Uchaguzi 2020 Lipumba, Shibuda kutumika kumdhibiti Lissu asigombee Urais?

Uchaguzi 2020 Lipumba, Shibuda kutumika kumdhibiti Lissu asigombee Urais?

Mbio za kuwania urais wa Tanzania kwa Tundu Lissu, huenda zikafikia ukingoni siku chache baada ya kukabidhi fomu zake Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Lissu alipitishwa na chama chake, CHADEMA kugombea nafasi hiyo katika Uchaguzi wa mwaka huu, 2020 uliopangwa kufanyika Oktoba 28.

Read more > Urais 2020: Lissu kuwekewa vikwazo kimkakati - Imevuja!
Tulijua tu haya yatatokea. Ni kazi kwao CHADEMA na mgombea wao kujiandaa kwa hili. Ila nchi itatikisika.
 
ukiona adui yako anafurahia au kukuacha ufanye jambo fulani ujue lina madhara kwako, polisi kumsindikiza lisu na kuruhusu mikusanyiko na kumuacha aihutubie wakati anatafuta wadhamini ni kielelezo tosha alianza kampeni kabla,

Makamu Mwenyekiti alikuwa anatembelea Wanachama na Mashabiki wake na kuomba UDHAMINI.

Magufuli, Lipumba, Mbatia, Maalim wamekuwa wakitembelea Wanachama na Mashabiki wao na kugawa misaada na ahadi kedekede haukusema wewe na hao unao wataja.

Kigwangala aligawa pikipiki Jimbo Zima kimya.


Tulia misaada na zawadi zake mpaka anazunguka na majeneza kule Mbeya, hakuna aliyenyanyua mdomo wewe wala hao unaowasema.

Magufuli na ziara za kichama kwa mwamvuli wa Serikali anagawa pesa na ahadi kedekede haukusema wewe na hao unaowasema kuwa hizo ni KAMPENI KWA VYAMA VYAO.
 
Ni upumbavu tu.

Mpira huchezwa uwanjani sio mezani kwa kamisaa

Watu wapige kura kwa uhuru, amani na matokeo yatolewe kwa haki.

Hizi hisia zakijinga kutaka kuzuwia wengine ni kuhatarisha usalama na amani ya Watanzania

Hayawi hayawi itafika wakati yatakuwa.

Majuto ni mjukuu
Hakuna anayezuiliwa kugombea, ni haki ya kila Mtanzania kuweka pingamizi kwa mgombea anayemwona hafai kwa vigezo na masharti ya NEC.

Pia hakuna anayenyimwa fursa isipokuwa mtu anajiondoa kwa ujinga wake, badala ya kutafuta wadhamini yeye ni kutukana tu na kuzushia Magu. Sasa asubiri zamu yake ya kushughulikiwa na uzuri mmelijua hilo na kuanza kulialia mapema.

Mnadhani waTz ni wajinga mnaposema watachoka. Hivi mnadhani kakikundi kenu kamtandaoni ndio mnadhani ni waTZ wote?

Subiri aenguliwe ndio mtajua watu walikuwa wananenda kumshangaa ni matusi yake na pia Boda wakifuata mafuta
 
Tulijua tu haya yatatokea. Ni kazi kwao CHADEMA na mgombea wao kujiandaa kwa hili. Ila nchi itatikisika.
Nchi itatikisika??? Hahahahahhahhahhahahhahha

Tundu atikise nchi? Mnaota kweli.
Alishindwa kuitikisa aliposhambuliwa Dodoma aje kutikisa leo huyo Mbeligiji wenu. Ajiandae tu kurudi kwao au aendelee na harakati
 
Makamu Mwenyekiti alikuwa anatembelea Wanachama na Mashabiki wake na kuomba UDHAMINI.

Magufuli, Lipumba, Mbatia, Maalim wamekuwa wakitembelea Wanachama na Mashabiki wao na kugawa misaada na ahadi kedekede haukusema wewe na hao unao wataja.

Kigwangala aligawa pikipiki Jimbo Zima kimya.


Tulia misaada na zawadi zake mpaka anazunguka na majeneza kule Mbeya, hakuna aliyenyanyua mdomo wewe wala hao unaowasema.

Magufuli na ziara za kichama kwa mwamvuli wa Serikali anagawa pesa na ahadi kedekede haukusema wewe na hao unaowasema kuwa hizo ni KAMPENI KWA VYAMA VYAO.
nadhani ulinielewa nilichoandika, tusipotezeane mda
 
Makamu Mwenyekiti alikuwa anatembelea Wanachama na Mashabiki wake na kuomba UDHAMINI.

Magufuli, Lipumba, Mbatia, Maalim wamekuwa wakitembelea Wanachama na Mashabiki wao na kugawa misaada na ahadi kedekede haukusema wewe na hao unao wataja.

Kigwangala aligawa pikipiki Jimbo Zima kimya.


Tulia misaada na zawadi zake mpaka anazunguka na majeneza kule Mbeya, hakuna aliyenyanyua mdomo wewe wala hao unaowasema.

Magufuli na ziara za kichama kwa mwamvuli wa Serikali anagawa pesa na ahadi kedekede haukusema wewe na hao unaowasema kuwa hizo ni KAMPENI KWA VYAMA VYAO.
Mwambie Tundu awawekee mapingamizi ni haki yake. Hapa sio NEC unakuja kushtaki au kusema.

Lililopo mbele yetu, ni YEYE Mbeligiji kuwekewa pingamizi na wagombea wenzake na kuenguliwa kwa sababu za uzushi na maneno ya uchonganishi kwa amiri jeshi. Mbeligiji lazima arudi kwao mshamba huyu
 
Science gani wakati tume mmeiagiza kuja na idadi ya kubumba ya wapiga kura? Watanzania tunakaribia 60m, huku idadi ya wapiga kura kwa mujibu wa tume ni 29m+. Inawezekana vipi nusu ya watanzania wote kuwa wamejiandikisha kupiga kura? Na ni kweli kuwa watu wenye miaka 18+ ni nusu sawa ya walio chini ya miaka hiyo? Kama sio Magufuli na ccm wamejiandaa kutangaza matokeo ya uongo, na kuuingiza nchi hii kwenye umwagaji wa damu ni nini zaidi?
Haya leta wewe idadi ya ufipa ya watu wanaofaa na kustahili kupiga kura.

Tayari nyumbu mmeshaanza kuisoma namba. Hivi kwa akili yako toka uchaguzi wa 2015 waTz wangapi walikuwa na Umri kati ya 13 hadi 17 wanastahili kuongezwa. Wangapi hawakujiandikisha 2015 safari hii wamejiandikisha.

Nenda Takwimu ukajiridhishe umri wa waTZ.
 
Kwa taarifa yako, aliyekataza mikutano vya wazi kashairuhusu, hivyo Lisu alikuwa anaua ndege wawili kwa jiwe moja, kusaka wadhamini, na wakati huo huo kufanya mikutano ya kisiasa. Na yuko sahihi njaa 100%. Inaonekana hili Katazo haramu la Magufuli kwa mikutano ya hadhara mmeons ni sawa na mlemaa, kiasi mkiona mtu anafanya mikutano ya wazi ya kisiasa iliyopo kisheria mnaodhani ni kampeni.

Badala ya kukaa kizoba kubaki kumtetea Magufuli kwakuwa hawezi siasa za ushindani, ni vyema ukajiuliza inawezekana vipi nchi yenye wananchi wanaokaribia 60m, iwe na wapiga kura 29m+ kwa mujibu wa NEC? Inawezekana vipi kila watanzania wawili mmoja awe amejiandikisha kupiga kura? Kwa hamasa ipi ya kisiasa iliyopo nchini, mpaka idadi ya wapiga kura iwe ni ya watanzania wote wenye umri wa miaka 18+?
sijakuelewa na sitaki kukuelewa kwakuwa una viashiria vya upumbavu, hebu tulia tusiambukizane uzwazwa plz
 
Isipokuwa yule:-
1. Aliyekusanya wanachama nchi nzima pale dodoma wakati anachukuwa form wakiwemo
- Mawaziri nk

2. Aliyetangaza kupitia television zote inchini
- uchukuwaji wake form
- mabarabara alojenga
- miradi mikubwamikubwa nk

Huyu yeye hakufanya kampeni ila alikuwa anatangaza tu!
si mliona raha kusindikizwa na polisi kila mkoa,
 
Hilo neno kuanza kampen kabla liko kwenye sheria ipi? Je magufuli na genge lake siku walipochukua form na kujikusanya pale dodoma na kuanza kuelezea hayo wanayoyaita mafanikio hàikuwa kampeni jiongeze wewe.
ukijiongeza wewe yatosha,
 
Back
Top Bottom