Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,133
.... Kikwete plays too much, how can a president tell you something in the audience and when you see him he smiles at you like a little baby? Head of State? Please !!!!
... Nimesema mara nyingi ...Rais ni mgonjwa wa namna fulani... hakumaliza kukua toka ngazi ya utoto...kuwa mtu mzima... anyway! mtu makini hahitaji miujiza kujua tatizo la Mh!
.... Dada inawezekana... ana matatizo yake... Ni ujinga kuanza kumchambua ... na kuacha kuchambua alichosema kuhusu Jk... Kwa sasa sihitaji kumjua..zaidi ya alichosema... Amesema kilichotakiwa kusemwa na kila Mtz mwenye akili na ufahamu Timamu...LISA wewe ni shujaa wangu...Usichekeke na huyo jamaa ...utaonekana chizi!!