Lipumba amekua Mwenyekiti wa CUF miaka 26, Mbowe wa CHADEMA miaka 17, Zitto wa ACT Wazalendo miaka 7, Jumla miaka 50

Lipumba amekua Mwenyekiti wa CUF miaka 26, Mbowe wa CHADEMA miaka 17, Zitto wa ACT Wazalendo miaka 7, Jumla miaka 50

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Vyama vya upinzani tunapokua tunalilia demokrasia hapa Tanzania huwa tuna maana gani iwapo kwenye vyama vyetu tu hatuna demokrasia.

Leo viongozi wa vyama vya siasa Tanzania wana combined leadership period of more than 50 years. Kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha mada hapo juu, Lipumba alipewa uwenyekiti wa CUF mwaka 1995, Mbowe alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA mwaka 2004, Zitto alijiteua kuwa kiongozi mkuu na mshauri mkuu (Supreme Leader and Chief Advisor) wa ATC Wazalendo mwaka 2014. Jumla ni miaka 50 na ushee. Sijataka kuunganisha miaka ya Rungwe, Mbatia, Mrema na wengine.

Viongozi hao wao kuwa viongozi wa maisha kwenye vyama vyao ni sawa ila CCM ilichaguliwa na wanachi kuendelea kutawala nchi hii inakua nongwa. Unajiuliza, sasa kama maana demokrasia ni kuchaguana na kuchaguliwa, ndio maana hao viongozi wanachaguliwa na wanachama wao, (Zitto Hachaguliwi wala hapigiwi kura) kuendelea kua viongozi, kwa nini watanzania wakiichagua CCM kuendelea kuwatumikia inakua nongwa?

Huwa najiuliza hivi hawa jamaa kweli wana nia njema na demokrasia ya nchi hii? Mfano Zitto amejipa cheo kisichokua na uchaguzi, yeye ndie mkuu wa chama na mshauri mkuu wa chama, hachaguliwi wala hapigiwi kura, uchaguzi ukiitwa wanachaguliwa wengine ila sio yeye Supreme Leader lakini at the same time CCM wakichaguliwa(angalau basi uchaguzi unakuwepo) inakua nongwa.

Binafsi naamini kuyumba kwa demokrasia nchi hii kunachangiwa sana na viongozi wa vyama vyetu hivi vya siasa kua na tamaa ya uongozi na kutokua ama kuruhusu demokrasia kwenye vyama vyao huku wakitaka demokrasia ya kweli nchini.

Vyama vya siasa, onyesheni demokrasia kwa vitendo ndani ya vyama vyenu. Acheni kuendesha vyama vya siasa ki gangstar ama mafia style kwamba boss mpya atapatikana baada ya kifo cha boss aliekuwepo.
 
Vyama vya upinzani tunapokua tunalilia demokrasia hapa Tanzania hua tuna maana gani iwapo kwenye vyama vyetu tu hatuna demokrasia.

Leo viongozi wa vyama vya siasa Tanzania wana combined leadership period of more than 50 years. Kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha mada hapo juu, Lipumba alipewa uwenyekiti wa CUF mwaka 1995, Mbowe alichaguliwa kua mwenyekiti wa CHADEMA mwaka 2004, Zitto alijiteua kua kiongozi mkuu na mshauri mkuu(Supreme Leader and Chief Advisor) wa ATC Wazalendo mwaka 2014. Jumla ni miaka 50 na ushee. Sijataka kuunganisha miaka ya Rungwe, Mbatia, Mrema na wengine.

Viongozi hao wao kua viongozi wa maisha kwenye vyama vyao ni sawa ila CCM ilichaguliwa na wanachi kuendelea kutawala nchi hii inakua nongwa. Unajiuliza, sasa kama maana demokrasia ni kuchaguana na kuchaguliwa, ndio maana hao viongozi wanachaguliwa na wanachama wao, (Zitto Hachaguliwi wala hapigiwi kura) kuendelea kua viongozi, kwa nini watanzania wakiichagua CCM kuendelea kuwatumikia inakua nongwa?

Hua najiuliza hivi hawa jamaa kweli wana nia njema na demokrasia ya nchi hii? Mfano Zitto amejipa cheo kisichokua na uchaguzi, yeye ndie mkuu wa chama na mshauri mkuu wa chama, hachaguliwi wala hapigiwi kura, uchaguzi ukiitwa wanachaguliwa wengine ila sio yeye Supreme Leader lakini at the same time CCM wakichaguliwa(angalau basi uchaguzi unakuwepo) inakua nongwa.

Binafsi naamini kuyumba kwa demokrasia nchi hii kunachangiwa sana na viongozi wa vyama vyetu hivi vya siasa kua na tamaa ya uongozi na kutokua ama kuruhusu demokrasia kwenye vyama vyao huku wakitaka demokrasia ya kweli nchini.

Vyama vya siasa, onyesheni demokrasia kwa vitendo ndani ya vyama vyenu. Acheni kuendesha vyama vya siasa ki gangstar ama mafia style kwamba boss mpya atapatikana baada ya kifo cha boss aliekuwepo.
CCM ilichaguliwa na NEC,TISS,POLISI.
 
Ndo maana wananchi hawawachagui hawataweza kuingia Ikulu. Wamebaki kugombana wenyewe kwa wenyewe, walau 2010 walikuwa na nguvu kupitia UKAWA, ingawa kwenye baadhi ya majimbo waliweka wagombea wawili wawili hata kuwaangusha. Upinzani wa tz wana tamaa sana ya madaraka.
 
Vyama vya upinzani tunapokua tunalilia demokrasia hapa Tanzania huwa tuna maana gani iwapo kwenye vyama vyetu tu hatuna demokrasia.

Leo viongozi wa vyama vya siasa Tanzania wana combined leadership period of more than 50 years. Kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha mada hapo juu, Lipumba alipewa uwenyekiti wa CUF mwaka 1995, Mbowe alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA mwaka 2004, Zitto alijiteua kuwa kiongozi mkuu na mshauri mkuu (Supreme Leader and Chief Advisor) wa ATC Wazalendo mwaka 2014. Jumla ni miaka 50 na ushee. Sijataka kuunganisha miaka ya Rungwe, Mbatia, Mrema na wengine.

Viongozi hao wao kuwa viongozi wa maisha kwenye vyama vyao ni sawa ila CCM ilichaguliwa na wanachi kuendelea kutawala nchi hii inakua nongwa. Unajiuliza, sasa kama maana demokrasia ni kuchaguana na kuchaguliwa, ndio maana hao viongozi wanachaguliwa na wanachama wao, (Zitto Hachaguliwi wala hapigiwi kura) kuendelea kua viongozi, kwa nini watanzania wakiichagua CCM kuendelea kuwatumikia inakua nongwa?

Huwa najiuliza hivi hawa jamaa kweli wana nia njema na demokrasia ya nchi hii? Mfano Zitto amejipa cheo kisichokua na uchaguzi, yeye ndie mkuu wa chama na mshauri mkuu wa chama, hachaguliwi wala hapigiwi kura, uchaguzi ukiitwa wanachaguliwa wengine ila sio yeye Supreme Leader lakini at the same time CCM wakichaguliwa(angalau basi uchaguzi unakuwepo) inakua nongwa.

Binafsi naamini kuyumba kwa demokrasia nchi hii kunachangiwa sana na viongozi wa vyama vyetu hivi vya siasa kua na tamaa ya uongozi na kutokua ama kuruhusu demokrasia kwenye vyama vyao huku wakitaka demokrasia ya kweli nchini.

Vyama vya siasa, onyesheni demokrasia kwa vitendo ndani ya vyama vyenu. Acheni kuendesha vyama vya siasa ki gangstar ama mafia style kwamba boss mpya atapatikana baada ya kifo cha boss aliekuwepo.

Kwa maslahi mapana ya demokrasio mbowe aendelee kuwa mwenyekiti wa CDM ,maana bila yeye na kuwekwa mwenyeketi mwenye "Njaa Njaa" mtaiua CDM ,ila kwa Mboewe mmegonga mwamba na hakika MWAMBA hajatetereka pamoja na kumfanyia hujuma ya kutaka mumfilisi ili aunge mkono juhudi.
 
Kwa maslahi mapana ya demokrasio mbowe aendelee kuwa mwenyekiti wa CDM ,maana bila yeye na kuwekwa mwenyeketi mwenye "Njaa Njaa" mtaiua CDM ,ila kwa Mboewe mmegonga mwamba na hakika MWAMBA hajatetereka pamoja na kumfanyia hujuma ya kutaka mumfilisi ili aunge mkono juhudi.
Huu uongo ni mbaya sana
 
Ndo maana wananchi hawawachagui hawataweza kuingia Ikulu. Wamebaki kugombana wenyewe kwa wenyewe, walau 2010 walikuwa na nguvu kupitia UKAWA, ingawa kwenye baadhi ya majimbo waliweka wagombea wawili wawili hata kuwaangusha. Upinzani wa tz wana tamaa sana ya madaraka.
Huna akili
 
Provided anapigiwa kura na wanaomuamini, na hata maneno na matendo yake bado ni msingi wa kukiimarisha chama, Mbowe is there to stay, until further notice.

We can't change a leader for petty reasons like staying more than ten years his brain is up, or change for the sake of it without having a known, reputable, and proper replacement.
 
Ndo maana wananchi hawawachagui hawataweza kuingia Ikulu. Wamebaki kugombana wenyewe kwa wenyewe, walau 2010 walikuwa na nguvu kupitia UKAWA, ingawa kwenye baadhi ya majimbo waliweka wagombea wawili wawili hata kuwaangusha. Upinzani wa tz wana tamaa sana ya madaraka.
Ilikua mwaka 2015.

CHADEMA hasa walikua na tamaa, wamekubaliana kugawana majimbo lakini Chadema wakaleta tamaa.

Chadema ndio walichangia Mtatiro kuhamia CCM kwa fitina walizomfanyia Segerea baada ya Chadema kugoma kumuondoa mgombea wao na aliposhindwa uchaguzi wakamteua viti maalum, sasa kama walikua na nia ya kuja kumteua viti maalum kwa nini hawakumuachia nafasi Mtatiro Segerea?

Tamaa za viongozi wa vyama vya siasa ndio zinaua demokrasia nchi hii.
 
Vyama vya upinzani tunapokua tunalilia demokrasia hapa Tanzania huwa tuna maana gani iwapo kwenye vyama vyetu tu hatuna demokrasia.

Leo viongozi wa vyama vya siasa Tanzania wana combined leadership period of more than 50 years. Kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha mada hapo juu, Lipumba alipewa uwenyekiti wa CUF mwaka 1995, Mbowe alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA mwaka 2004, Zitto alijiteua kuwa kiongozi mkuu na mshauri mkuu (Supreme Leader and Chief Advisor) wa ATC Wazalendo mwaka 2014. Jumla ni miaka 50 na ushee. Sijataka kuunganisha miaka ya Rungwe, Mbatia, Mrema na wengine.

Viongozi hao wao kuwa viongozi wa maisha kwenye vyama vyao ni sawa ila CCM ilichaguliwa na wanachi kuendelea kutawala nchi hii inakua nongwa. Unajiuliza, sasa kama maana demokrasia ni kuchaguana na kuchaguliwa, ndio maana hao viongozi wanachaguliwa na wanachama wao, (Zitto Hachaguliwi wala hapigiwi kura) kuendelea kua viongozi, kwa nini watanzania wakiichagua CCM kuendelea kuwatumikia inakua nongwa?

