Uchaguzi 2020 Lipumba, Shibuda kutumika kumdhibiti Lissu asigombee Urais?

Uchaguzi 2020 Lipumba, Shibuda kutumika kumdhibiti Lissu asigombee Urais?

Haya leta wewe idadi ya ufipa ya watu wanaofaa na kustahili kupiga kura.

Tayari nyumbu mmeshaanza kuisoma namba. Hivi kwa akili yako toka uchaguzi wa 2015 waTz wangapi walikuwa na Umri kati ya 13 hadi 17 wanastahili kuongezwa. Wangapi hawakujiandikisha 2015 safari hii wamejiandikisha.

Nenda Takwimu ukajiridhishe umri wa waTZ.

Narudia tena, watanzania tunakaribia 60m. Iwapo wapiga kura ni 29m+, hiyo ni nusu kabisa ya watanzania wote. Inawezekana vipi nusu ya watanzania wote wakawa na miaka 18+? Halafu kibaya zaidi watu wote wenye miaka 18+ wakawa wamejiandikisha kupiga kura! Hivi kuna wajinga wa kupewa idadi ya hiyo bado dunia hii? Kisha tuamini matokeo yatakayotangazwa na tume yenye idadi ya wapiga kura wa uongo?
 
Chama kimekaa mda mrefu hakuna muujiza kitafanya kututoa hapa tulipo kwama tangu vita ya kagera ishe.
 
Yaani taarifa tunazo mapema sana
Screenshot_20200822-133448.png
 
sijakuelewa na sitaki kukuelewa kwakuwa una viashiria vya upumbavu, hebu tulia tusiambukizane uzwazwa plz

Mkuu hivi unadhani kuwa kuna popote nimeandika ili ww uelewa, hapa nimeandika ukweli ndio maana iko hapa jukwaani. Ningetaka uelewe ww tu ningekuandikia barua.
 
si mliona raha kusindikizwa na polisi kila mkoa,

Hakuna aliyeona raha, bali tulishangaa polisi toka lini wakaanza kutimiza wajibu wao kwa mujibu wa sheria dhidi ya wapinzani wa ukweli? Tuone raha kwani walichofanya polisi ni hisani?
 
acha kuongelea watu jiongelee wewe, alafu jiulize mimi na wewe nani zwazwa, au kisa natembea na shangazi yako aliyefanana na Baba yako??

Uwe zwazwa mara mbili, kama hujui hata matumizi ya herufi kubwa na ndogo wapi zikae, unataka uzwazwa gani zaidi ya huo?
 
Hakuna aliyeona raha, bali tulishangaa polisi toka lini wakaanza kutimiza wajibu wao kwa mujibu wa sheria dhidi ya wapinzani wa ukweli? Tuone raha kwani walichofanya polisi ni hisani?
ndio ni hisani ya kuwahujumu
 
Lisu akikatwa tutaendelea na Uchaguzi bila dosari yeyote .
 
Hata mimi, kama mpiga kura niliyejiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, nafikiria very seriously, KUMUWEKEA LISSU PINGAMIZI kwani kaanza kampeni mapema. Ninashauriana na Mawakili wangu na kuzipitia CLIP TULIZOKUSANYA wakati akiwa kwenye hiyo misafara yake ya "kutafuta wadhamini". Pia tunajaribu kuangalia kutoka kona nyingine ya KUTUMIA LUGHA YA MATUSI kwenye hiyo misafara yake. Ninataka nione huyo Amsterdam atakacho kuja kufanya kumsaidia huyu mteja wake.
Anza kumwekea magufuli pingamizi aliyeanza kampeni tokea mwaka 2016 akigawa pesa na juzi kanunua jogoo Rufiji kwa laki moja huku akimtafutia mama yake mzazi mchumba, Lugha gani ya matusi zaidi ya lugha ya kuwatukana wabunge madiwani wa chadema, Wa Amterdam watawafikisha mahakamani kwa kumpiga risasi na unyanyasaji uonevu mwingi mliowafanyia wapinzani.
 
Back
Top Bottom