shocking - hamna mental case kwenye family tree?

That is a very good question Baba Enock! Kinatakiwa kitafutwe kiini cha tatizo. Ndio maana siku hizi wanasema the only person you can trust with your kids is yourself!
 
oooops Twin,ngoja nikamchukue lulu xul

yeuwiii hope hujakachelewesha kamrembo!!

take care of yourself maana mikuki isije ikakubana tena!! later swtushka!!
 
sasa wito wa nini kama hujui unatakiw akuufanyia nini...nyway now u knw!!!

Mmmh! Nahisi pengine hata sijui maana ya wito kama ndiyo hivyo! Anyway, at least now I know that I am suppossed to share my knowlege on something with bht...........!!!
 
Mmmh! Nahisi pengine hata sijui maana ya wito kama ndiyo hivyo! Anyway, at least now I know that I am suppossed to share my knowlege on something with bht...........!!!

thats important and your willngness shows u have a 'call' inside!!!

mie natangulia kule viwanja vyako leo nikaone kinachokupelekaga ni nini hasa!! huishi kwenda kw akisingizio cha live band, hebu nikaione leo......
 
thats important and your willngness shows u have a 'call' inside!!!

mie natangulia kule viwanja vyako leo nikaone kinachokupelekaga ni nini hasa!! huishi kwenda kw akisingizio cha live band, hebu nikaione leo......

Wooooooooooow! Safi sana! Nimekugongea SENKSI!
 
Thanks very much WOS! Ndio maana watu katika mazingira ya kawaida yanafanya waone kwamba Babu Seya alionewa au alibambikiziwa kesi. Sasa hebu ona hapo kwenye RED, je katika hali ya kawaida inaweza kuingia akilini baba mzazi kumfanyia mwanae wa kiume kitendo kama hicho? Huyo inabidi akapimwe akili kwanza!
its a shame that we are living in a world full of uozo!
I could tell you more of such tales utaumia!
labda kwa kuwaonyesha kiwango cha uharibifu.... another case,... a 15 year old boy kawekwa kinyumba na kigogo mmoja mwenye wadhifa mkubwa. Mtoto keshaathirika....na anajua kaathirika....hasomi wala haoni sababu ya kwenda shule maana kwenye bank account an 5 m.( to him its a lot!)..amepangiwa nyumba iko fully furnished... anavalishwa expensively.... ila ( listen/read gud here!!) when the kigogo is away kasafiri..the boy cheats with other men..and he feels no sorry kama wataambukizwa maana yeye naye kaambukizwa!.... jamani..halafu kuna watu wanadhani uozo huu siyo ishu... watu hao nao wana wake zao.... fikiria una mume ..kampitia kijana huyu..kisha anakurudia nyumbani... no wonder wanawake wako radhi kujua hali zao za afya kwa kupima mara kwa mara...
 
Najihisi leo nitalipa kodi sana........nimekamata kisusio sasa nipo fiti kama lile tingatinga la jiji.

Sorry...off point sijui.
 
its a shame that we are living in a world full of uozo!
I could tell you more of such tales utaumia!
labda kwa kuwaonyesha kiwango cha uharibifu.... another case,... a 15 year old boy kawekwa kinyumba na kigogo mmoja mwenye wadhifa mkubwa. Mtoto keshaathirika....na anajua kaathirika....hasomi wala haoni sababu ya kwenda shule maana kwenye bank account an 5 m.( to him its a lot!)..amepangiwa nyumba iko fully furnished... anavalishwa expensively.... ila ( listen/read gud here!!) when the kigogo is away kasafiri..the boy cheats with other men..and he feels no sorry kama wataambukizwa maana yeye naye kaambukizwa!.... jamani..halafu kuna watu wanadhani uozo huu siyo ishu... watu hao nao wana wake zao.... fikiria una mume ..kampitia kijana huyu..kisha anakurudia nyumbani... no wonder wanawake wako radhi kujua hali zao za afya kwa kupima mara kwa mara...

WOS,

Hapa sasa week end yangu umeanza kuharibika. Mke asiye na hatia anateketea na watoto wanaitwa OVCs. Very sad indeed! Tuendelee J3, ngoja niwahi wanangu!
 
Back
Top Bottom