minyoo JF-Expert Member Joined May 25, 2013 Posts 22,405 Reaction score 21,100 Aug 26, 2020 #201 Mda wa kula pesa za mtukufu alizovuna kwenye 10%za ununuzi wa Ndege ndiyo huu, madalali wa siasa akila Le mutuz cyprian Musiba na wenzao wamevuna pesa nyingi mno
Mda wa kula pesa za mtukufu alizovuna kwenye 10%za ununuzi wa Ndege ndiyo huu, madalali wa siasa akila Le mutuz cyprian Musiba na wenzao wamevuna pesa nyingi mno
minyoo JF-Expert Member Joined May 25, 2013 Posts 22,405 Reaction score 21,100 Aug 26, 2020 #202 Profeselii Lipumba na kubwa jinga bichwa kubwa Shibuda wanahaha kumwekea Tundu lisu pingamizi baada ya kula Advance ya CCM
Profeselii Lipumba na kubwa jinga bichwa kubwa Shibuda wanahaha kumwekea Tundu lisu pingamizi baada ya kula Advance ya CCM
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Aug 26, 2020 #203 mukaruka mzee said: Wale wale! Badala ya hoja ili tuyajenge humu JF wanakuja na vihoja na vioja! Click to expand... Kabisa
mukaruka mzee said: Wale wale! Badala ya hoja ili tuyajenge humu JF wanakuja na vihoja na vioja! Click to expand... Kabisa