Elections 2010 Lisa M Rockerffeller urge Tanzanians to reject Kikwete a 2nd Term

Elections 2010 Lisa M Rockerffeller urge Tanzanians to reject Kikwete a 2nd Term

Status
Not open for further replies.
kama raisi wako ni ziro na watu wanamjua ni ziro, lakini wewe huwezi kusema mbele yao kuwa raisi wako ni ziro basi na wewe watakuona ni ZIRO tu

- Nimesema kule nyuma kamba siwezi kusema hayo maneno very low mbele ya watu wenye akili maana nitawasaidia kunielewa kwa urahisi sana kwamba na mimi ni mwananchi ninayemchagua huyu Rais Zero, ni mwananchi wa aina gani!

William.
 
I used to think that you were a big pain in the neck. Now I have a much lower opinion of you.

- Huwa huna hoja zaidi tu abusive language ambazo haziwezi kulisaidia hili taifa anything, mimi member yoyote humu JF ninayemuona low huwa sigusi kabisa michango yake na wewe jifunze hiyo tabia!

William.
 
huyu bwana malechela amaechanganyikiwa na maisha ya marekani ya kubeba boxi, na nyumbani baba kalosti. hapa familia ndo hivyo tena. william hacha kuleta frustration zako humu mkuu,

- Inafurahisha sana kwamba wewe usiyechanganyikiwa unaweza kupoteza muda wako very valuable kujadili na mimi niliyechangnayikiwa, wasiochanganyikiwa watashindwa kuelewa nani ni mzima kati yangu na wewe! ha! ah! ah! ah! ha! ha!


William.
 

- Inafurahisha sana kwamba wewe usiyechanganyikiwa unaweza kupoteza muda wako very valuable kujadili na mimi niliyechangnayikiwa, wasiochanganyikiwa watashindwa kuelewa nani ni mzima kati yangu na wewe! ha! ah! ah! ah! ha! ha!


William.
Maliza ya kifamilia kwanza ndo uje hapa...Ushapata double disappointment, watakani tena ndugu?..unatafuta wa kum'fia' umpe kesi?
 
kusifiwa ni lingine ...viongozi wetu hata wakisifiwa na mwendawazimu ulaya wanapita njia zote kusifu ..aah hata wageni wanatusifia......iweje tukikosolewa!!!!...........wazungu wanakiri mugabe is brilliant....na wanamuita rais wetu dummy.....!!..thats is how they may rate him....na pia ni lesson kwake arudi aangalia mikanda ya mwalimu nyerere na viongozi wengine wenye msimamo aone namna wanavyoongea na wazungu...wazungu bwana wakikuona huna akili ...watakufanya kituko....wanaweza hata kukuambia mambo ya kijinga kama mtego ...ukikubali wanajuwa huna msimamo...thats how they fish our president!!!.......from mwalimu aliyekuwa anaona misaada ni aibu to JK ambaye anaona misaada ni sifa.....anaita "faida za kuzunguka zunguka..."" ni vema aambiwe straight ..ni wazi atarudi tena [thanks to mtandao mpana wa chama"...lakini tumejifunza kuwa nchi hii inataka rais wa aina gani na yeye anajuwa kuwa nchi hii wanataka nini....."">>>akikosea ni wazi mwaka 2015 dola itaenda UPINZANI jumla jumla....sio reja reja kama sasa!


- Mkuu Phillemon, inaonekana una very low opinion of our President, kitu ambacho ni kawaida katika Demokrasia, lakini unahariibu unapo jaribu ku-mislead umma na habari kama wazungu wanamuita Mugabe brilliant, I mean wazungu wa dunia gani hao brother? Hao wazungu wanatoka Eastern Block au Mars wanaomsifia Rais anayeongoza serikali inayouzia mkate mwananchi wake kwa millions in a local currency!

- Unasema Mwalimu alikuwa hapendi misaada, hivi unajua ni kwa nini Scandnavians wanatuchukia sana ni kwa sababu wana hasira na jinsi ambavyo tumekuwa tukiitumia misaada yao vibaya toka uhuru, halafu umesahau history ya jinsi Mwalimu alivyokataa misaada ya West Germany na kupokea ya East Germany, unasema huo ni msimamo wa kuigwa na Rais wa sasa?

- Halafu sasa mbona umekataa tamaa na 2010, maana naona tayari unaoneglea 2015, is there something you know kuhusu matokeo ya leo we don't?

William.
 
napata shida na uwezo wako wa kupambanua mambo ya kisiasa, au kwa kifupi naweza kukuita wewe ni Kaburu (kwa tafsiri ya JK Nyerere), wewe unachokiongea hapa ni ubaguzi wa rangi tu waLA hakuna lolote, KILONZO mWASIOKA ALIPOKUJA HATA TANZANIA HIVI KARIBUNI PALE ARUSHA, ALIZUNGUMZA NA KUKARIRIWA NA VYOMBO VINGI VYA HABARI AKISEMA WATANZANIA TUMCHAGUE JK KUONGOZA KWA MIAKA MINGINE MITANO, NA HATA THREAD YAKE ILIKUWA HUMU JF, LAKINI WEWE HUKUSEMA KITU KWA SABABU NI MTU WA RANGI YAKO NA KAMSEMEA RAISI WAKO UNAYEMPENDA,
LEO KASEMA MZUNGU NA KAMPINGA RAISI WAKO UNAYEMPENDA-Presha inapanda na kushuka

kama unavyoona Kilonzo ana haki basi na Lisa ana haki ya kusema hivyo

- Unapata taabu sana kuelewa uwezo wangu wa kuchambua siasa, lakini umekuja kunijibu na kujadili na mimi inajisema yenyewe, HOWEVER ya huyo kiongozi wa Kenya siyajui ila if he did kama unavyosema, then it was wrong na yeye akajali ya taifa lake ya taifa letu ayaache kama yalivyo tutaya-handle wenyewe wa-Tanzania.

William.
 
It's very sad reading the comments from my fellow Tzs on this topic ! It shows how backwards we still are. we are scared to speak the truth even when it stares at us right in the face. Where we suffer Tanzaniand can't afford medicine. People are still dying of malaria. Malaria?? Hundreds of thousands are yes!! People can't even afford tp buy paracetamel/ panadol to relieve pain. Women are dying during child birth still? Babies and young children are dying from easily treatable diseases. Why? Because there is no proper investments. Why? Because all the money that can be used to help here is used by a few for their own benefits. The good doctors we have won't work in villages in Govt hospitals. Why??... We know why.....
This is just a little example. But many of us still sit there and say CCM is the only solution. How could it be where in 50 yrs things are getting worse. Why or why are you so scared of change?? Look at Kenya, why do you think they are doing better than us??

Am I scared to call the president incompetent? Nooo! How did he get where he is that's my question. Are we so blind not to see through this? Come on Tanzania.... think of all your sufferings and let's do it!!


- Are the Kenyans doing better than us Tanzania? Are you kidding me or what?

William!
 
Hivi mkoloni akikuambia usinywe maji kwenye hiyo glass hapo ... kwa kuwa anafikiri yana sumu.... Utaonyesha ujeuri na kuyanywa ili kuonyesha ukomavu na uzalendo wa Kitanzania? ...

Au ukiacha kuyanywa hiyo sumu utakuwa mtumwa wake eh? ...

Give in ..., yield ..., submit yourself, uncondtionaly and objectively to the constructive critism given by Lisa.

Ni ukweli ambao Watanzania tunauhuitaji, na hasa viongozi wetu... na utalikoa Taifa hata kama umotolewa na mkoloni...tutaepuka sumu/kifo.. ingawa bado watabakia wakoloni ...na tutawachukulia wakoloni!

...What is all this Mkuu? ....Tuamke!


- Sitaki kuamini kwamba huu ndio mtizamo wa Chadema kuhusu mustakabali wa taifa letu, kwamba iwapo watapewa nchi watafuata this kind of thinking!

