Elections 2010 Lisa M Rockerffeller urge Tanzanians to reject Kikwete a 2nd Term

Elections 2010 Lisa M Rockerffeller urge Tanzanians to reject Kikwete a 2nd Term

Status
Not open for further replies.
Nimesoma na kufuatilia kwa karibu majibishano kati ya Lisa na Ernesto Sheka. Kwanza napenda nimshukuru sana ndugu Ernesto. Amembana vizuri sana huyu dada. Kwanz kuweka rekodi sahihi Rais Kikwete hakuwahi kufika DC 2005 akiwa Rais. Safari ya kwanza ya Rais ilikuwa Kampala nayo ilikuwa Feb 2006. Kwa kuanzia tu huyu dada anadanganya kuwa alionana na Kikwete akiwa Rais 2005. Pili, kama alivyosema Ndugu Malecela William hapo juu hawa akina Rockfeller histori ya utajiri wao marekani ni wa wizi na rushwa kubwa hilo halipingiki. Tatu, nina hakika hasira zake kwa serikali ya JK, zinatokana na kushindwa kupata fadhila au msamaha fulani fulani katika kuhangaika kwake Tanzania. Wao kama NGO kuna malipo fulani wanalazima kulipa ili kuendelea na shughuli zao. Sasa wao walitaka msamaha ili huku wao pia hutengeneza hela kwa kazi zao hizo hizo. Ndugu zangu hasikudanye mtu, hawa watu wa international NGOs ni binadamu kama wengine na wana mahitaji kama mishahara ili kukidhi mahitaji ya familia zao. Hakuna NGO huja Tanzani au kwingineko bila ya matarajio fulani fulanina wao hutka kupata returns zao. Samahani sana ila huyu dada namuona kama mtu aliyetaka kitu fulani akashindwa kukipata na alitaka kumtumia Rais ili apate mteremko huo lakni akagonga mwamba. NDIO CHANZO CHA HASIRA ZAKE.

You need to be better than her, provide some evidence to prove the bolded comments of yours! It is not wise to continue blaming colonialists 50 years on. Its a shame, we need to stand on our own now! Here we dare talk sense, if you find yourself affected by kind of "conflict of interests" better avoid and dissappear b'se there are such as sports and "mambo ya kikubwa" go relax there!
 
mmmh..mtu kutoka familia ya rocker feller anajulikana kwa facebook page yake, ku comment kwenye page ya JK na thread yake humu JF na hutilii mashaka, kisa kiinglishi chake. Sasa hapa si suala la siasa ni suala common sense, niatafutie existance yake tofauti na hizo nitakili ujinga.

Huwezo wako umeishia kwenye GOOGLE tu, pole sana ndugu yangu! kwakuwa mtu ukiGoogle hayupo basi huyo mtu aexist!
 
Na kwa kwanz akuonyesha anataii sheria wanatakiwa kuwa viongozi. Kama mwenyekiti wa chama JK hajachukua full resposibility mfano mi ningemwambia wamemzuaia bashe na mwakalebela bila tuhuma zao kuthibitishwa b na vyombo husika lakini wameruhusu Mramba na Chenge waendelee kugombea kwa kisingia vyombo husika havijawaona na makosa.

Kama mwenyekiti wa chama ameshindwa kuwaweka pembeni baadhi ya wale wanaotuhumiwa akawatosa baadhi. Huoni kuwa kiongozi mwenyewe ndo tatizo na sio sheria.

- CCM na Chadema wana katiba zao ambao sisi taifa hazituhusu, matatizo tuliyonayo Tanzania kutoheshimu sheria ya Jamhuiri hayana anything to do na katiba za vyama vyetu vya siasa of anani agombee na nani sigombee, hayo tuwaachie wao wenyewe yaani vyama vya siasa, otherwise sisi tujikite kwenye taifa, ambako sheria haiheshimiwi sana kama inavyotakiwa.

- Otherwise una hoja nzito sana bro!


William.
 
- Kutu-criticize ni one thing na kutuambia nani anafaa na nani hafai kuwa kiongozi wetu ni totally another story, ninaktaa mkoloni kutuambia nani hafai na nani anafaa kua kiongozi wetu, sijakaataa kuwa criticized!

william.

wewe binafsi unahisi kikwete anafaa kuwa kiongozi au hafai?
 
- Familia ya huyu dada ni ya wezi period ndio maana wakatungiwa Anti Trust Act na shirika lao la Standard Oil kuvunjwa, sasa hivi wamebakishiwa Chase Bank tu, sasa mkoloni kutoka hiyo familia hawezi kunisaidia kujua kiongozi gani ananifaa Africa,

- Again hapa tunaongelea taifa kama unajua wizi wa familia yangu unaweza kuuweka hapa au ukaufungulia topic yake, maana hapa tunajadili mkoloni anayetaka kutuamilia kiongozi wetu awe nani!


William.

Unakwenda low sana mkuu kwa kuongelea familia ya akina Lisa, hata yeye katika bandiko lake moja ameonya kuwa anaongea kwa mtazamo wa yeye Lisa. Sasa unaonaje ukiachana na familia yake na ukajikita katika hoja zake?

Kuna watu wametaja issue ya Jumanne kuuza nchi ukadai ni kwenda low halafu wewe unajiona uko huru kwenda low, wapi na wapi kaka.
 
- Kutu-criticize ni one thing na kutuambia nani anafaa na nani hafai kuwa kiongozi wetu ni totally another story, ninaktaa mkoloni kutuambia nani hafai na nani anafaa kua kiongozi wetu, sijakaataa kuwa criticized!

william.

1. Hatujawahi kuwa koloni la Marekani. Hata Uingereza hatujawahi kuwa koloni lao.
2. Sasa ulitaka aseme atuambie failures zetu bila kuziunganisha na hao waliokuwa wameshika usukani? Au ulitaka aseme kuwa uongozi umeshindwa bila kuunganisha kuwa haufai? Utakuwa umekwepa nini hapo? Huyu dada ana haki kama mtu yeyote kutuambia kuwa nani hafai baada ya kungalia track record yake. Hajasema nani achaguliwe. Uamuzi huo ametuachia wenyewe .
3. Badala ya kusema tu na yeye mwizi, ungetusaidia zaidi kama ungeonyesha fallacy ya accusations zake.

Amandla.......
 
- Familia ya huyu dada ni ya wezi period ndio maana wakatungiwa Anti Trust Act na shirika lao la Standard Oil kuvunjwa, sasa hivi wamebakishiwa Chase Bank tu, sasa mkoloni kutoka hiyo familia hawezi kunisaidia kujua kiongozi gani ananifaa Africa,

- Again hapa tunaongelea taifa kama unajua wizi wa familia yangu unaweza kuuweka hapa au ukaufungulia topic yake, maana hapa tunajadili mkoloni anayetaka kutuamilia kiongozi wetu awe nani!


William.


Huyu si mkoloni hata kidogo. Inaelekea huifahamu hiyo kampuni vizuri licha ya kumegwamegwa kutokana na uamuzi wa Supreme Court mwaka 1911 makampuni yaliyotokana nayo bado yapo kama vile Chevron na Exxon Mobil. Kutungwa kwa Anti-Trust Act hakukuwa tu kwa ajili ya Rockfeller bali kwa kampuni zote zile ambazo zinaua ushindani na zinataka kuhodhi soko. Sheria hiyo bado ipo na inagusa vitendo kama hivyo.

Hoja ya msingi ni kuwa mtu yeyote yule duniani ana haki ya kupinga ufujaji wa mali ya umma katika nchi yoyote ile duniani. Kama Martin Luther King alivyosema Injustice Anywhere is Injustice Everywhere. Huyu dada hajatuchagulia raisi bali anapinga sisi kuongozwa na mtu, ambaye mtu yeyote duniani mwenye akili zilizotulia na nzuri, anajua ni bomu.
 
Unakwenda low sana mkuu kwa kuongelea familia ya akina Lisa, hata yeye katika bandiko lake moja ameonya kuwa anaongea kwa mtazamo wa yeye Lisa. Sasa unaonaje ukiachana na familia yake na ukajikita katika hoja zake?

Kuna watu wametaja issue ya Jumanne kuuza nchi ukadai ni kwenda low halafu wewe unajiona uko huru kwenda low, wapi na wapi kaka.

Huyu Mkulu anakomalia Familia ya Lisa

Je Familia yake ni Safi?
 
wewe binafsi unahisi kikwete anafaa kuwa kiongozi au hafai?

- Fungua topic on that, hapa ninajadili mkoloni kutoniamulia kiongozi wangu Africa, wakuu naona sasa npumzike jamani, it was nicee seeing you guys after a loongtime, ninawashukuru sana wote tuliojadili hapa leo, naona tumefundishana mengi sana na ninaomba ku-retire sasa, mbarikiwe wote JF.

Ahsanteni.


Mukulu Original William Malecela.
 
- Wa-Tanzania wengi tunataka mabadiliko, lakini sio ya kuambiwa na mkoloni.

William.

Hata kabla  ya Lisa watu tulishaamua tunafanya mabadiliko kwa kuwa tuna sababu zoooote kufanya hivyo. Lisa yeye kaja kupigilia msumari wa moto kwenye kidonda kibichi.
Inashangaza wasio watz kuona tunahitaji mabadiliko ilhali watz wengine hawataki kukubali kuwa JK has failed us 


 

- Fungua topic on that, hapa ninajadili mkoloni kutoniamulia kiongozi wangu Africa, wakuu naona sasa npumzike jamani, it was nicee seeing you guys after a loongtime, ninawashukuru sana wote tuliojadili hapa leo, naona tumefundishana mengi sana na ninaomba ku-retire sasa, mbarikiwe wote JF.

