Lipumba amekua Mwenyekiti wa CUF miaka 26, Mbowe wa CHADEMA miaka 17, Zitto wa ACT Wazalendo miaka 7, Jumla miaka 50

Lipumba amekua Mwenyekiti wa CUF miaka 26, Mbowe wa CHADEMA miaka 17, Zitto wa ACT Wazalendo miaka 7, Jumla miaka 50

Vyama vya upinzani tunapokua tunalilia demokrasia hapa Tanzania huwa tuna maana gani iwapo kwenye vyama vyetu tu hatuna demokrasia.

Leo viongozi wa vyama vya siasa Tanzania wana combined leadership period of more than 50 years. Kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha mada hapo juu, Lipumba alipewa uwenyekiti wa CUF mwaka 1995, Mbowe alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA mwaka 2004, Zitto alijiteua kuwa kiongozi mkuu na mshauri mkuu (Supreme Leader and Chief Advisor) wa ATC Wazalendo mwaka 2014. Jumla ni miaka 50 na ushee. Sijataka kuunganisha miaka ya Rungwe, Mbatia, Mrema na wengine.

Viongozi hao wao kuwa viongozi wa maisha kwenye vyama vyao ni sawa ila CCM ilichaguliwa na wanachi kuendelea kutawala nchi hii inakua nongwa. Unajiuliza, sasa kama maana demokrasia ni kuchaguana na kuchaguliwa, ndio maana hao viongozi wanachaguliwa na wanachama wao, (Zitto Hachaguliwi wala hapigiwi kura) kuendelea kua viongozi, kwa nini watanzania wakiichagua CCM kuendelea kuwatumikia inakua nongwa?

Huwa najiuliza hivi hawa jamaa kweli wana nia njema na demokrasia ya nchi hii? Mfano Zitto amejipa cheo kisichokua na uchaguzi, yeye ndie mkuu wa chama na mshauri mkuu wa chama, hachaguliwi wala hapigiwi kura, uchaguzi ukiitwa wanachaguliwa wengine ila sio yeye Supreme Leader lakini at the same time CCM wakichaguliwa(angalau basi uchaguzi unakuwepo) inakua nongwa.

Binafsi naamini kuyumba kwa demokrasia nchi hii kunachangiwa sana na viongozi wa vyama vyetu hivi vya siasa kua na tamaa ya uongozi na kutokua ama kuruhusu demokrasia kwenye vyama vyao huku wakitaka demokrasia ya kweli nchini.

Vyama vya siasa, onyesheni demokrasia kwa vitendo ndani ya vyama vyenu. Acheni kuendesha vyama vya siasa ki gangstar ama mafia style kwamba boss mpya atapatikana baada ya kifo cha boss aliekuwepo.
Tutolee bandiko lako wala sijalisoma zitto hajawahi kuwa mwenyekiti wa act
 
TANU/CCM miaka zaidi ya 60 madarakani bado tunaongelea watu kunywa maji na mifugo yao
 
Mwamba anaweza kweli asitetereke lakini kwenye jicho pana la kidemokrasia anaua demokrasia kuliko kuijenga.

Hakuna mtu mwenye akili utamwambia eti tunamchagua Mbowe kila mwaka kwa sababu ni mwama, hatetereki.

Wakati Chadema mnasema Mbowe ni mwamba wa kaskazini asietetereka, Magufuli alikua akijiita jiwe lisiloyumbiswa ikawa nongwa, mkataka atengeneze mifumo kuliko mtu mmoja kua strong man wakati huo huo mbowe ni strong man Chadema. Kwa nini mbowe asitengeneze mifumo ndani ya Chadema na a groom vijana wawe miaka kama yeye wasiotetereka?

Kuna wakati, nadhani bado ipo Mbowe aliajiri wachaga wenzake watupu ndani ya Chama eti ili asije kuhujimiwa. Ndio maana watu wengi bado wanaamini chadema ni chama cha kichaga.
Kitendo cha Mbowe kuendelea kuwa madarakani halafu chadema wanadai taasisi imara ni kituko cha mwaka.
 
Zile ni personal properties mkuu,

Ni sawa na wewe ununue kiwanja,

Je utaruhusu mtu mwingine ajenge ndani ya mali yako??

Jibu ni hapana.
 
Zile ni personal properties mkuu,

Ni sawa na wewe ununue kiwanja,

Je utaruhusu mtu mwingine ajenge ndani ya mali yako??

Jibu ni hapana.
Hata akijenga nyumba ni yangu.

Sisi kule kwetu hua tuna msemo mtu akitembea na mkeo akazaa, bado mtoto ni wako. Ni sawa na kulima kwenye shamba la mtu bado mazao ni yake.

Vyama vya siasa Tanzania ni mali binafsi za viongozi sio vyama vya wanachama.

Mafia Boss Mbowe anatumia chama kwa faida yake binafsi.
 
Tutolee bandiko lako wala sijalisoma zitto hajawahi kuwa mwenyekiti wa act
Sio sio mwenyekiti, ni zaidi ya mwenyekiti. Zitto yuko juu ya mwenyekiti maana yake yeye ndie mmiliki wa chama, chama ni mali yake.

Zitto ni kiongozi mkuu wa chama na pia mshauri mkuu wa chama. Sasa kama chama kina mwenyekiti na bado kuna kiongozi mkuu huyo mwenyekiti ana kazi gani?
 
Kwa maslahi mapana ya demokrasio mbowe aendelee kuwa mwenyekiti wa CDM ,maana bila yeye na kuwekwa mwenyeketi mwenye "Njaa Njaa" mtaiua CDM ,ila kwa Mboewe mmegonga mwamba na hakika MWAMBA hajatetereka pamoja na kumfanyia hujuma ya kutaka mumfilisi ili aunge mkono juhudi.
Kwahiyo Mbowe akifa na chadema nayo inakufa?

Basi sawa, kumbe sababu ya kuendelea kuichagua ccm ipo
 
Vyama vya upinzani tunapokua tunalilia demokrasia hapa Tanzania huwa tuna maana gani iwapo kwenye vyama vyetu tu hatuna demokrasia.

Leo viongozi wa vyama vya siasa Tanzania wana combined leadership period of more than 50 years. Kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha mada hapo juu, Lipumba alipewa uwenyekiti wa CUF mwaka 1995, Mbowe alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA mwaka 2004, Zitto alijiteua kuwa kiongozi mkuu na mshauri mkuu (Supreme Leader and Chief Advisor) wa ATC Wazalendo mwaka 2014. Jumla ni miaka 50 na ushee. Sijataka kuunganisha miaka ya Rungwe, Mbatia, Mrema na wengine.

Viongozi hao wao kuwa viongozi wa maisha kwenye vyama vyao ni sawa ila CCM ilichaguliwa na wanachi kuendelea kutawala nchi hii inakua nongwa. Unajiuliza, sasa kama maana demokrasia ni kuchaguana na kuchaguliwa, ndio maana hao viongozi wanachaguliwa na wanachama wao, (Zitto Hachaguliwi wala hapigiwi kura) kuendelea kua viongozi, kwa nini watanzania wakiichagua CCM kuendelea kuwatumikia inakua nongwa?

Huwa najiuliza hivi hawa jamaa kweli wana nia njema na demokrasia ya nchi hii? Mfano Zitto amejipa cheo kisichokua na uchaguzi, yeye ndie mkuu wa chama na mshauri mkuu wa chama, hachaguliwi wala hapigiwi kura, uchaguzi ukiitwa wanachaguliwa wengine ila sio yeye Supreme Leader lakini at the same time CCM wakichaguliwa(angalau basi uchaguzi unakuwepo) inakua nongwa.

Binafsi naamini kuyumba kwa demokrasia nchi hii kunachangiwa sana na viongozi wa vyama vyetu hivi vya siasa kua na tamaa ya uongozi na kutokua ama kuruhusu demokrasia kwenye vyama vyao huku wakitaka demokrasia ya kweli nchini.

Vyama vya siasa, onyesheni demokrasia kwa vitendo ndani ya vyama vyenu. Acheni kuendesha vyama vya siasa ki gangstar ama mafia style kwamba boss mpya atapatikana baada ya kifo cha boss aliekuwepo.
Pilipili usizokula zinakuwasha nini?

On the other hand, ccm inahusu wananchi woote maana ndo imeleta sera za kufukarisha umma
 
Vyama vya upinzani tunapokua tunalilia demokrasia hapa Tanzania huwa tuna maana gani iwapo kwenye vyama vyetu tu hatuna demokrasia.

Leo viongozi wa vyama vya siasa Tanzania wana combined leadership period of more than 50 years. Kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha mada hapo juu, Lipumba alipewa uwenyekiti wa CUF mwaka 1995, Mbowe alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA mwaka 2004, Zitto alijiteua kuwa kiongozi mkuu na mshauri mkuu (Supreme Leader and Chief Advisor) wa ATC Wazalendo mwaka 2014. Jumla ni miaka 50 na ushee. Sijataka kuunganisha miaka ya Rungwe, Mbatia, Mrema na wengine.

Viongozi hao wao kuwa viongozi wa maisha kwenye vyama vyao ni sawa ila CCM ilichaguliwa na wanachi kuendelea kutawala nchi hii inakua nongwa. Unajiuliza, sasa kama maana demokrasia ni kuchaguana na kuchaguliwa, ndio maana hao viongozi wanachaguliwa na wanachama wao, (Zitto Hachaguliwi wala hapigiwi kura) kuendelea kua viongozi, kwa nini watanzania wakiichagua CCM kuendelea kuwatumikia inakua nongwa?

Huwa najiuliza hivi hawa jamaa kweli wana nia njema na demokrasia ya nchi hii? Mfano Zitto amejipa cheo kisichokua na uchaguzi, yeye ndie mkuu wa chama na mshauri mkuu wa chama, hachaguliwi wala hapigiwi kura, uchaguzi ukiitwa wanachaguliwa wengine ila sio yeye Supreme Leader lakini at the same time CCM wakichaguliwa(angalau basi uchaguzi unakuwepo) inakua nongwa.

Binafsi naamini kuyumba kwa demokrasia nchi hii kunachangiwa sana na viongozi wa vyama vyetu hivi vya siasa kua na tamaa ya uongozi na kutokua ama kuruhusu demokrasia kwenye vyama vyao huku wakitaka demokrasia ya kweli nchini.

Vyama vya siasa, onyesheni demokrasia kwa vitendo ndani ya vyama vyenu. Acheni kuendesha vyama vya siasa ki gangstar ama mafia style kwamba boss mpya atapatikana baada ya kifo cha boss aliekuwepo.
CCM imekuwa madarakani miaka 50.
 
NGOs za kisiasa ambazo huku kwetu tunaziita upinzani japo haijulikani wanapinga nini hawana wenyeviti ila wana ma supreme leader
 
Ukiwauliza CDM watakuambia wanataka MIFUMO na sio MTU...kumbe ndani ya chama kuna MTU na sio MFUMO!

Nchi ngumu sana hii, Mbowe aking'ata shuka leo(God forbid) kuna MFUMO gani walioujenga ili kuwa na mwendelezo mzuri wa chama, jibu ni HAKUNA.
 
Vyama vya upinzani tunapokua tunalilia demokrasia hapa Tanzania huwa tuna maana gani iwapo kwenye vyama vyetu tu hatuna demokrasia.

Leo viongozi wa vyama vya siasa Tanzania wana combined leadership period of more than 50 years. Kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha mada hapo juu, Lipumba alipewa uwenyekiti wa CUF mwaka 1995, Mbowe alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA mwaka 2004, Zitto alijiteua kuwa kiongozi mkuu na mshauri mkuu (Supreme Leader and Chief Advisor) wa ATC Wazalendo mwaka 2014. Jumla ni miaka 50 na ushee. Sijataka kuunganisha miaka ya Rungwe, Mbatia, Mrema na wengine.

Viongozi hao wao kuwa viongozi wa maisha kwenye vyama vyao ni sawa ila CCM ilichaguliwa na wanachi kuendelea kutawala nchi hii inakua nongwa. Unajiuliza, sasa kama maana demokrasia ni kuchaguana na kuchaguliwa, ndio maana hao viongozi wanachaguliwa na wanachama wao, (Zitto Hachaguliwi wala hapigiwi kura) kuendelea kua viongozi, kwa nini watanzania wakiichagua CCM kuendelea kuwatumikia inakua nongwa?

Huwa najiuliza hivi hawa jamaa kweli wana nia njema na demokrasia ya nchi hii? Mfano Zitto amejipa cheo kisichokua na uchaguzi, yeye ndie mkuu wa chama na mshauri mkuu wa chama, hachaguliwi wala hapigiwi kura, uchaguzi ukiitwa wanachaguliwa wengine ila sio yeye Supreme Leader lakini at the same time CCM wakichaguliwa(angalau basi uchaguzi unakuwepo) inakua nongwa.

Binafsi naamini kuyumba kwa demokrasia nchi hii kunachangiwa sana na viongozi wa vyama vyetu hivi vya siasa kua na tamaa ya uongozi na kutokua ama kuruhusu demokrasia kwenye vyama vyao huku wakitaka demokrasia ya kweli nchini.

Vyama vya siasa, onyesheni demokrasia kwa vitendo ndani ya vyama vyenu. Acheni kuendesha vyama vya siasa ki gangstar ama mafia style kwamba boss mpya atapatikana baada ya kifo cha boss aliekuwepo.
Hivi wao wenyewe wanasemaji haswa !!?? haidhuru ila Umesahau Na CCM mwenyekiti wa serikali miaka 60 kwa wananchi milioni 60 na maadui wale wale umaskini,maradhi,ujinga miaka 60 tukiwa na silahi zile zile Watu,aridhi safi,uongozi bora na siasa safi miaka 60 sasa.hivi Tanzania tunakwamia wapi !!!!????
 
Vyama vya upinzani tunapokua tunalilia demokrasia hapa Tanzania huwa tuna maana gani iwapo kwenye vyama vyetu tu hatuna demokrasia.

Leo viongozi wa vyama vya siasa Tanzania wana combined leadership period of more than 50 years. Kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha mada hapo juu, Lipumba alipewa uwenyekiti wa CUF mwaka 1995, Mbowe alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA mwaka 2004, Zitto alijiteua kuwa kiongozi mkuu na mshauri mkuu (Supreme Leader and Chief Advisor) wa ATC Wazalendo mwaka 2014. Jumla ni miaka 50 na ushee. Sijataka kuunganisha miaka ya Rungwe, Mbatia, Mrema na wengine.

Viongozi hao wao kuwa viongozi wa maisha kwenye vyama vyao ni sawa ila CCM ilichaguliwa na wanachi kuendelea kutawala nchi hii inakua nongwa. Unajiuliza, sasa kama maana demokrasia ni kuchaguana na kuchaguliwa, ndio maana hao viongozi wanachaguliwa na wanachama wao, (Zitto Hachaguliwi wala hapigiwi kura) kuendelea kua viongozi, kwa nini watanzania wakiichagua CCM kuendelea kuwatumikia inakua nongwa?

Huwa najiuliza hivi hawa jamaa kweli wana nia njema na demokrasia ya nchi hii? Mfano Zitto amejipa cheo kisichokua na uchaguzi, yeye ndie mkuu wa chama na mshauri mkuu wa chama, hachaguliwi wala hapigiwi kura, uchaguzi ukiitwa wanachaguliwa wengine ila sio yeye Supreme Leader lakini at the same time CCM wakichaguliwa(angalau basi uchaguzi unakuwepo) inakua nongwa.

Binafsi naamini kuyumba kwa demokrasia nchi hii kunachangiwa sana na viongozi wa vyama vyetu hivi vya siasa kua na tamaa ya uongozi na kutokua ama kuruhusu demokrasia kwenye vyama vyao huku wakitaka demokrasia ya kweli nchini.

Vyama vya siasa, onyesheni demokrasia kwa vitendo ndani ya vyama vyenu. Acheni kuendesha vyama vya siasa ki gangstar ama mafia style kwamba boss mpya atapatikana baada ya kifo cha boss aliekuwepo.
Kwa hesabu hizi ulizopiga hustahili hata kuwa mke wa zuzu mtu!
 
Akuna demokrasia wapinzani waendelee na wenyeviti wao wa kudumu na serikali ya chama tawala kiendelee kutunza amani na utulivu kwa kudhibiti siasa za porojo.
 
Back
Top Bottom