Elections 2010 Lisa M Rockerffeller urge Tanzanians to reject Kikwete a 2nd Term

Elections 2010 Lisa M Rockerffeller urge Tanzanians to reject Kikwete a 2nd Term

Status
Not open for further replies.
- Hao wazungu wangetuachia mambo yetu ya ndani tutayaamua wenyewe, wao wazungu mabaya waliyotufanyia Africa sio madogo eti, huyu mdada anasahau kwamba ni wizi wa familia yake kwa taifa lake ndio uliopelekea kuanzishwa kwa sheria ya Standard Act, ili kuzuia monopoly za wizi wa familia yake kwa wananchi wa US, sasa kama yeye ni mkweli angeanza kuwarudishia serikali ya US na wananchi wake hela walizoiba huko mpaka kuanzishiwa sheria.

- Africa bwana tunakuaga so desparate na ushindi wa uongozi kwamba hata huwa hatuulizi maswali magumu, halafu baadaye ndio tutakuja kuanza kutafutana uchawi, huyu dada hana moral authority yoyote ya kutufundisha wa-Tanzania kuhusu uzuri na ubaya wa viongozi wetu, kwa sababu tunayajua vizuri matatizo yetu, yeye na familia yake warudishe zile hela zote walizowabia wananchi wenzao huko US through biashara zao za mafuta na ngano!

Ahsanteni.

William.
Kinachokufanya uishi nchini kwao nini wewe mwana wa Malecela? Toa pumba zako hapa bana! Kama wao ni waovu kiasi hicho nini kinakufanya ung'ang'anie huko? Hata kura hujapiga wewe!
Watu wengine bana! ni wewe huyu uliyekuwa unamnadi Lau hapa. Kwenda naye huko sasa wana Mwanza wamempiga chini!
 
Kinachokufanya uishi nchini kwao nini wewe mwana wa Malecela? Toa pumba zako hapa bana! Kama wao ni waovu kiasi hicho nini kinakufanya ung'ang'anie huko? Hata kura hujapiga wewe!
Watu wengine bana! ni wewe huyu uliyekuwa unamnadi Lau hapa. Kwenda naye huko sasa wana Mwanza wamempiga chini!

- Mkuu vipi wewe kwani ni Lau peke yake aliyeshindwa huu uchaguzi ha! ha! angalau yeye amekuwa mstaarabu hajakataa matokeo ha! ha! ha!, unajua ni kawaida ya pumba kufikiri wengine wote ni pumba kama yeye ha! ha! ha! yaani unasema kwa sababu ninaishi USa basi ni haki ya mzungu yoyote wa US kuja na kuniamulia kiongozi wangu awe nani? ha! ha ha! halafu unalia maneno ya pumba ha! ha! ha! inacheksha sana mbona unahangaika sana bro kwenye hii thread ha! ha! ah!

William.
 
we malecela watever unavojiita ni pimbi...kwa sababu gan...?i nawakilisha...
1. unajua zahiri anachosema Lisa ni kweli mtupu.
2. unatambua taifa hili linawategemea watu kama akina lisa.
3. serekali yako imejizatiti vipi kutupa kibakuli mpaka umwambie lisa awaachie nchi yenu...
5. kashfa alizotoa Lisa zinakugusa wewe binafis kwa % 100 ndo maana unakua mkali je wewe ndo mtanzania mwenyewe uliye chukia kutukanwa na lisa..?
6. mbona jakaya mwenyewe hajakanusha hizi habari na niza muda tuu..
Ushauri...Jaribu ku restart au refresh brain yako kabla ya kukoment.

- Unasema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amjibu huyu mzungu? Kwa sababu ni mzungu ndio maana unalilia ajibiwe huyu kabla ya wewe mbongo kujibiwa? Unaona sasa haya mawazo ya kitumwa! ha! ha! ah! ah!

William.
 
William
Ni kweli kabisa hawa wazungu watuachie, kwani baadhi ya matatizo tuliyonayo hayamkini pana mkono wao.
sasa kama ulivyoeleza kina Rockfeller, walisababisha sheria ikatungwa hapa Marekani, na nina imani kwa sehemu ilipunguza makali ya wazungu wajanja
. S

- Sawa sawa mkuu tupo pamoja sana hapa.

William.
 
