Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Wife alinifundisha falsafa moja siku zote huwa ananikataza kuzoeana na watu wa mtaani ( To be cheap)Yaani kama kuna Siku ambayo GENTAMYCINE nitajikita Kusoma sana tu Comments zenu basi ni katika huu Uzi wa leo.
Wewe Ni Mimi mtupu kabisa..Binafsi huwa nabalance mambo. Tutafahamiana ila hatutazoeana. Sijitengi na pia sijipendekezi, ukijipendekeza sikufukuzi ila sikukumbatii au kuruhusu uwe karibu. Ukiwa unapenda kuomba hela nakukopesha kiasi ambacho hakiniumizi ila wewe utaanza kunikwepa ilihali sikutafuti.
Mademu wa hapa Kampala Uganda nawaogopa sana Mkuu kwani ni Wazuri na wana Makalio mazuri, ila wana Moto mno.Pamoja sana Mr talented and entertainer..
Kama baridi ni kali bhas tukupatie bendera uiwakilishe Nchi vyema huko kwa kupiga show ya kuelewaka.
Mimi hili la Kuzoeana na Watu wa Mtaani limenigharimu mno Mkuu kiasi kwamba wananiona ni Mwenzao ( Cheap ) wakati kumbe Mimi hulka yangu ( na hata Marafiki na Ndugu zangu Watatu hapa JamiiForums wanaoijua hii ID yangu ) wanajua kuwa GENTAMYCINE napenda mno Kujichanganya na Watu wa Rika na Hali zote za Kimaisha na sipendi Makuu au Ukubwa au Kujulikana labda Status yangu ya Kifamilia na Kimaisha ila cha Kushangaza hao ninaowafanyia yote haya wananiona kama Mpuuzi fulani au Chizi fulani vile.Wife alinifundisha falsafa moja siku zote huwa ananikataza kuzoeana na watu wa mtaani ( To be cheap)
Mimi huwa sizoeleki na siluhusu mazoea na Ni MTU mwenye mipaka (boundaries) Ila Ni MTU wa watu najumuika na watu
Kwa Sasa Ni hayo
What a Logical comment. Asante sana Mkuu na nimekukubali. Uko vizuri Kichwani.Tatizo linapokuja huku afrika Kuna kuingiliana sana yani Kuna mipaka Fulani unajaribu kuiweka kwenye maisha yako lakini Bado watu huvunja mipaka hiyo, mwanaume mwenye akili timamu lazima Kuna 'boundaries' utajaribu kuziweka lakini hizi people zinajaribu kukatiza kwenye mistari miyekundu kitu ambacho lazima utagombana nao hivyo wanataka uwafuate wao jinsi watakavyo kitu ambacho Kwa mwanaume mwenye akili iliyopevuka hawezi kuruhusu Hilo, hivyo basi ishi kulingana na ww unavyoona inafaa ilimradi huvunji Sheria, humuumizi mtu Wala hujiumizi ww mwenyewe.
Mademu wa hapa Kampala Uganda nawaogopa sana Mkuu kwani ni Wazuri na wana Makalio mazuri, ila wana Moto mno.