Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliwaonaje watu nyuma ya keyboard za airport na kwenye keyboard za mikutano ya LissuUmesahau sisi Wadanganyika ni mabingwa wa kuandika nyuma ya keyboard tu.
Wote wamejiandikisha kupiga kura?Uliwaonaje watu nyuma ya keyboard za airport na kwenye keyboard za mikutano ya Lissu
Utajua kama wamejiandika au laWote wamejiandikisha kupiga kura?
CCM wanajua miradi yao yote ina ufisadiSasa ccm wanamini watashinda hofu yanini kwa lisu
Hao ni vibaraka wa chato?Safi sana Prof Lipumba na Shibuda tunawaaminia, na vyama vingine vitakuwa nyuma yenu.Kataeni huyo kibaraka wa ubeligiji
Kavunja kanuni. Unampitishaje? Mwanasheria mzima kanuni hazijui. Kati ya wagombea wote zaidi ya kumi, umemuona nani anatafita wadhamini kwa mikutano na hotubaTume muwe makini msije tuletea machafuko Tundu lissu mpitisheni wakapambane uwanjani
Na Kweli, bora Wewe una #kangilugola wa kucheka naye wakati mkimfurahia ’yssu’ wenu!wewe jitekenye mwenyewe tu uone utacheka na nani
Mshaanza kulalamika na wapiga kura tena...Science gani wakati tume mmeiagiza kuja na idadi ya kubumba ya wapiga kura? Watanzania tunakaribia 60m, huku idadi ya wapiga kura kwa mujibu wa tume ni 29m+. Inawezekana vipi nusu ya watanzania wote kuwa wamejiandikisha kupiga kura? Na ni kweli kuwa watu wenye miaka 18+ ni nusu sawa ya walio chini ya miaka hiyo? Kama sio Magufuli na ccm wamejiandaa kutangaza matokeo ya uongo, na kuuingiza nchi hii kwenye umwagaji wa damu ni nini zaidi?
CHADEMA SI MNAJIFANYA WANAUME NYIE? MBONA KULIA LIA HIVO? TUIENI DAWA IWAINGIE VIZURI.Mbio za kuwania urais wa Tanzania kwa Tundu Lissu, huenda zikafikia ukingoni siku chache baada ya kukabidhi fomu zake Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Lissu alipitishwa na chama chake, CHADEMA kugombea nafasi hiyo katika Uchaguzi wa mwaka huu, 2020 uliopangwa kufanyika Oktoba 28.
Read more > Urais 2020: Lissu kuwekewa vikwazo kimkakati - Imevuja!
Mshaanza kulalamika na wapiga kura tena...
YAFAHAMU MAPINGAMIZI HALALI YA KISHERIA AMBAYO ANAWEZA AKAWEKEWA MGOMBEA WA NAFASI YA URAIS NCHINI TANZANIA.ukiona adui yako anafurahia au kukuacha ufanye jambo fulani ujue lina madhara kwako, polisi kumsindikiza lisu na kuruhusu mikusanyiko na kumuacha aihutubie wakati anatafuta wadhamini ni kielelezo tosha alianza kampeni kabla,
CCM walizuia mikutano ya siasa kwa mda wa Miaka mitano lakini wao walikuwa wakifanya mikutano hata juzi wameandaa tamasha uwanja wa Taifa wasanii wakapigana mitamaKavunja kanuni. Unampitishaje? Mwanasheria mzima kanuni hazijui. Kati ya wagombea wote zaidi ya kumi, umemuona nani anatafita wadhamini kwa mikutano na hotuba
Hapo ulipo unasubili ugali wa kujipanga, je upo tayari kukaa polini wiki bila kula?Kama wana taka nchi iwe kama Nali basi wajaribu..
Vitu vingine msitamke bila kujua maana yake..eti nguvu ya imma, unamaanisha Nini hapa manake nikichukua tafsiri ya umma ni 90% wapo nyuma ya Magufuli, 10% gawanya 3 ACT, 2 chadema,1 nccr,1cuf na 3 vyama vingine vilivyobaki..Sasa hii nguvu unayoisemea jomba haina lolote, umechina tu wewe..nipange upyaKwa kuwa mahakama ipo chini yao tutaona itakavyo kuwa.... Nguvu ya umma labda Tz haipo...
Ana shetani na roho mbaya sanayaan popote alipo jiwe lazima paharibike jambo..kule chamani amefanikiwa kuwakata akina membe ili agombee peke yake huku nako anataka apite kwa kukata watu..hivi huyu mzee ana matatizo gani aache upuuzi..
Lipumba hawezi kupata hata mbunge mmoja