Fundiiiiii

You missed the point Mkuu..............anyway majibu yako yanafurahisha kusoma kama zile "hadithi" za rafiki yangu Mohamed Said..................story ya mtu mzima kuishi nyumbani kwa wazazi wake ni out of context na moral wa hii saga hapa............

1. kama hukubali kuwa sisi ni Taifa huru.............then mjadala huu hautakuwa na mwisho.............

2. Ni nani alikuambia hiyo misaada hatutalipa?..........hakuna free lunch Mkuu..........hiyo ni mikopo na tutailipa na mengine tunailipa hivi sasa ................msidanganye watu kuwa hiyo misaada ni free...............

3.Sikatai kuwa sisi ni maskini kutokana na mapungufu yetu sisi wenyewe tangia uhuru........call it 50/100 years.........however kama Mtanzania siwezi kuuza uhuru wangu eti kwa kuwa umenisaidia............ebo.............nilikuwa Haiti baada ya tetemeko kutokea........mtoaji msaada mkuu alikuwa ni US............lakini ulizia kilichowakuta wale wamissionari waliotaka ku-take advantage ya maafa kuchukua watoto/vijana wa Ki-Haiti.............nafikir unaelewa kilichowakuta..............hata kama Haiti ni maskini lakini wana taratibu zao na mambo yao kama Taifa na lazima zi/yafuatwe................

4.kuwa responsible is one thing na kuwa tegemezi ni another..........."ONLY DEAD FISH GOES WITH THE FLOW".....we ain't dead my brother...we may be close......but............huo ni mjadala wa aina yake...........give it a thread tutakutana huko................

hakuna mahala nimejivunia responsibility ya Taiifa langu.................tuko hapa Mkuu siku zote....tunamkoma nyani giladi.......lakini hili la mzungu kutuingilia/kutusemea mambo yetu ya ndani nasema BIG NO...................watuachie wananchi wenyewe, mimi wewe na yule tuwashughulikie viongozi wabovu...........na tuwaondoe madarakani kwa taratibu zetu tulizojiwekea.................

...........wote hapa tunajadiliana kila kukicha hapa JF.........lakini ndio hivyo 61% imeamua mkwere atuongoze..............sipendi lakini ndio demokrasia (notwithstanding UCHAKACHUAJI).....................ni jukumu letu Watanzania kuhakikisha tunaodokana na U-Matonya...............lakini ukisubiri sijui mtoto wa tajiri gani kutoka US ndio atusemee.............no wonder wananchi kule vijijini wanatuona sie wauza (mabwege mtozeni) nchi na mapandikizi ya Wakoloni...............hence 61%.................

hakuna anayetuonea huruma Mkuu....HAKUNA........hao mnaowaabudu WANATUDHARAU period..............HAKUNA huruma............

tuna uwezo wa kuwashughulikia viongozi wetu wabovu wenyewe...................tusipowatoa...........ni sisi wenyewe....tumetaka

Rafiki yangu, Ogah! Mohamed Said ameingiaje humu? Utasemaje kuwa kitu ni out of context bila kueleza sababu za kusema hivyo?

Sisi tuna uhuru wa bendera lakini bado hatujapata uhuru wa uchumi. Hii sio siri, hata Mwalimu alituasa kuwa kazi ya kujikwamua kiuchumi ni ngumu na ndefu.

Hili Haiti ndiyo out of context. Hao wamishionari walikuwa wanawakwiba watoto, kitendo ambacho ni uvunjaji wa sheria na hakihusiani chochote na suala la ukoloni. Hao wahait mbona hata kabla ya tetemeko walikuwa hawaishi kuhatarisha maisha yao kuelekea Marekani? Lisa ametwa mawazo yake kama binadamu yeyote na kutushauri kama ilivyo haki yake. Ni wajibu wetu sisi ambao ndio wenye dhamana ya kupiga kura kuamua kama ushauri wake una mantik au la. Lakini hii biashara ya kukimbilia kumshutumu kuwa kama mtu mweupe ambaye binamu zake waliwahi kututawala won't fly. Kwa kusema alichosema hakuvunja sheria yeyote ya taifa kama walivyofanya wale wamishionari unaotaka kumfananisha nao.

Unakosea tena. Hajatuamulia. Amesema. Ametowa mawazo yake ambayo wengi wa waliopiga kura hawakukubaliana nayo. Sasa nyinyi ambao mnaogopa kila kitu anachosema mzungu ndio mnamtukuza. Huyu dada hana jeshi, hana mamlaka katika serikali, ukiangalia kiingereza chake mtu unatia wasiwasi elimu yake lakini kwa vile ni mzungu anawatia mchecheto!Hicho chama pinzani kila siku walikuwa hawaishi kujisifu kuhusu uhusiano wao na Conservatives wa Uingereza. Mbona hamkulalamika wakati ule kuwa wanawaingilia?

Tunalipa misaada? Umesahau muziki tuliopigiwa dunia nzima kuwahimiza wakubwa watusamehe mikopo? Umesahau wakina Gordon Brown walioongoza mapambano ya kudai kuwa tusamehewe madeni yetu? Umesahau kuwa kweli tulisamehewa? Umesahau kuwa sisi tunapewa mikopo yenye masharti nafuu ili kutupunguzia mzigo na kutuwezesha kuwekeza kwenye social sector? Si kuwa tunapewa free lunches peke yake mkuu, bali sasa tunadai mpaka hiyo sahani waliotupakulia chakulia twende nayo bure. Ni dhana kama hizi ndizo anazo kemea Lisa.

Si asilimia 61 ya watanzania iliyompigia kura Mheshimiwa Kikwete. Hiyo asilimia ni ya kura zilizopigwa ambazo ni asilimia takribani pungufu ya 50 ya wanaostahili kupiga kura. Ni sehemu ndogo sana ya watanzania iliyomchagua. Lakini ndio mfumo tuliouchagua na ni lazima tukubali kuwa ndiye mshindi. Hakuna mtu anayesema kuwa Lisa amekuwa msemaji wa watanzania. Yeye ni mmoja tu katika watu waliotoa mawazo yao. Bila shaka wako wengine ambao wenye mawazo tofauti. Na wao wangesema tusingewapinga. Tungewasikiliza, halafu tungeamua tunayemtaka wenyewe. Ndiyo demokrasi.

Tunawaabudu tena? Yote haya kwa kusema kuwa Lisa ana HAKI ya kutoa mawazo yake? Hatujamuomba atoe mawazo na hatujasema kuwa ni lazima wote tukubaliane nae. Mimi ningedhani kuabudu ni kutegemea wao ndio wenye wajibu wa kututatulia matatizo yetu. Ndiyo maana tunatembeza kibakuli. Tunaona fahari kupokea misaada lakini hatutaki ushauri wa bure! Wanatudharau kwa sababu nusu karne baada ya kupata uhuru huo unaojivunia bado tunatembeza vibakuli. Nchi ambazo zilikuwa maskini kuliko sisi zinatuwashia indiketa. Dharau inatokana na hilo na si lingine.

Hakuan mtu anayesema kuwa uwezo wa kutafuta neema ni wa kwetu wenyewe. Lakini wakati tunatafuta neema hiyo, tusikatae ushauri kwa vile tu mtu aliyesema hatufanani nae rangi. Tunahitaji ushauri kutoka popote pale duniani. Wajibu wetu ni kuwa makini katika kuchagua ni upi utakuwa na maslahi kwetu bila kujali kama aliyetoa ni Ogah au Lisa! Huo ndio utu uzima. Ndio responsibility. Si huku ku-throw tantrums kama mtoto mdogo aliyenyang'anywa puto na mwenye puto.

Amandla......
 
- Ninatetea taifa langu kutoingiliwa na Wazungu tuliowafukuza bila kupenda, kama for that heshima yngu kwako inashuka so be it,
ila wazungu watuachie taifa letu maana sasa tuko huru kuamua mambo yetu, maana ni hao hao ndio waliotuletea hizi political confusions in the first place!


William.
Acha ubwege nyama wee! Mambo yetu yapiambayo wew ushashriki kwa uhuru kuyatolea maauzi.na hali mbaya kuliko wajima,nchi inaiingzwa mkenge na wakoloni weusi hawa wa ccm we unadirik,i kuja na il.iyooza hapa.nonnsensed.
 
Y'all who backing Lisa......may I have your opinion on THIS ONE .......watch it please

This fool hasn't even heard of Zimbabwe, Timbuktu, Axum etc and he wants to be taken seriously? Uncle Toms are all over the place. On the other hand people like Cornell West have voiced the same concerns without putting down Black people. Lisa did not say Black people had a problem. She only criticized one person who happens to be Black. Totally different things.

Amandla.......
 
Acha ubwege nyama wee! Mambo yetu yapiambayo wew ushashriki kwa uhuru kuyatolea maauzi.na hali mbaya kuliko wajima,nchi inaiingzwa mkenge na wakoloni weusi hawa wa ccm we unadirik,i kuja na il.iyooza hapa.nonnsensed.

- Badala ya kumsikiliza Mtikila wewe unataka tukamsikilize mzungu kwa sababu ni mzungu, talking abot ubwege na unyama ha! ha ! ha! ha! ha! inachekesha sana bro! ha! ha!

William.
 
- Mzungu is good na mambo ya taifa lake la US, na mimi i am good na mambo ya taifa langu Tanzania naona mnasema maneno mengi ambayo sijayasema, again naomba kurudia ninachosema ni kwamba mzungu akaamue viongozi wa taifa lake USA, taifa langu Tanzania aniachie mimi mzawa wa Tanzania ndiye ninayejua kiongozi gani ananifaa na nani hanifai!

Sijui kama huyu jamaa anakijuwa anachoongea kama si kutafuta umaarufu hapa jamvini, Inamaana Tanzania ni taifa lako tu wewe Maelecela au kwa vile ni mtoto wa mchakachuwaji ndo maana unasema hivyo. Ungekuwa ni mtu mwenye busara wala usingeweza kujibu kila hoja inayopostiwa hapa kupinga mambo mabaya ya Uongozi wa Kikwete, au kwa vile na wewe ndo walewale? Fumba mdomo wako japo uko huru kuchangia hapa, si busara wewe kujibu kila hoja hapa ili mradi na wewe uonekane upo na Jina la baba yako fisadi kama wengine. Shame on U William.


 
This fool hasn't even heard of Zimbabwe, Timbuktu, Axum etc and he wants to be taken seriously? Uncle Toms are all over the place. On the other hand people like Cornell West have voiced the same concerns without putting down Black people. Lisa did not say Black people had a problem. She only criticized one person who happens to be Black. Totally different things.

Amandla.......

Thank you for that opinion...............why did you call the man/priest "fool"?........is it because he has not heard of Zimbabwe? or Timbuktu etc...............

Lisa called our President Dumb and Mugabe Brilliant na hivyo tusimchague..........

The priest is black just like you and I..........so issue hapa sio kwamba nani ni mweusi na nani ni mweupe.............watch it again!.........na link it with Lisa message............e.g. listen to the "amandla" Part
 
W.J. Malecela,

wewe ni mtu hatari sana kwa taifa letu. Nyie ndio ambao baba zenu walipata madaraka badala ya kulisaidia taifa wakaishia kuiba ili kuinufaisha familia. Leo hii uko huko Marekani unafaidi kodi za watanzania wenzio ambao wanajitoa usiku na mchana kujenga taifa kumbe kuna watoto na ndugu wa viongozi wanakula maisha matamu huko nje ya nchi.

Lisa Rockerffeller amezungumza ukweli wa hali halisi ya watanzania, tena ukizingatia sehemu ambayo nduguyo Malecela alikua mbunge ni sehemu masikini kuliko nyingine Tanzania, kwanini wewe hauishi huko mtera ambako Mzee Malecela alikua mbunge? Unaishi marekani kwa akina Lisa? Ni kwasababu maisha ya huko ni mazuri na ya raha mustarehe kuliko Mtera.

Nauhakika leo hii Mtera ingekua kama huko Marekani ungekua unaishi huko...?!
 
This fool hasn't even heard of Zimbabwe, Timbuktu, Axum etc and he wants to be taken seriously? Uncle Toms are all over the place. On the other hand people like Cornell West have voiced the same concerns without putting down Black people. Lisa did not say Black people had a problem. She only criticized one person who happens to be Black. Totally different things.

Amandla.......

Isn't this the nigger from Atlanta ?
 
Mhafidhina [I said:
wewe ni mtu hatari sana kwa taifa letu. Nyie ndio ambao baba zenu walipata madaraka badala ya kulisaidia taifa wakaishia kuiba ili kuinufaisha familia. Leo hii uko huko Marekani unafaidi kodi za watanzania wenzio ambao wanajitoa usiku na mchana kujenga taifa kumbe kuna watoto na ndugu wa viongozi wanakula maisha matamu huko nje ya nchi.

Lisa Rockerffeller amezungumza ukweli wa hali halisi ya watanzania, tena ukizingatia sehemu ambayo nduguyo Malecela alikua mbunge ni sehemu masikini kuliko nyingine Tanzania, kwanini wewe hauishi huko mtera ambako Mzee Malecela alikua mbunge? Unaishi marekani kwa akina Lisa? Ni kwasababu maisha ya huko ni mazuri na ya raha mustarehe kuliko Mtera.

Nauhakika leo hii Mtera ingekua kama huko Marekani ungekua unaishi huko...?[/I]
Angeenda kufanya nini huko, mbona angekuwa huko Mtera tu, huyu jamaa william nina wasiwasi kama ameenda shule sawasawa na kama ameenda basi ni zile shule zinazohitaji pesa yako tu na madarak/ nyazifa za wazazi na wala si akili yake.Hata kama ni huko Marekani shule za pesa nazo zipo ambazo huiitaji kuwa na akili uweze kuingia, ndo alizoenda huyu jamaa. Anatoa argument kama kama mtu ambaye na support kama mtu wa mtaani tu asiyejuwa nchi inaenda wapi na watu wanaishiji katika tanzania hii. Yeye yuko huko US amegoma kurudi Tz anafanya nini huko sasa, akija mtu kama huyu apewe uongozi wa nchi hii kwa hizo kuangalia tu hizo post zake anaweza kufukia nchi shimoni kabisa maana hapa ilipo baba zake na marafiki wa baba zake waliyopo madarakani wameshaiuwa nchi tayari.
 
- Mzungu is good na mambo ya taifa lake la US, na mimi i am good na mambo ya taifa langu Tanzania naona mnasema maneno mengi ambayo sijayasema, again naomba kurudia ninachosema ni kwamba mzungu akaamue viongozi wa taifa lake USA, taifa langu Tanzania aniachie mimi mzawa wa Tanzania ndiye ninayejua kiongozi gani ananifaa na nani hanifai!

Sijui kama huyu jamaa anakijuwa anachoongea kama si kutafuta umaarufu hapa jamvini, Inamaana Tanzania ni taifa lako tu wewe Maelecela au kwa vile ni mtoto wa mchakachuwaji ndo maana unasema hivyo. Ungekuwa ni mtu mwenye busara wala usingeweza kujibu kila hoja inayopostiwa hapa kupinga mambo mabaya ya Uongozi wa Kikwete, au kwa vile na wewe ndo walewale? Fumba mdomo wako japo uko huru kuchangia hapa, si busara wewe kujibu kila hoja hapa ili mradi na wewe uonekane upo na Jina la baba yako fisadi kama wengine. Shame on U William.


- You know what bro, this is fun maana sasa unanikataza nisiandike mawazo yangu ha! ha! ha ! ila nikubali kwa nguvu mawazo yako ha! ha! ha umesahau kwamba hapa kuna Demokrasia ya kila member kutoa hoja, naona una hoja za personal well hazinisumbui you should know by now kwamba ni mambo ya territory na kwangu ni ya kawaida unapoteza muda wako bure tu! ha! ha! ha! ni kelele za mlango tu ha! ha! ah1

- Mkuu ni kwamba mzungu Lisa hafai kabisa kutuambia Wa-Tanzania kiongozi wetu awe nani, kama vile ambavyo na sisi hatuwezi kumualia Rais awe nani, shame on me kwa mawazo haya I love it!.


William.
 
W.J. Malecela,

wewe ni mtu hatari sana kwa taifa letu. Nyie ndio ambao baba zenu walipata madaraka badala ya kulisaidia taifa wakaishia kuiba ili kuinufaisha familia. Leo hii uko huko Marekani unafaidi kodi za watanzania wenzio ambao wanajitoa usiku na mchana kujenga taifa kumbe kuna watoto na ndugu wa viongozi wanakula maisha matamu huko nje ya nchi.

Lisa Rockerffeller amezungumza ukweli wa hali halisi ya watanzania, tena ukizingatia sehemu ambayo nduguyo Malecela alikua mbunge ni sehemu masikini kuliko nyingine Tanzania, kwanini wewe hauishi huko mtera ambako Mzee Malecela alikua mbunge? Unaishi marekani kwa akina Lisa? Ni kwasababu maisha ya huko ni mazuri na ya raha mustarehe kuliko Mtera.

Nauhakika leo hii Mtera ingekua kama huko Marekani ungekua unaishi huko.
..?!

- Yale yale hakuna jipya wala hoja ha! ha! ha! ha! unasema sina haki ya kubisha mawazo ya Lisa mzungu kwa vile siishi Mtera,

- Sasa nikijibu hii si na wenye akili watashindwa kuenielewa ha! ha! ha! ha! ha! Great Thinkers wengine bwana ninaumia sana mbavu zangu aaghhhrrr ha! ha! ha


William.
 
Mhafidhina [I said:
wewe ni mtu hatari sana kwa taifa letu. Nyie ndio ambao baba zenu walipata madaraka badala ya kulisaidia taifa wakaishia kuiba ili kuinufaisha familia. Leo hii uko huko Marekani unafaidi kodi za watanzania wenzio ambao wanajitoa usiku na mchana kujenga taifa kumbe kuna watoto na ndugu wa viongozi wanakula maisha matamu huko nje ya nchi.

Lisa Rockerffeller amezungumza ukweli wa hali halisi ya watanzania, tena ukizingatia sehemu ambayo nduguyo Malecela alikua mbunge ni sehemu masikini kuliko nyingine Tanzania, kwanini wewe hauishi huko mtera ambako Mzee Malecela alikua mbunge? Unaishi marekani kwa akina Lisa? Ni kwasababu maisha ya huko ni mazuri na ya raha mustarehe kuliko Mtera.

Nauhakika leo hii Mtera ingekua kama huko Marekani ungekua unaishi huko...?[/I]
Angeenda kufanya nini huko, mbona angekuwa huko Mtera tu, huyu jamaa william nina wasiwasi kama ameenda shule sawasawa na kama ameenda basi ni zile shule zinazohitaji pesa yako tu na madarak/ nyazifa za wazazi na wala si akili yake.Hata kama ni huko Marekani shule za pesa nazo zipo ambazo huiitaji kuwa na akili uweze kuingia, ndo alizoenda huyu jamaa. Anatoa argument kama kama mtu ambaye na support kama mtu wa mtaani tu asiyejuwa nchi inaenda wapi na watu wanaishiji katika tanzania hii. Yeye yuko huko US amegoma kurudi Tz anafanya nini huko sasa, akija mtu kama huyu apewe uongozi wa nchi hii kwa hizo kuangalia tu hizo post zake anaweza kufukia nchi shimoni kabisa maana hapa ilipo baba zake na marafiki wa baba zake waliyopo madarakani wameshaiuwa nchi tayari.

- Well, sasa I promise kwamba hapa ni mwisho wangu, Mheshimiwa sio siri kwamba kwa hizi hoja zako una elimu kubwa sana ha! ha! ha! ah!, ila in the future ukiona mijadala ya wasiokuwa na elimu ivuke nenda ya wenye elimu kama yako ha! ha! ha! ha! maana kama una aamini kwamba kukubali kuchaguliwa Rais wetu na huyu dada wa kizungu ni sawa na kupingana naye ni kutokua na elimu, basi mkuu naomba nikupe ushindi na niishie hapa! ha! ha! ha!

- Well, people it was nice debating this topic mwenye macho asiambiwe aone na masikio asiambiwe asikie, heshima kwa wote mlioshirki mjadala na hasa mleta mada, ubarikwie zaidi. Again unajua bado naukumbuka sana ule wimbo aliotufundisha Mwalimu kwenye Halaiki na JKT,

kwamba ".......mtu asiyejua kufa mwambieni aone kaburi wananchi tulinde taifa wakoloni wasije kurudi Tanzania....."

Thanks People!


William.
 
- Well, sasa I promise kwamba hapa ni mwisho wangu, Mheshimiwa sio siri kwamba kwa hizi hoja zako una elimu kubwa sana ha! ha! ha! ah!, ila in the future ukiona mijadala ya wasiokuwa na elimu ivuke nenda ya wenye elimu kama yako ha! ha! ha! ha! maana kama una aamini kwamba kukubali kuchaguliwa Rais wetu na huyu dada wa kizungu ni sawa na kupingana naye ni kutokua na elimu, basi mkuu naomba nikupe ushindi na niishie hapa! ha! ha! ha!

- Well, people it was nice debating this topic mwenye macho asiambiwe aone na masikio asiambiwe asikie, heshima kwa wote mlioshirki mjadala na hasa mleta mada, ubarikwie zaidi. Again unajua bado naukumbuka sana ule wimbo aliotufundisha Mwalimu kwenye Halaiki na JKT,

kwamba ".......mtu asiyejua kufa mwambieni aone kaburi wananchi tulinde taifa wakoloni wasije kurudi Tanzania....."

Thanks People!


William.
Warudi mara ya ngapi,au unaendelza visiasa vyako vya kijima kwa vinyimbo vilivyojaa ghilba ili tuendelee kufikiri mkoloni pekee ni mzungu tu badala ya wewe naa hao ccm baba zako mabeberu na na wanyonyaji wakubwa.jina lako la pili aibu afadhali umeaga.kwenda zako.
 
Thank you for that opinion...............why did you call the man/priest "fool"?........is it because he has not heard of Zimbabwe? or Timbuktu etc...............

Lisa called our President Dumb and Mugabe Brilliant na hivyo tusimchague..........

The priest is black just like you and I..........so issue hapa sio kwamba nani ni mweusi na nani ni mweupe.............watch it again!.........na link it with Lisa message............e.g. listen to the "amandla" Part

I stopped listening to that fool, when he said Egypt is not in Africa...keep listening to this fool calling his own people nigga. He has got a problem!!
 
Fundiiiiii

You missed the point Mkuu..............anyway majibu yako yanafurahisha kusoma kama zile "hadithi" za rafiki yangu Mohamed Said..................story ya mtu mzima kuishi nyumbani kwa wazazi wake ni out of context na moral wa hii saga hapa............

1. kama hukubali kuwa sisi ni Taifa huru.............then mjadala huu hautakuwa na mwisho.............

2. Ni nani alikuambia hiyo misaada hatutalipa?..........hakuna free lunch Mkuu..........hiyo ni mikopo na tutailipa na mengine tunailipa hivi sasa ................msidanganye watu kuwa hiyo misaada ni free...............

3.Sikatai kuwa sisi ni maskini kutokana na mapungufu yetu sisi wenyewe tangia uhuru........call it 50/100 years.........however kama Mtanzania siwezi kuuza uhuru wangu eti kwa kuwa umenisaidia............ebo.............nilikuwa Haiti baada ya tetemeko kutokea........mtoaji msaada mkuu alikuwa ni US............lakini ulizia kilichowakuta wale wamissionari waliotaka ku-take advantage ya maafa kuchukua watoto/vijana wa Ki-Haiti.............nafikir unaelewa kilichowakuta..............hata kama Haiti ni maskini lakini wana taratibu zao na mambo yao kama Taifa na lazima zi/yafuatwe................

4.kuwa responsible is one thing na kuwa tegemezi ni another..........."ONLY DEAD FISH GOES WITH THE FLOW".....we ain't dead my brother...we may be close......but............huo ni mjadala wa aina yake...........give it a thread tutakutana huko................

hakuna mahala nimejivunia responsibility ya Taiifa langu.................tuko hapa Mkuu siku zote....tunamkoma nyani giladi.......lakini hili la mzungu kutuingilia/kutusemea mambo yetu ya ndani nasema BIG NO...................watuachie wananchi wenyewe, mimi wewe na yule tuwashughulikie viongozi wabovu...........na tuwaondoe madarakani kwa taratibu zetu tulizojiwekea.................

...........wote hapa tunajadiliana kila kukicha hapa JF.........lakini ndio hivyo 61% imeamua mkwere atuongoze..............sipendi lakini ndio
demokrasia (notwithstanding UCHAKACHUAJI).....................ni jukumu letu Watanzania kuhakikisha tunaodokana na U-Matonya...............lakini ukisubiri sijui mtoto wa tajiri gani kutoka US ndio atusemee.............no wonder wananchi kule vijijini wanatuona sie wauza (mabwege mtozeni) nchi na mapandikizi ya Wakoloni...............hence 61%.................

hakuna anayetuonea huruma Mkuu....HAKUNA........hao mnaowaabudu WANATUDHARAU period..............HAKUNA huruma............

tuna uwezo wa kuwashughulikia viongozi wetu wabovu wenyewe...................tusipowatoa...........ni sisi wenyewe....tumetaka

Punguza hizo ................................................
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom