Hyo ni mlevii yupo hvyo kweli anakunywa masaa 24 nyumban huwa anaenda kubadili nguo tu...hyo bar ipo kurasini karibu na chuo cha tiaNa huyo jamaa ndivyo alivyo au ana act?
Jamaa amekiki sana. Afanye mpango atoe track sasa...Hyo ni mlevii yupo hvyo kweli anakunywa masaa 24 nyumban huwa anaenda kubadili nguo tu...hyo bar ipo kurasini karibu na chuo cha tia
Jamaa amekiki sana. Afanye mpango atoe track sasa...
Midone TV tafuteni huyu jamaa mpige nae interview
Masaa 24 anakunywa na kazi anafanya saa ngapi mkuu? au ni mtu wa vibomu tu?Hyo ni mlevii yupo hvyo kweli anakunywa masaa 24 nyumban huwa anaenda kubadili nguo tu...hyo bar ipo kurasini karibu na chuo cha tia
Yeye anatafuta hela za kunywea saa ngapi?Hyo ni mlevii yupo hvyo kweli anakunywa masaa 24 nyumban huwa anaenda kubadili nguo tu...hyo bar ipo kurasini karibu na chuo cha tia
Kuna picha na video za mlevi mmoja zina trend sana kwenye social networks..
Videos zina mchora jamaa kama mlevi ambae akikosa pombe anaugua.
Jamaa mwenyewe ndio huyo hapo pichani
Is it for real au ni kiki?
Na huyu jamaa mlevi ndivyo alivyo in real life au ana act?
Kama ni kiki basi big up sana kwa marketing manager wa Liquid Pub
Ndio mkuu,mbona watu kama hao kila bar kubwa wapo..Masaa 24 anakunywa na kazi anafanya saa ngapi mkuu? au ni mtu wa vibomu tu?
Kwenye ile ajali ya ghorofa la chang'ombe alikuwepo,,alikua akifitisha milango mulee na alitoka salama hahahaAah-aai-maaama-nakufa.
[emoji23][emoji23][emoji23]piere bana.hivi anafanya kazi gani??
Hao wanaitwa ndege wa angani hawalimi ila wanakula na kunywa.Aah-aai-maaama-nakufa.
[emoji23][emoji23][emoji23]piere bana.hivi anafanya kazi gani??