Huwa najiuliza hivi hawa jamaa kweli wana nia njema na demokrasia ya nchi hii? Mfano Zitto amejipa cheo kisichokua na uchaguzi, yeye ndie mkuu wa chama na mshauri mkuu wa chama, hachaguliwi wala hapigiwi kura, uchaguzi ukiitwa wanachaguliwa wengine ila sio yeye Supreme Leader lakini at the same time CCM wakichaguliwa(angalau basi uchaguzi unakuwepo) inakua nongwa.

Binafsi naamini kuyumba kwa demokrasia nchi hii kunachangiwa sana na viongozi wa vyama vyetu hivi vya siasa kua na tamaa ya uongozi na kutokua ama kuruhusu demokrasia kwenye vyama vyao huku wakitaka demokrasia ya kweli nchini.

Vyama vya siasa, onyesheni demokrasia kwa vitendo ndani ya vyama vyenu. Acheni kuendesha vyama vya siasa ki gangstar ama mafia style kwamba boss mpya atapatikana baada ya kifo cha boss aliekuwepo.
Japo sijamaliza kusoma lkn aya mbili za mwanzo tu zinatosha kujua kuwa mwandishi kichwani mwake hamna nywele.ndio maana.....
 
Kwa maslahi mapana ya demokrasio mbowe aendelee kuwa mwenyekiti wa CDM ,maana bila yeye na kuwekwa mwenyeketi mwenye "Njaa Njaa" mtaiua CDM ,ila kwa Mboewe mmegonga mwamba na hakika MWAMBA hajatetereka pamoja na kumfanyia hujuma ya kutaka mumfilisi ili aunge mkono juhudi.
Mwamba anaweza kweli asitetereke lakini kwenye jicho pana la kidemokrasia anaua demokrasia kuliko kuijenga.

Hakuna mtu mwenye akili utamwambia eti tunamchagua Mbowe kila mwaka kwa sababu ni mwamba, hatetereki.

Wakati Chadema mnasema Mbowe ni mwamba wa kaskazini asietetereka, Magufuli alikua akijiita jiwe lisiloyumbiswa ikawa nongwa, mkataka atengeneze mifumo kuliko mtu mmoja kua strong man wakati huo huo mbowe ni strong man Chadema. Kwa nini mbowe asitengeneze mifumo ndani ya Chadema na a groom vijana wawe miamba kama yeye wasiotetereka?

Kuna wakati, nadhani bado ipo Mbowe aliajiri wachaga wenzake watupu ndani ya Chama eti ili asije kuhujimiwa. Ndio maana watu wengi bado wanaamini chadema ni chama cha kichaga.
 
Mwandishi umesahau kuwa hata kwenye kura ya maoni wananchi walikataa vyama vingi,ila kwa ajiri ya kuwafurahisha wafadhiri ikabidi tubadili katiba yetu na tukatuhusu vyama vingi,.pia ccm ni chama ambacho kila baada ya uchaguzi kinakuwa ni chama kipya,ccm ya nyerere ilikuwa ni tofauti na ccm ya mwinyi,ccm ya mwinyi pia ilikuwa tofauti na ccm ya mkapa, na ccm ya mkapa ilikuwa ni tofauti na ccm ya kikwete,na ccm ya kikwete ilikuwa tofauti pia na ccm ya magufuli utofauti ninaousema ni wa kiutendaji na,kiuongozi,ndio maana kwa ujinga na kutokujua,sasa hivi wanaoiga ngoma ya samia,,bira kujua kuwa ccm ni ileile ila tofauti ni stsili ya kiutendaji,ila linspofika suala la kubaki MADARAKANI,ccm ni moja,
 
Sijaelewa kulikuwa na ulazima wa kujumlisha miaka ya each one na kusema ni 50 ..kikubwa weka kipengele ambacho kinaonyesha jinsi Katiba zao zilivyovunjwa
 
Provided anapigiwa kura na wanaomuamini, na hata maneno na matendo yake bado ni msingi wa kukiimarisha chama, Mbowe is there to stay, until further notice.

We can't change a leader for petty reasons like staying more than ten years his brain is up, or change for the sake of it without having a known, reputable, and proper replacement.
Unataka kusema for the last 17 years of Mbowe Leadership, The party has no or has not groomed a known, reputable and proper replacement? Is that a political party or a family party?

Anyway, one more question, what if Mbowe dies today or tomorrow and there is no proper, reputable and known replacement, will Chadema still exist or it will die with him?
 
Mbowe atafia madarakani, hana mpango wa kung'atuka leo wala mwaka 2030. Makamu mwenyekiti wa CHADEMA yupo ulaya, anaongoza chama kwa mtandao wa Twitter na wasap call.. nchi hii ina vituko
Vituko sio kidogo.

Kwa jicho la kawaida kabisa Lissu tayari yuko compromised.

Lissu huwezi kumuamini tena kumpa rasilimali za Taifa letu azisimamie.

Lissu yuko Ulaya, kuna mwingine amekua kama nabii Titto anatoa maonyo na mahubiri ya vitisho kwa viongozi wa ccm yuko Canada, mara mungu kasema hivi, mara mungu kasema vile, mara mungu anataka ufanye hili, unajiuliza amekua msemaji wa mungu?Wakati mwingine hua nacheka.
 
Vyama vya upinzani tunapokua tunalilia demokrasia hapa Tanzania huwa tuna maana gani iwapo kwenye vyama vyetu tu hatuna demokrasia.

Leo viongozi wa vyama vya siasa Tanzania wana combined leadership period of more than 50 years. Kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha mada hapo juu, Lipumba alipewa uwenyekiti wa CUF mwaka 1995, Mbowe alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA mwaka 2004, Zitto alijiteua kuwa kiongozi mkuu na mshauri mkuu (Supreme Leader and Chief Advisor) wa ATC Wazalendo mwaka 2014. Jumla ni miaka 50 na ushee. Sijataka kuunganisha miaka ya Rungwe, Mbatia, Mrema na wengine.

Viongozi hao wao kuwa viongozi wa maisha kwenye vyama vyao ni sawa ila CCM ilichaguliwa na wanachi kuendelea kutawala nchi hii inakua nongwa. Unajiuliza, sasa kama maana demokrasia ni kuchaguana na kuchaguliwa, ndio maana hao viongozi wanachaguliwa na wanachama wao, (Zitto Hachaguliwi wala hapigiwi kura) kuendelea kua viongozi, kwa nini watanzania wakiichagua CCM kuendelea kuwatumikia inakua nongwa?

Huwa najiuliza hivi hawa jamaa kweli wana nia njema na demokrasia ya nchi hii? Mfano Zitto amejipa cheo kisichokua na uchaguzi, yeye ndie mkuu wa chama na mshauri mkuu wa chama, hachaguliwi wala hapigiwi kura, uchaguzi ukiitwa wanachaguliwa wengine ila sio yeye Supreme Leader lakini at the same time CCM wakichaguliwa(angalau basi uchaguzi unakuwepo) inakua nongwa.

Binafsi naamini kuyumba kwa demokrasia nchi hii kunachangiwa sana na viongozi wa vyama vyetu hivi vya siasa kua na tamaa ya uongozi na kutokua ama kuruhusu demokrasia kwenye vyama vyao huku wakitaka demokrasia ya kweli nchini.

Vyama vya siasa, onyesheni demokrasia kwa vitendo ndani ya vyama vyenu. Acheni kuendesha vyama vya siasa ki gangstar ama mafia style kwamba boss mpya atapatikana baada ya kifo cha boss aliekuwepo.
Ukute na wewe ni kiongozi mkubwa huko CCM unaleta hesabu ya kipuuzi kama hii.
 
Back
Top Bottom