Mother Deola
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 227
- 362
Huna akili wewe.... Mbasha alisema je 10 seconds before mtamaMgombea Wa CCM alikuwepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akili wewe.... Mbasha alisema je 10 seconds before mtamaMgombea Wa CCM alikuwepo
Hao wameshashindwa kabla ya kuanzaHUo Upuuzi wao wakufanyie kwenye vyama vyao na sio kwa lissu....Lupumba na Shibuda wote ni mufirisi.
Mmezoea kutukana bila kujenga hoja. Mgombea Wa Ccm alikuwepo Mkapa stadiumHuna akili wewe.... Mbasha alisema je 10 seconds before mtama
Kazi kwako ndugu. Hiyo ni haki yako kikatibaHata mimi, kama mpiga kura niliyejiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, nafikiria very seriously, KUMUWEKEA LISSU PINGAMIZI kwani kaanza kampeni mapema. Ninashauriana na Mawakili wangu na kuzipitia CLIP TULIZOKUSANYA wakati akiwa kwenye hiyo misafara yake ya "kutafuta wadhamini". Pia tunajaribu kuangalia kutoka kona nyingine ya KUTUMIA LUGHA YA MATUSI kwenye hiyo misafara yake. Ninataka nione huyo Amsterdam atakacho kuja kufanya kumsaidia huyu mteja wake.
Jitahidini kutafuta usingizi kwa kujiliwaza.ukiona adui yako anafurahia au kukuacha ufanye jambo fulani ujue lina madhara kwako, polisi kumsindikiza lisu na kuruhusu mikusanyiko na kumuacha aihutubie wakati anatafuta wadhamini ni kielelezo tosha alianza kampeni kabla,
Kuna umuhimu wa tume huru.Lakini hata vyombo vya usalama vinatakiwa kuwa neutral.Kupungua wapiga kura hiyo haina mjadala, lakini hiyo idadi imeongezwa makusudi ili kutoa matokeo yasiyo sahihi. Kitendo tu cha kuweka idadi isiyo sahihi, hiyo ni ishara kuwa hata matokeo yatakayotangazwa yatakuwa sio sahihi. Hapa ndio penye hoja yangu, maana tuna taasisi inayosimamia uchaguzi sio waaminifu.
Ni haki yao kikatiba acha sheria ifuate mkondo wakeHUo Upuuzi wao wakufanyie kwenye vyama vyao na sio kwa lissu....Lupumba na Shibuda wote ni mufirisi.
okey nawe tekeleza wajibu wako leo uende chooni si unaona yamekupanda kichwaniJitahidini kutafuta usingizi kwa kujiliwaza.
umeuliza nini?? nini kwani???Kawahiyo yule aliyokua akihutubia pekeyake yy na kebinet ya chama chake tu ilikua akitangaazaa nini
Naona mnawewesekaHuyo msaliti Lipumba, hiyo dhambi anayotaka kuifanya, atambue tu kuwa haitasamehewa milele na Taifa hili!
Hivi wewe Lipumba unayejiita ni kiongozi wa upinzani unawezaje kumwekea pingamizi kiongozi mwenzako wa upinzani, badala ya pingamizi hilo kuwekwa na mgombea wa CCM??
Hivi wewe Lipumba unadhani watanzania wameshasahau, jinsi ulivyomlazimisha kiongozi wa wazanzibari Seif Sharif Hamad, alazimike kukihama chama chako cha CUF, kutokana na mikakati miovu mliyopanga wewe na Jiwe wako??
Ni bibi yuleHalafu na yule mama Sakaya mbona kachujuka sana usoni utadhani kuna njemba ilimdufuanga mwili mzima
Amen!Kazi kwako ndugu. Hiyo ni haki yako kikatiba
Hilo la kuendesha harambee kwa ajili ya kuwasaidia ndugu zetu Waislamu wa Chamwino kujenga nyumba ya kumuabudia Mungu, yaani Msikiti, wewe limekukera sana!? Kuna wakati nashindwa kuwaelewa wana JF, hivi unataka upendo gani Zaidi ya huu!?Au mnasema ni mbinu za kampeni? Mbona Rais alipomuomba Mwana Mfalme wa Morocco kuwajengea Msikiti waislamu pale Kinondoni hamkulisema hili, leo anachangisha pesa kwa nia kama hiyo hiyo, imekuwa nongwa! Ninyi vipi?Msikilize aliyoko makanisani kwanza halafu urejee hapa
Zipo njama lukuki vikao kati ya jaji kaijage wa NECCCM na IGP Shibuda Lipumba na polepole haviishi week yote wanekuwa busy kupanga namna ya kumkomoa Tundu lisu, mda huu wajanja madalali wa siasa wanakula pesa nyingi tokea kwa mtukufu wakimdanganya kuwa watamsaidia kumhujumu Tundu lisu na kuidhoofisha chademasasa cha kushangaza utasikia pingamizi limewekwa saa 10 jioni tarehe 25 /8 na wakati Lissu kapitishwa na tume usiku !