Ahsanteni.


Mukulu Original William Malecela.

yani nifungue thread ya kukuuliza swali? lol haya mkuu kashereheke haloween salama.
 
1. Hatujawahi kuwa koloni la Marekani. Hata Uingereza hatujawahi kuwa koloni lao.
2. Sasa ulitaka aseme atuambie failures zetu bila kuziunganisha na hao waliokuwa wameshika usukani? Au ulitaka aseme kuwa uongozi umeshindwa bila kuunganisha kuwa haufai? Utakuwa umekwepa nini hapo? Huyu dada ana haki kama mtu yeyote kutuambia kuwa nani hafai baada ya kungalia track record yake. Hajasema nani achaguliwe. Uamuzi huo ametuachia wenyewe .
3. Badala ya kusema tu na yeye mwizi, ungetusaidia zaidi kama ungeonyesha fallacy ya accusations zake.

Amandla.......

- Ninachosema ni kwamba Mzungu ajali mambo ya uongozi wa taifa lake ya taifa langu Africa hayamuhusu, uananihusu mimi mwananchi.

William
 
- Wa-Tanzania wengi tunataka mabadiliko, lakini sio ya kuambiwa na mkoloni.

William.

Unachekesha kweli wewe! hutaki kuambiwa na mkoloni? Huyu Dada ni mmarekani na marekani haijawahi kuitawala Tanzania, sasa ukoloni wake unakujaje? Na huko kwa wakoloni unatafuta nini?
 
Huyu si mkoloni hata kidogo. Inaelekea huifahamu hiyo kampuni vizuri licha ya kumegwamegwa kutokana na uamuzi wa Supreme Court mwaka 1911 makampuni yaliyotokana nayo bado yapo kama vile Chevron na Exxon Mobil. Kutungwa kwa Anti-Trust Act hakukuwa tu kwa ajili ya Rockfeller bali kwa kampuni zote zile ambazo zinaua ushindani na zinataka kuhodhi soko. Sheria hiyo bado ipo na inagusa vitendo kama hivyo.

Hoja ya msingi ni kuwa mtu yeyote yule duniani ana haki ya kupinga ufujaji wa mali ya umma katika nchi yoyote ile duniani. Kama Martin Luther King alivyosema Injustice Anywhere is Injustice Everywhere. Huyu dada hajatuchagulia raisi bali anapinga sisi kuongozwa na mtu, ambaye mtu yeyote duniani mwenye akili zilizotulia na nzuri, anajua ni bomu.

- Labda ukasome tena history, Anti Trust Act inatokana na monopoly za Standard Oil, iliyokuwa ikimilikiwa na familia ya huyu dada.

William.
 

- Ninachosema ni kwamba Mzungu ajali mambo ya uongozi wa taifa lake ya taifa langu Africa hayamuhusu, uananihusu mimi mwananchi.

William

Lakini je Wakoloni wa nchini tuwaache waendelee kututafuna?
 

- Sitaki kuamini unajipendekza kwa Slaa akupe kiti mjengoni, ninachokataa ni mkoloni kuniambia nani anafaa kuwa kiongozi wangu hayamuhusu!


William.
Linalpokuja suala la kuchakachua kura nalo halikuhusu, hao hao unaowaita wakoloni ndio wameleta muafaka Kenya na Zimbabwe ha hata hapa kwetu yakilipuka ni hao hao watakuja na hata hawa viongozi tunaochagua either kwa halali au kuchakachua mawazo yao yote yapo kwa mkoloni huyo unayemsema
 
Unachekesha kweli wewe! hutaki kuambiwa na mkoloni? Huyu Dada ni mmarekani na marekani haijawahi kuitawala Tanzania, sasa ukoloni wake unakujaje? Na huko kwa wakoloni unatafuta nini?

- Mkoloni hawezi kuniambia nani awe na nani asiwe kiongozi wangu, nilipo sasa haina anything to do na mawazo yangu.

William.
 
- Labda ukasome tena history, Anti Trust Act inatokana na monopoly za Standard Oil, iliyokuwa ikimilikiwa na familia ya huyu dada.

William.

Mimi Siwezi kuitofautisha Familia ya huyu dada na Familia ya Mzee Jumanne aliyetaka Kutuuza kwa Waarabu, Thank God Nyerere was still alive, maana hii Familia sijui ingepewa nini kwa Kubadilishana na nchi yetu Labda Mavisima ya Mafuta LoL!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom