Yaan unamaanisha Chumba, Choo & Jiko X units/apartments 3??Kama uko sehemu nzuri, jengautakuja nishukuru baadae.. Hiyo milioni 20 kama unasimamia vizuri kabisa, unaweza ukajenga chumba, choo na kijiko walau vi3 mpaka vi5 hivi.
Kuna maeneo chumba, choo na jiko lake kodi inaanzia laki na kuendelea.. Na hii kadri mji unavyokuwa kodi inaongezekana, thamani ya eneo husika na kuendelea.. Miaka 10 ijayo hiyo sehemu thamani yake sio milioni 20 tena inaweza ikawa mara 5 yake.
Inategemea unajenga kwa namna gani,Yaan unamaanisha Chumba, Choo & Jiko X units/apartments 3??
Kwa hiyo 20mil only? Kwamba kila moja iwe 6.6m labda kuanzia boma, kupaua, finishing ndani, finishing nje, materials na labor charges?
Haya maeneo nayoishi vyumba ndio bei yake hiyo. Yaani chumba na choo (single master) laki, so sebule na jiko navyo laki tu.Nyumba ya 20m sidhani kama itakupa 200,000/- kwa mwezi guaranteed. Ungesema kiuhalisia kiwanja kipo wapi na utaijengaje..
Pia kumbuka haitakaliwa continuously kwa miaka 10 na itahitaji marekebisho.
UnajidanganyaKwema Wakuu,
Za weekend?
Nipo nachanganua hapa. Mfano nikiwa na labda 20,000,000/- nikazitia UTT Kwa riba ya 12% naweza kupata roughly 2,400,000 faida baada ya mwaka mmoja.
Alternatively hizi 20,000,000/- kama kiwanja ninacho nikijenga hata Chumba, sebule na choo Kwa eneo nililoko sikosi hata kodi ya 200,000/- monthly ambapo Kwa mwaka itakuja palepale 2,400,000/-.
Hesabu hapo juu ni estimates ambazo zinaweza kuongezeka au kupungua kutokana na sababu mbalimbali. Lakini uhalisia hautozidi sana haya makadirio
Mimi nina ka ulewa elewa kidogo na mambo ya uchumi ila kwenye hili swala inahitajiia zaidi ya uelewa ikiwemo na uzoefu pia.
Hapa wadau mnanishauri niende na kipi??
Eneo i.e location.Haya maeneo nayoishi vyumba ndio bei yake hiyo. Yaani chumba na choo (single master) laki, so sebule na jiko navyo laki tu.
Labda doubt iwe kwamba TZS 20,000,000 inaweza kumaliza Chumba, Sebule, Choo na jiko?
Duh seriously?Inategemea unajenga kwa namna gani,
Mimi najenga hapo bila tabu na ikipungua saana pesa ya kodi ya miezi 6 ya mwanzo inamalizia, lakini kwa mimi hiyo milioni 20 inatosha kabisa.
Liquid asset ukitazama kwa kina zinarisk kubwa sana endapo agreed rate iko fixed bila kuzingatia athari hasi ktk inflation rate or prices,kny real estate hizo factor zinajiaddress naturally mfano NHC wananyumba za miaka ya 50 ambazo kwa sasa zinareflect mkt price sasa bila kujiridhisha usahihi wa hizo factors usiwekeze kny Liquid assetAngalia liquid assets.
Nyumbani za kupangisha hazina predictable cash flow na ukizingatia Tanzania real estate business iko unregulated, iko hovyo hovyo, mtu yoyote anaweza kujenga mahala popote hata akiwa na milioni 2. Hii inafanya real estate business kutokua na thamani sana.
Mambo ya kukaa kuhangaika na wapangaji, mara matengenezo, mara uwe blocked na wapangaji ya nini?
Kama una hela wekeza kwenye liquid assets ama ufanye biashara kabisa.
Kwani liquid assets unaweka miaka 50 mkuu? Si unaweka miaka 2 ama 3, kisha unaweka tena. Miaka 2 ama 3 hakuna inflation kubwa sana ya kuharibu thamani ya fedha zako kwa Tanzania. Inflation ina matokeo makubwa sana kwenye chumi zilizoendelea huko ulaya na Marekani.Liquid asset ukitazama kwa kina zinarisk kubwa sana endapo agreed rate iko fixed bila kuzingatia athari hasi ktk inflation rate or prices,kny real estate hizo factor zinajiaddress naturally mfano NHC wananyumba za miaka ya 50 ambazo kwa sasa zinareflect mkt price sasa bila kujiridhisha usahihi wa hizo factors usiwekeze kny Liquid asset
Hiyo ni athari ya mikataba dhaifu na kutawaliwa na ujamaa kichwani mtu anaharibu vp asset yako alafu unamchekea?Kuna wapangaji wakitoka tu yaani karibu hata robo ya hela ya mpangaji mpya unairudisha kwenye matengenezo. Vitasa ulimpa funguo tatu tatu anarudisha Nyumba hakuna hata mmoja, kuta zote katoboa au watoto wamechora chora na kuchafua.
Mkuu hii liquid assets ukiweka mfano mil 3,4,5 je kila mwezi utakuwa unapokea sh ngapi na ni bank GaniKwani liquid assets unaweka miaka 50 mkuu? Si unaweka miaka 2 ama 3, kisha unaweka tena. Miaka 2 ama 3 hakuna inflation kubwa sana ya kuharibu thamani ya fedha zako kwa Tanzania. Inflation ina matokeo makubwa sana kwenye chumi zilizoendelea huko ulaya na Marekani.
Pili usisaha, ile riba unayopata ndio inatumika kama ulinzi wa thamani ya fedha zako, udiangalie kiasi ulichoweka tu, angalia na riba uliyolipwa. Kama unaweka 10m ukapata 1m maana yake mwakani thamani ya pesa yako itakua 11m, tayari fedha yako imelindwa.
Hivi hizi TB huna zinacompounding effect? Mfano Nina 85 M now nikiweka for 25 years nitavuna kiasi gani kwa wastani?Treasury bonds 25 years @ 16% , then reinvest gawio lako na ukiweza ongeza 1 m kila mwaka, baada ya 5 years itakuwa na 50m, 10 years 120m na 25 years utakuwa na 1.2 billion 😂, kumbuka no taxes, kazi ngumu na inflation very unpredictable
Mkuu,ndo maana kuna kitu kinaitwa compound interest..Liquid asset ukitazama kwa kina zinarisk kubwa sana endapo agreed rate iko fixed bila kuzingatia athari hasi ktk inflation rate or prices mfano NHC wananyumba za miaka ya 50 ambazo kwa sasa zinareflect mkt price sasa bila kujiridhisha usahihi wa hizo factors usiwekeze kny Liquid asset
Mkuu,bonds za BOT hakuna compund interest..utapata Faida flat rate kwa muda wote wa mkataba wako.Hivi hizi TB huna zinacompounding effect? Mfano Nina 85 M now nikiweka for 25 years nitavuna kiasi gani kwa wastani?
walioanzisha hii mifuko wanalitambua hilo mkuu. Ndiposa utakuta wakati wanaanza kipande kilikuwa 150 sasa hivi kipande kimoja ni 436Liquid asset ukitazama kwa kina zinarisk kubwa sana endapo agreed rate iko fixed bila kuzingatia athari hasi ktk inflation rate or prices,kny real estate hizo factor zinajiaddress naturally mfano NHC wananyumba za miaka ya 50 ambazo kwa sasa zinareflect mkt price sasa bila kujiridhisha usahihi wa hizo factors usiwekeze kny Liquid asset