Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo mmewekeza mno nguvu Chadema na sasa mnamvunja moyo mwenye kuamini u profesa ungemwongezea sifa za urais.Buguruni Msafara ni mkubwa sana unaelekea Magomeni Kanisani
Hana Jipya.
Hapa ina mbili akafanye tena mkesha pale Buguruni,wakati huu ili uweze kuwa na mafanikio kama simu miezi miwili,sijui😂Leo Prof. Lipumba atakuwa na jambo lake Magomeni.
View attachment 2513562
Kulikoni wapambe wamemtelekeza?
Hata timu nzima ya chawa wazamivu nayo baridi!
Kulikoni Jilala Country Mtambuka joni inakuwa je sasa?
Hapa ina mbili akafanye tena mkesha pale Buguruni,wakati huu ili uweze kuwa na mafanikio kama simu miezi miwili,sijui😂
Chadema wamejificha uvunguni, wanasubiri mabomu
Ila ni ngumu hawataki kupangiwa matumizi ya ruzuku😂Ushauri wa bure hivi vyama vingefikiria kujiunga tu na chama baba lao.
Tukiitisha tena Bunge la Katiba lazima Lipumba nae awemo lakini safari hii Nyumba hawatamfuata akiwatoa nje
Huyo akipata hata watu 20 kwenye mkutano wake ashukuruLeo Prof. Lipumba atakuwa na jambo lake Magomeni.
View attachment 2513562
Kulikoni wapambe wamemtelekeza?
Hata timu nzima ya chawa wazamivu nayo baridi!
Kulikoni Jilala, Country , Mtambuka, joni inakuwa je sasa?
Tupicha basi ili siye kina Tomaso tupate kuaminiBuguruni Msafara ni mkubwa sana unaelekea Magomeni Kanisani
Chadema wamejificha uvunguni, wanasubiri mabomu
Watanzania tumeshastuka kwba mwanzoni tulilishwa pumba za sifa pumba za Lipumba eti kwamba yeye ndiye mchumi mahili sana duniani.
Na tukadanganywa kuwa Lipumba ndiye mshauri wa mambo ya uchumi wa USA, Uganda, Rwanda, SA na nchi nyingine nyingi.