Elections 2010 Lisa M Rockerffeller urge Tanzanians to reject Kikwete a 2nd Term

Elections 2010 Lisa M Rockerffeller urge Tanzanians to reject Kikwete a 2nd Term

Status
Not open for further replies.
Wazungu wametufundisha kusoma na kuandika.

Wametuletea Magari, Computer, Umeme, Demokrasia, High Tech, Dini, Porno na taka nyingine.

Wanaendelea kututunza na hata jana Kikwete kajisifu jinsi anavyoongea na Wazungu.

Sasa, kusema eti Wazungu watuache wakati sisi wenyewe na Uvivu wetu huku tukiwa na Kiherehere ambacho haijulikani tutaishia kupata Mimba au Ukimwi kutoka kwa Wazungu, INAWEZEKANA?

Mbona Wachina walisema STOP na leo Wazungu ndiyo wanawapigia magoti?

Ukiona hivyo basi ujuwe kweli sisi tumelogwa au AISIFIAYE MVUA.....................
 

- Ninachosema ni kwamba Mzungu ajali mambo ya uongozi wa taifa lake ya taifa langu Africa hayamuhusu, uananihusu mimi mwananchi.

William

Kwa hiyo mchina anajali hata kuliko mzungu mtanzania? Ukweli ni kuwa mtu yeyote anayekulisha wewe na familia yako ana haki ya kukuambia lolotye atakalo. Uhuru si bendera peke yake.

Amandla.......
 
Mimi Siwezi kuitofautisha Familia ya huyu dada na Familia ya Mzee Jumanne aliyetaka Kutuuza kwa Waarabu, Thank God Nyerere was still alive, maana hii Familia sijui ingepewa nini kwa Kubadilishana na nchi yetu Labda Mavisima ya Mafuta LoL!

- Ni sawa na mimi kujadili Slaa na mke wa mtu, it is too low siwezi kufanya hivyo samahani sana.


William.
 
- CCM na Chadema wana katiba zao ambao sisi taifa hazituhusu, matatizo tuliyonayo Tanzania kutoheshimu sheria ya Jamhuiri hayana anything to do na katiba za vyama vyetu vya siasa of anani agombee na nani sigombee, hayo tuwaachie wao wenyewe yaani vyama vya siasa, otherwise sisi tujikite kwenye taifa, ambako sheria haiheshimiwi sana kama inavyotakiwa.

- Otherwise una hoja nzito sana bro!


William.

Mkuu nataka kukuonyesha tatizo unalosema wewe kuhusu sheria kuwa sio tatizo halisi. tatizo halisi ni viongozi. Kwa mfano huu Mfano kiongozi anayeemaliza muda wake ndio sio tu sehemu ya tatizo bali ni chanzo cha tatizo..

Serikali inayoongozwa na JK ilirizika kuwa Mramba na chenge wana kesi ya kujibu. Serikali ya JK ilirizika kuwa wana hatia . Ndio maana serikali ya JK ikawashtaki. Kiserikali hawawezi kuwahukumu bali ni kuwapeleka mahakamani . Hapo nakubali. .

Je Kichama???? ambapo mwenyekiti ni JK hawa watu aliowashataki kwa nini kwenye chama chake aruhusu wagombee?????? Can u not see JK badala ya kuwa kiongozi anakuwa COMEDIAN.

Ushauri usio wa kinafiki wa kumpa JK si kumwambia tatizo ni sheria. Ushauri ni kumwambia jinsi aliavyodeal na mambo yeye ndio sehemu ya tatizo halisi
 
Linalpokuja suala la kuchakachua kura nalo halikuhusu, hao hao unaowaita wakoloni ndio wameleta muafaka Kenya na Zimbabwe ha hata hapa kwetu yakilipuka ni hao hao watakuja na hata hawa viongozi tunaochagua either kwa halali au kuchakachua mawazo yao yote yapo kwa mkoloni huyo unayemsema

- Nothing to do na topic at hand, samahani sana I wish ningekujibu.

William.
 

