minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Jaji kaijage ajiandae kujibu mashitaka kwenye mahakama ya uhalifu kule The HagueTume muwe makini msije tuletea machafuko Tundu lissu mpitisheni wakapambane uwanjani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaji kaijage ajiandae kujibu mashitaka kwenye mahakama ya uhalifu kule The HagueTume muwe makini msije tuletea machafuko Tundu lissu mpitisheni wakapambane uwanjani
Lipumba hana familia anaishi mwenyewe kama msela mvuta Bangi hana uchungu na chochote hata akivuruga Amani atakimbilia kwao congo kisha kuacha kimbunga kikiteketeza watuHILO wanalolitafuta safari hii watalipata.
Hii ni nchi yetu sote.
We shall overcome.
Wewe ndiyo unajifanyia hayo acha kuwasingizia wengineBavicha mbajitekenya wenyewe halafu mnacheka
Hata mimi, kama mpiga kura niliyejiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, nafikiria very seriously, KUMUWEKEA LISSU PINGAMIZI kwani kaanza kampeni mapema. Ninashauriana na Mawakili wangu na kuzipitia CLIP TULIZOKUSANYA wakati akiwa kwenye hiyo misafara yake ya "kutafuta wadhamini". Pia tunajaribu kuangalia kutoka kona nyingine ya KUTUMIA LUGHA YA MATUSI kwenye hiyo misafara yake. Ninataka nione huyo Amsterdam atakacho kuja kufanya kumsaidia huyu mteja wake.Mbio za kuwania urais wa Tanzania kwa Tundu Lissu, huenda zikafikia ukingoni siku chache baada ya kukabidhi fomu zake Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Lissu alipitishwa na chama chake, CHADEMA kugombea nafasi hiyo katika Uchaguzi wa mwaka huu, 2020 uliopangwa kufanyika Oktoba 28.
Read more > Urais 2020: Lissu kuwekewa vikwazo kimkakati - Imevuja!
Waambie wamefeli kabla hawajaanza!!!Mbio za kuwania urais wa Tanzania kwa Tundu Lissu, huenda zikafikia ukingoni siku chache baada ya kukabidhi fomu zake Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Lissu alipitishwa na chama chake, CHADEMA kugombea nafasi hiyo katika Uchaguzi wa mwaka huu, 2020 uliopangwa kufanyika Oktoba 28.
Read more > Urais 2020: Lissu kuwekewa vikwazo kimkakati - Imevuja!
tupe tafsiri ya kikatibaukiona adui yako anafurahia au kukuacha ufanye jambo fulani ujue lina madhara kwako, polisi kumsindikiza lisu na kuruhusu mikusanyiko na kumuacha aihutubie wakati anatafuta wadhamini ni kielelezo tosha alianza kampeni kabla,
subiri hapo hapotupe tafsiri ya kikatiba
Muwekee na Magufuli pia tafuta clip akiongea na wana CCM baada ya kuchukua fomu ya NEC pale White House Dodoma. Pia pitia na official kurasa yake ya facebook utaona kampeni yake ya kutoshaHata mimi, kama mpiga kura niliyejiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, nafikiria very seriously, KUMUWEKEA LISSU PINGAMIZI kwani kaanza kampeni mapema. Ninashauriana na Mawakili wangu na kuzipitia CLIP TULIZOKUSANYA wakati akiwa kwenye hiyo misafara yake ya "kutafuta wadhamini". Pia tunajaribu kuangalia kutoka kona nyingine ya KUTUMIA LUGHA YA MATUSI kwenye hiyo misafara yake. Ninataka nione huyo Amsterdam atakacho kuja kufanya kumsaidia huyu mteja wake.
True siasa sio hesabu ni upepo,Siasa inahitaji science siku hizi.
Mtahamisha sana magoli mwaka huu!!! Huyo ndo Lissuukiona adui yako anafurahia au kukuacha ufanye jambo fulani ujue lina madhara kwako, polisi kumsindikiza lisu na kuruhusu mikusanyiko na kumuacha aihutubie wakati anatafuta wadhamini ni kielelezo tosha alianza kampeni kabla,
Kwa vigezo hivyo hata Magufuli anweza kuenguliwa kabisa!ukiona adui yako anafurahia au kukuacha ufanye jambo fulani ujue lina madhara kwako, polisi kumsindikiza lisu na kuruhusu mikusanyiko na kumuacha aihutubie wakati anatafuta wadhamini ni kielelezo tosha alianza kampeni kabla,
Wewe wawekee hao! Mimi binafsi nimeamua kushughulika na Lissu. Ili twende sare, wewe muwekee yoyote unayetaka. Kila mtu na haki nautashi wake. Hapa ni suala la sheria SIYO UNAZI WALA USHABIKI Lord denning!Muwekee na Magufuli pia tafuta clip akiongea na wana CCM baada ya kuchukua fomu ya NEC pale White House Dodoma. Pia pitia na official kurasa yake ya facebook utaona kampeni yake ya kutosha
Pia muwekee pingamizi na Membe maana alivyokuwa na Maalum Seif Zanzibar juzi, alitoa ahadi kemkem ikiwepo kuwatoa masheikh!!
Hilo neno kuanza kampen kabla liko kwenye sheria ipi? Je magufuli na genge lake siku walipochukua form na kujikusanya pale dodoma na kuanza kuelezea hayo wanayoyaita mafanikio hàikuwa kampeni jiongeze wewe.ukiona adui yako anafurahia au kukuacha ufanye jambo fulani ujue lina madhara kwako, polisi kumsindikiza lisu na kuruhusu mikusanyiko na kumuacha aihutubie wakati anatafuta wadhamini ni kielelezo tosha alianza kampeni kabla,
Niambie kwa mujibu wa sheria gani???? Kilaza mkubwa wa mataga weweWewe wawekee hao! Mimi binafsi nimeamua kushughulika na Lissu. Ili twende sare, wewe muwekee yoyote unayetaka. Kila mtu na haki nautashi wake. Hapa ni suala la sheria SIYO UNAZI WALA USHABIKI Lord denning!
Mbona kuna mgombea alianza kampeni tangu January 2016, hamsemi? Hata juzi tu kwenye kampeni alinunua jogoo laki!!ukiona adui yako anafurahia au kukuacha ufanye jambo fulani ujue lina madhara kwako, polisi kumsindikiza lisu na kuruhusu mikusanyiko na kumuacha aihutubie wakati anatafuta wadhamini ni kielelezo tosha alianza kampeni kabla,
Kama ni hivo mbona wote wanapingamizi maana wapo waliyofanya kampeni miaka yote 5 pekee yao,juzi wamewatumia viongozi wa dini na wassanii kuwapigia kampeni, wamegawa rushwa makanisani miaka yote. Kwa kigezo hicho wote wanakosa sifaWewe wawekee hao! Mimi binafsi nimeamua kushughulika na Lissu. Ili twende sare, wewe muwekee yoyote unayetaka. Kila mtu na haki nautashi wake. Hapa ni suala la sheria SIYO UNAZI WALA USHABIKI Lord denning!