joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Daaah. Nilikuwa nawaita freedof camp. Kitambo sanaFree Dogs camp.. FDC
Ommy G hakuwa Solid Ground family na kina Big black, huyu Pig black alitokea FDC nilikuwa najua alitoka mwenyewe kama solo artist na ile ngoma yake ya nini mnataka mazee. Basi mambo ni mengi.Mzee wa nini mnataka mazee... Pig Black, kuna mzee wa lisauti.. Ommy G hao ni baadhi wa wanakundi la Free Doggs Camp
Kipindi hiko ilikuwa haijulikani kama kuna kundi litaitwa weusi.Weusi watoto wa juzi
Nahisi hakuwa mwandishi mzuri wa mistari ingawa alikuwa na sauti ya kuimbia.Pig black alikuwa mkali Sana na style yake sema hakudumu kwenye game
Hawa walikuwa kama watoto wa gheto waliokuwa pamoja, ndio mana mara nyingi waliimba mmoja mmoja kama solo artist, hawakujitanabaisha kama kundi kwa kuimba pamoja mfano Ngwear, Noor n.kChamber squad sijawaona ilikua sio kundi
Nako 2 nako kuna kipindi waliingia kwenye bifu na Mapacha.Nako2nako
Waturutumbi- embu tukumbushe mkuu ili kundi1. Xplastaz
2. Waturutumbi
East Coast Team lilikuwa kundi zuri tu usingekuwa ubeberu wa GK wangeendelea kufanya vizuri zaidi.Je, ni kundi gani la HipHop Bongo linastahili kupewa Crown ya Kundi Bora zaidi kuwahi kutoke?
HBC
Kwanza Unit
Kikosi cha Mizinga
TMK
Manzese Crew
Solid ground Family
Diplomats
Nako2Nako
Xplastaz
Gangwe Mobb
East Coast Team
GWM
Uswahini Matola
Wateule
Wagosi wa kaya
Watengwa
Waturutumbi yupo Stopa na wengine wapo Chuga.Waturutumbi- embu tukumbushe mkuu ili kundi
Daaah. Wachuja nafaka nilikuwa nawakubali sana hawa jamaa, ingawa hawakudumu sana.TMK,Nako2Nako ,Watu pori,Wachuja nafaka,Gangwe Mob,Mabaga fresh na Solid Ground Family wazee wa bush party-
Ila dah Big black wa Solid Ground Family katurusha sanaa kitaani ,sasa hivi yupo home kwa bi mkubwa wake
Kuna kakundi kalikuwa pale TMK nature akaja kukivuruga na TMK wanaume family ile ya mwanzo kabisa. Kilikuwa cha watu wawili. Nimekasahau uzee huuTMK,Nako2Nako ,Watu pori,Wachuja nafaka,Gangwe Mob,Mabaga fresh na Solid Ground Family wazee wa bush party-
Ila dah Big black wa Solid Ground Family katurusha sanaa kitaani ,sasa hivi yupo home kwa bi mkubwa wake
Okeee Man stopa, nimewapata vyema hawa jamaa, uzuri wa wasanii wa mwanzo kabisa walikuwa wanatoka kwa makundi ingawa kwenye kundi unakuta msanii mmoja au wawili ndio wanafahamika sana kuliko wengine, pengine umaalufu wao wanavuka hadi kundi lililowatoa.Waturutumbi yupo Stopa na wengine wapo Chuga.
Mtoa mada umewasahau kidogo Daz Nundaz, nao wameanza ku hustle mda sana.Je, ni kundi gani la HipHop Bongo linastahili kupewa Crown ya Kundi Bora zaidi kuwahi kutoke?
HBC
Kwanza Unit
Kikosi cha Mizinga
TMK
Manzese Crew
Solid ground Family
Diplomats
Nako2Nako
Xplastaz
Gangwe Mobb
East Coast Team
GWM
Uswahini Matola
Wateule
Wagosi wa kaya
Watengwa