- Mkoloni hawezi kuniambia nani awe na nani asiwe kiongozi wangu, nilipo sasa haina anything to do na mawazo yangu.

William.

hujajibu swali bali unafanya usanii maana hata siku moja sijui kama umewahi kusema lolote lile kukemea ufisadi mkubwa ndani ya nchi yetu. Kama uliwahi kufanya hivyo hebu tupe ushahidi kama upo hapa jamvini katika mabandiko yako ya nyuma.
 
Wazungu wametufundisha kusoma na kuandika.

Wametuletea Magari, Computer, Umeme, Demokrasia, High Tech, Dini, Porno na taka nyingine.

Wanaendelea kututunza na hata jana Kikwete kajisifu jinsi anavyoongea na Wazungu.

Sasa, kusema eti Wazungu watuache wakati sisi wenyewe na Uvivu wetu huku tukiwa na Kiherehere ambacho haijulikani tutaishia kupata Mimba au Ukimwi kutoka kwa Wazungu, INAWEZEKANA?

Mbona Wachina walisema STOP na leo Wazungu ndiyo wanawapigia magoti?

Ukiona hivyo basi ujuwe kweli sisi tumelogwa au AISIFIAYE MVUA.....................

- Well ninachosema ni very simple kwamba huyu dada mzungu ajali mambo ya viongozi wa taifa lake, ya viongozi wa taifa langu aniachie mimi mwananchi wa Tanzania, na ita has nothing to do na yote hayo uliyosema hapo juu.

William.
 
- Labda ukasome tena history, Anti Trust Act inatokana na monopoly za Standard Oil, iliyokuwa ikimilikiwa na familia ya huyu dada.

William.
Unapomjibu mtu soma maelezo yake vizuri si kurukaruka. Ninaelewa ninachokisema na ndiyo maana nimesema kuwa hiyo sheria hakuihusu Standard Oil peke yake bali kampuni zote zenye tabia ya kuhodhi. Sasa kama hujui maana ya neno kuhodhi basi msamiati wako wa Kiswahili ni mdogo kuhodhi kiingereza chake ni monopoly. Hivyo hiyo hoja nilikwisha isema katika jibu langu. Pole sana.
 
Kwa hiyo mchina anajali hata kuliko mzungu mtanzania? Ukweli ni kuwa mtu yeyote anayekulisha wewe na familia yako ana haki ya kukuambia lolotye atakalo. Uhuru si bendera peke yake.

Amandla.......

- Ukweli ni kwamba muajiri wangu hana anything to do na maisha yangu ya binafsi pamoja na kwamba ananilisha mimi na familia yangu kutokana na ujira anaonilipa kwa kumfanyia kazi.

William.
 
@Sikonge umenikumbusha ule wimbo 'Wazungu ni wetu...walituletea shanga ...' lol!
 
Mkuu nataka kukuonyesha tatizo unalosema wewe kuhusu sheria kuwa sio tatizo halisi. tatizo halisi ni viongozi. Kwa mfano huu Mfano kiongozi anayeemaliza muda wake ndio sio tu sehemu ya tatizo bali ni chanzo cha tatizo..

Serikali inayoongozwa na JK ilirizika kuwa Mramba na chenge wana kesi ya kujibu. Serikali ya JK ilirizika kuwa wana hatia . Ndio maana serikali ya JK ikawashtaki. Kiserikali hawawezi kuwahukumu bali ni kuwapeleka mahakamani . Hapo nakubali. .

Je Kichama???? ambapo mwenyekiti ni JK hawa watu aliowashataki kwa nini kwenye chama chake aruhusu wagombee?????? Can u not see JK badala ya kuwa kiongozi anakuwa COMEDIAN.

Ushauri usio wa kinafiki wa kumpa JK si kumwambia tatizo ni sheria. Ushauri ni kumwambia jinsi aliavyodeal na mambo yeye ndio sehemu ya tatizo halisi


- Well mtizamo wangu ni kwamba mambo ya vyama vya siasa of nani anafaa kugombea na nani hafai hayahusu taifa, as long wanatimiza mujibu wa katiba zao, tatizo la taifa letu ni kutoheshimu sheria na hili ni kwa wote kuanzia wananchi mpaka viongozi wetu na ni toka tupate uhuru tumekuwa hivi, only respect kwa the rule of law ndio itatutoa kwenye matatizo tuliyomo kwa maoni yangu, na hii it has nothing to do na viongozi, maana taifa letu ni bigger than hawa viongozi wa kupita.

William.
 
Nimekuelewa na ndiyo UZURI WA DEMOKRASIA. Hapa lazima nikiri kuwa NAKUBALIANA NA WEWE.

Wakati wengine tunaona kafanya jambo la maana, lazima wengine waone kafanya jambo baya.

Mie niko kwenye kundi ambalo kwa KESI hii, nasema kuwa mama kafanya jambo zuri.

Ila nimalize kwa kukubali kuwa acha Demokrasi ichukue mkondo wake.

Usisahau maneno ya Mtanzania(Mwakalinga) kuwa "mwenye njaa hawezi kuwa huru."
- Well ninachosema ni very simple kwamba huyu dada mzungu ajali mambo ya viongozi wa taifa lake, ya viongozi wa taifa langu aniachie mimi mwananchi wa Tanzania, na ita has nothing to do na yote hayo uliyosema hapo juu.

William.
 
- Well ninachosema ni very simple kwamba huyu dada mzungu ajali mambo ya viongozi wa taifa lake, ya viongozi wa taifa langu aniachie mimi mwananchi wa Tanzania, na ita has nothing to do na yote hayo uliyosema hapo juu.

William.

Kama Umeshindwa Kuelewa Logic ndogo ya Sikonge basi hili ni Tatizo Lingine
 
hujajibu swali bali unafanya usanii maana hata siku moja sijui kama umewahi kusema lolote lile kukemea ufisadi mkubwa ndani ya nchi yetu. Kama uliwahi kufanya hivyo hebu tupe ushahidi kama upo hapa jamvini katika mabandiko yako ya nyuma.

- Labda ungeenda kuyapitia, otherwise hapa naamini the topic ni mzungu na kutuamulia nani awe na nani asiwe kiongozi wetu, ninakataa kwa nguvu zote kwamba ajali ya taifa lake.

William.
 
- Historia iko wazi kwamba hawakutaka kuondoka, ndio maana Mwalimu alienda UN kuwafukuza waondoke na waliondoka na tukawa huru!

William.

Sasa Tulipigana au Tulienda kuomba? Kweli tunauwezo wakupigana na Mwingereza?
NA WALIKATAA KWASABABU WALIKUWA WANAONA BADO HATUNA UWEZO JUKUMU AMBALO WALIPEWA WALISIMAMIE NDIO MAANA PAMOJA NA UHURU BADO WALIENDELEA KUWEPO KUTUSAIDIA KUONGOZA NA IKAPELEKEA KUWA NA VIONGOZI VIJANA, MAFANO SALMIN A. SALIM, HII NI KWA SABABU TULIKUWA BADO! ILA KIHEREHERE CHETU!!!!!
 
Unapomjibu mtu soma maelezo yake vizuri si kurukaruka. Ninaelewa ninachokisema na ndiyo maana nimesema kuwa hiyo sheria hakuihusu Standard Oil peke yake bali kampuni zote zenye tabia ya kuhodhi. Sasa kama hujui maana ya neno kuhodhi basi msamiati wako wa Kiswahili ni mdogo kuhodhi kiingereza chake ni monopoly. Hivyo hiyo hoja nilikwisha isema katika jibu langu. Pole sana.

- Ninachosema mimi ni kwamba seria nzima ilisababishwa na Monopoly za Standard Oil, hasa walipoanza bishara za ngano mpaka kwenye usafiri wa treni, ndio serikali ikaamua kuweka hiyo sheria simply kwa sababu ya Standard Oil, sasa sina uhakika na unachosema hapa unasema nini bro?

William.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom