Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,558
- 1,456
- Well, shame on me kwa kukataa kuamuliwa na mkoloni nani ananifaa kwua kiongozi wangu, I can live with that bila tatizo, lakini ninasema mzungu ajali mambo ya taifa lake ya taifa langu aniachie Mtanzania, ndio maana Mwalimu aliwafukuza mbio sana.
William.
Mkuu Mwalimu Nyerere hakuishia kwa Wazungu tu hata wale waliokuwa wanataka kuuza Nchi aliwachamba vile vile, nakumbuka 1995 kuna Mkulu Mmoja alibadili hadi jina lengo auze Nji kwa waarabu !
