Lipi Ni kundi Bora la Muda wote Hip Hop Tanzania?

East Coast Team nilikua nawaelewa sana jamaa unyamwezi wao ila hawajawai kua na nyimbo ya kundi
 
wana hip hop mbona wachache hapo
 
Wote wanajitahidi na walijitahidi ila kwa sasa ni weusi balaa .
 
Kuna kakundi kalikuwa pale TMK nature akaja kukivuruga na TMK wanaume family ile ya mwanzo kabisa. Kilikuwa cha watu wawili. Nimekasahau uzee huu
Gangster With Matatizo (GWM) au unazungumzia wale LWP walioimba nyimbo ya Jela na Mke wa Mtu Sumu?
 
Fat black,Ml chriss na bony love,,hip hop dj's.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…