- Unajua kuna mawazo mengine humu ni yanatisha sana na yanaonyesha kwamba vijana wengi wa taifa hili wanasahau tulikotoka, wanafikiri hii amani, upendo, utulivu na mshikamano wa taifa tulionao leo vimepatikana kirahisi rahisi, au either hawajui hata its value, unajua sisi tulioshiriki JKT na enzi za Halaiki ya Mwalimu pale Uwanja Wa Taifa, tulikuwa na wimbo mmoja maarufu sana enzi hizo ukisema:

"...... Na mtu asiyejua kufaaa mwambieni aone kaburi wananchi tulinde taifa wakoloni wasije kuruuudi Tanzania......
"

William.
 
Upumbavu wa kuthamini watu wa nje!
:A S thumbs_down:

Unaonesha ni jinsi gani unakumbatia ujinga...Utaifa utakusaidia nini wewe ikiwa hutaki kukubali ukweli juu ya udhaifu wa kiongozi wako?
Acha kutuletea arguments zisizo na kichwa wala miguu hapa hata kama ukweli huumiza sana. Hata kama siyo mlipa kodi jaribu kuchuja mambo na hata ku kukubaliana nayo inapobidi.
Hapo kwenye red wewe ni zaidi...
 
It is all true' people deserve their leaders' or whatever someone saud about the right leadership. When I see how some Tanzanians here react to Lisa, I only have to agree that we deserve the trash.
Can there be a Tanzanian who really believes that Tanzania - in all regards- is now better than it was in 2005? Good heavens! Unless they are a part to the gravy train!
 
- Well ninachosema ni kwamba mzungu tulimfukuza na kuwa huru na kujitawala wenyewe, ninachokataa ni the idea ya mzungu yule yule tena kujaribu kuniambia nani ananifaa kunitawala, ninasema ni afadhali nimsikilize Dr. slaa lakini sio mzungu mkoloni, maana ninakataa kua mtumwa!

William.

Hivi Mwl baada ya kumfukuza huyo mzungu...nani hasa alimrudisha na kumkabidhi huyo mzungu madini yote? Ni suala lililo wazi kuwa serikali ya CCM (iliyokuwa ikiongozwa na Mwenyekiti Mkapa na makamu wake Malecela + zamu ya JK) ndio waliotufikisha hapa tulipo. Sasa kama tumemrudisha mzungu na kuiomba pesa serikali yake itoe pesa ya walipa kodi wake ili iwasaidie kwa hiari yetu kwanini ulalamike pindi mlipakodi wake akionyesha jambo lililowazi kwa kila mtu ukiachia nyie ambao mme/mnaendelea kufaidika?
Unakataa kua mtumwa ...nakushauri basi urudi huko kwetu na usikanyage tena huko utumwani US na EU kwani unawafanyia kazi wao, kuwalipa kodi inayowajengea nchi yao na mwisho huna chochote cha kurudisha kwenu (nadhani ndio maana ya utumwa). Ah nimekumbuka kumbe wewe kodi yako unayokatwa huko ikitolewa kama msaada kwa serikali ya CCM kwako inakuwa kama umefanya Tax Return yaani unarudishiwa yote kwa kuchotea nyumbani. Sasa naelewa kwa nini tunaendelea kuwa masikini.
 
- Hao wazungu wangetuachia mambo yetu ya ndani tutayaamua wenyewe, wao wazungu mabaya waliyotufanyia Africa sio madogo eti, huyu mdada anasahau kwamba ni wizi wa familia yake kwa taifa lake ndio uliopelekea kuanzishwa kwa sheria ya Standard Act, ili kuzuia monopoly za wizi wa familia yake kwa wananchi wa US, sasa kama yeye ni mkweli angeanza kuwarudishia serikali ya US na wananchi wake hela walizoiba huko mpaka kuanzishiwa sheria.

- Africa bwana tunakuaga so desparate na ushindi wa uongozi kwamba hata huwa hatuulizi maswali magumu, halafu baadaye ndio tutakuja kuanza kutafutana uchawi, huyu dada hana moral authority yoyote ya kutufundisha wa-Tanzania kuhusu uzuri na ubaya wa viongozi wetu, kwa sababu tunayajua vizuri matatizo yetu, yeye na familia yake warudishe zile hela zote walizowabia wananchi wenzao huko US through biashara zao za mafuta na ngano!

Ahsanteni.

William.

Sooooory, I am afraid on this one... I support Lisa 100000% , i know where you are coming from!!!!
 
Let me be the first to confess, yes 'We Tanzanians are dumb'
 
Achana na Wamarekani.Ni wajinga tu na wachonganishi.
kama wajinga then why kikwete anawaomba misaada kila kukicha, kila siku safara akidai lazima akaombe misaada
 
Some people, ofcourse stupid people. waste our resources and yet rely on irrelevant examples.
It is Tanzania we are talking about here. If you voted for JK, that is suicide. then expect homicide to come later.

Nashangaa sana Kina 'Ernesto Sheka' disclosed as January Makamba - hao ndo wanatumalizia nchi. Ngojeni, muda ukifika mafisadi wote watakufa kama vyura. Nothing lasts forever! not even Tanzania - only God.

Lisa, another heroine on my list.
One day, time will tell.
 
Wadau,
Kuna dada mmoja toka familia ya Rockerffeller amemvamia Rais Kikwete kwenye facebook Yake. amewachamba na wapambe wake kisawasawa. anadai familia yake imetoa michango mingi tanzania na kusaidia NGO's na serikli lakini hawaoni hela zao zilipokwenda. Anawaonywa watanzania kutokumpigia kikwete Kura

Someni hapa We're in last day... | Facebook

Huyu january ameanza ufisadi mapema mmno. Wahindi walimpa karibia Tsh millioni 600,000 kwenye kampeni yake, kwa misingi ipi?
 
Hivi Mwl baada ya kumfukuza huyo mzungu...nani hasa alimrudisha na kumkabidhi huyo mzungu madini yote? Ni suala lililo wazi kuwa serikali ya CCM (iliyokuwa ikiongozwa na Mwenyekiti Mkapa na makamu wake Malecela + zamu ya JK) ndio waliotufikisha hapa tulipo. Sasa kama tumemrudisha mzungu na kuiomba pesa serikali yake itoe pesa ya walipa kodi wake ili iwasaidie kwa hiari yetu kwanini ulalamike pindi mlipakodi wake akionyesha jambo lililowazi kwa kila mtu ukiachia nyie ambao mme/mnaendelea kufaidika?
Unakataa kua mtumwa ...nakushauri basi urudi huko kwetu na usikanyage tena huko utumwani US na EU kwani unawafanyia kazi wao, kuwalipa kodi inayowajengea nchi yao na mwisho huna chochote cha kurudisha kwenu (nadhani ndio maana ya utumwa). Ah nimekumbuka kumbe wewe kodi yako unayokatwa huko ikitolewa kama msaada kwa serikali ya CCM kwako inakuwa kama umefanya Tax Return yaani unarudishiwa yote kwa kuchotea nyumbani. Sasa naelewa kwa nini tunaendelea kuwa masikini.

- Utumwa ni Mu-Africa kuambiwa na mzungu nani anamfaa kuwa kiongozi wake, na nani hafai hilo ninalikataa kwa nguvu zangu zote, umeandika mengi sana lakini hayana anything to do na ishu at hand here, pole sana brother!

- Again, ninarudia tena kwa M-Tanzania kumabiwa na mzungu nani anamfaa kuwa kiongozi wake na nani hafai ni utumwa walioukataaa kina Mwalimu na Chief Mkwawa na sisi wananchi wa Tanzania wazalendo tukatae pia!



William.
 
Sooooory, I am afraid on this one... I support Lisa 100000% , i know where you are coming from!!!!

- Do I need to know where members here are coming from before contributing my Great Thinking for my nation? Are you kidding or what?


- Well people have a Great Day and lets wait for the elections results, was nice to see you guys after a while, see yah!

William.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom