mukaruka mzee
JF-Expert Member
- Jan 22, 2020
- 970
- 482
Ndio wale wale mkishindwa HOJA mnakimbilia matusi. Binafsi sina muda wa kujibizana matusi kwenye hili jukwaa lenye hadhi na heshima ya kimataifa. Kama una hoja zitoe ili wasomaji na wana JF wapate faida ya hii mijadala. Siyo matusi, I am very sorry for that. Bye.Niambie kwa mujibu wa sheria gani???? Kilaza mkubwa wa mataga wewe