Elections 2010 Lisa M Rockerffeller urge Tanzanians to reject Kikwete a 2nd Term

Elections 2010 Lisa M Rockerffeller urge Tanzanians to reject Kikwete a 2nd Term

Status
Not open for further replies.
whatever the case may be...................nimechukia sana huyu mzungu alivyom-compare JK na Mugabe.............JK atuachie sisi wenyewe tumkome nyani giladi.................
 
agreed.....sasa kilichomtoa huyo mzungu leo hii kujadili fate ya Taifa letu ni nini?..........i think tuna uwezo kama Watanzania wa kuwaambia watanzania wenzetu ubovu wa uongozi wetu.......kama tulivyofanya tangu tukiwa enzi za Nyenzi, BCS et al.......au?

- Nilijua tu kwamba kwenye hii forums kuna angalau mwananchi mmoja tu anayenielewa and that is all I could ask from this forums, ahsante sana bro! ha! ha! ha! ha! aghhrrrrr! I love JF uwanja wa Great Thinkers ha! ha! ha!

William.
 
whatever the case may be...................nimechukia sana huyu mzungu alivyom-compare JK na Mugabe.............JK atuachie sisi wenyewe tumkome nyani giladi.................

- Wewe Brother, unajua una gutts wewe kusema hivi hapa! he! he! he! he!, exactly ninachosema mambo ya bongo huyu mzungu atuachie wenyewe wananchi tule nao sahani moja!, Mzungu hayamuhusu!

William.
 
Mkulu Ogah za siku nyingi kaka?

Nina siku nyingi sana sijaingia jamvini..si unajua tena harakati za uchaguzi.

Unajua umeongea kitu kimoja ambacho kimenikuna lakini bado nikabaki na maswali. Mkuu uliyoyasema hapa ni kweli tupu..ubovu wa JK tuachiwe wenyewe tutajua la kufanya. lakini hiki kitu hakiwezekani wakati JK anaenda kuomba net za Mbu kwa hawa watu.....hatuna budi kukubali humiliation mkuu! Its sad ila ndo reality ya ulimwengu tunaoishi.....kama tunaenda kuomba vyandarua..basi hatuna budi kukubali tuulizwe maswali magumu na kuchambuliwa ni jinsi gani hivyo vyandarua vinavyotumika.

Nikutakie siku njema mkuu!.
 
Mkulu Ogah za siku nyingi kaka?

Nina siku nyingi sana sijaingia jamvini..si unajua tena harakati za uchaguzi.

Unajua umeongea kitu kimoja ambacho kimenikuna lakini bado nikabaki na maswali. Mkuu uliyoyasema hapa ni kweli tupu..ubovu wa JK tuachiwe wenyewe tutajua la kufanya. lakini hiki kitu hakiwezekani wakati JK anaenda kuomba net za Mbu kwa hawa watu.....hatuna budi kukubali humiliation mkuu! Its sad ila ndo reality ya ulimwengu tunaoishi.....kama tunaenda kuomba vyandarua..basi hatuna budi kukubali tuulizwe maswali magumu na kuchambuliwa ni jinsi gani hivyo vyandarua vinavyotumika.

Nikutakie siku njema mkuu!.

hahahahaha.........Mkuu nimefurahi sana kukusoma leo na saa hizi.............nilijua kuna mtu kama wewe ungekuja na hiyo challenge...........YES they can make us accountable from what they contractually give.........your analogy (i.e. tukubali humiliation) brings about slavery conditions/environment (i.e slap on our face?..........NO WAY)............tunapokwenda kuomba misaada/mikopo..........hatuombi hiyo misaada ili tuje kuwa watumwa wa misaada hiyo..(it is unfortunate jinsi tunavyoitumia hiyo misaada/mikopo though)............BUT............IT is our responsibility (sisi Wananchi) kuwa -challenge viongozi wetu..........kwa sababu ultimately its me and you who gonna pay the loan..................WE WILL PAY THEM (Wazungu).........hivyo wasituingilie..........sisi ni TAIFA................hiyo ni misimamo yetu tangu enzi zile.........au?

Nakutakia kila la kheri nawe pia
 
whatever the case may be...................nimechukia sana huyu mzungu alivyom-compare JK na Mugabe.............JK atuachie sisi wenyewe tumkome nyani giladi.................

mbona kwenye shida zetu tuwahusisha? tukatae na misaada yao tuyatatue wenyewe matatizo yetu.


Kama tunapokea misaada yao basi tupokee na maoni yao kama hayo hakuna kutetea uzembe hata kidogo...
 
mbona kwenye shida zetu tuwahusisha? tukatae na misaada yao tuyatatue wenyewe matatizo yetu.


Kama tunapokea misaada yao basi tupokee na maoni yao kama hayo hakuna kutetea uzembe hata kidogo...

Tenda wema usingoje shukrani.. kama wameamua kusaidia wasaidia.. wasiingilie mambo ya ndani ya nchi yetu
 
Tenda wema usingoje shukrani.. kama wameamua kusaidia wasaidia.. wasiingilie mambo ya ndani ya nchi yetu

Kipi kibaya alichosema huyu mama? katoa maoni yake na watu wameyasikia uamuzi wa kupiga kura tunao wenyewe kama akili zetu timamu tunajua cha kufanya.
 
Kipi kibaya alichosema huyu mama? katoa maoni yake na watu wameyasikia uamuzi wa kupiga kura tunao wenyewe kama akili zetu timamu tunajua cha kufanya.

hajakosea ana umuzi wa kutoa maoni yake anavyojisikia .. yeye! lakini SI KUMSEMA VIBAYA KIONGOZI WA NCHI YOYOTE , ATAKUWA NAWATUKANA HAO WANANCHI WALIOMUWEKA HUYO KIONGOZI

neways KAZI NZURI KOCHA WANGU!! GUNERZ MWAKA WETU HUU!!
 
hajakosea ana umuzi wa kutoa maoni yake anavyojisikia .. yeye! lakini SI KUMSEMA VIBAYA KIONGOZI WA NCHI YOYOTE , ATAKUWA NAWATUKANA HAO WANANCHI WALIOMUWEKA HUYO KIONGOZI

neways KAZI NZURI KOCHA WANGU!! GUNERZ MWAKA WETU HUU!!

Mie wala aja ni tusi.


kula 5 kwenye huo mstari wa mwisho lol.kidogo kidogo tukihepukana na majeruhi tunaweza kucheka may ikifika.powa mkuu karibu sana jukwaa letu la gunners kule.
 
Lisa Rockeffeler ametoa salamu za kumshukuru Kikwete kwa kuwaletea WTZ maendeleo. Lisa anamshukuru sana Kikwete kwa kuleta umoja na amani ndani ya Tanzania.

Hizi salamu si za mara ya kwanza kwa Kikwete kusifiwa. Hivi karibuni Obama pia amsifia Kikwete kwa kujenga uchumi bora ndani ya Tanzania. Kwa habari zaidi, nenda ktk website ya Kikwete ili upate maelezo zaidi.
 
- Hao wazungu wangetuachia mambo yetu ya ndani tutayaamua wenyewe, wao wazungu mabaya waliyotufanyia Africa sio madogo eti, huyu mdada anasahau kwamba ni wizi wa familia yake kwa taifa lake ndio uliopelekea kuanzishwa kwa sheria ya Standard Act, ili kuzuia monopoly za wizi wa familia yake kwa wananchi wa US, sasa kama yeye ni mkweli angeanza kuwarudishia serikali ya US na wananchi wake hela walizoiba huko mpaka kuanzishiwa sheria.

- Africa bwana tunakuaga so desparate na ushindi wa uongozi kwamba hata huwa hatuulizi maswali magumu, halafu baadaye ndio tutakuja kuanza kutafutana uchawi, huyu dada hana moral authority yoyote ya kutufundisha wa-Tanzania kuhusu uzuri na ubaya wa viongozi wetu, kwa sababu tunayajua vizuri matatizo yetu, yeye na familia yake warudishe zile hela zote walizowabia wananchi wenzao huko US through biashara zao za mafuta na ngano!

Ahsanteni.

William.

NAFIKIRI WATU HUJIFUNZA KUTOKANA NA MAKOSA, HATA KAMA WAZUNGU WALITUFANYIA MABAYA SIKU ZA NYUMA ZILIKUWA ENZI HIZO! NA PIA HUYU DADA PENGINE KAONA MAKOSA YA FAMILIA YAKE KWA KUJILIMBIKIZIA PESA KIASI HICHO (kama ni kweli). ILA TUNAPOSHAURIWA NI YEMA KUPIMA USHAURI NA KAMA NI MWEMA TUKAUFANYIA KAZI REGARDLESS UMETOKA KWA MZUNGU, MCHINA AU MUHINDI ILIMRADI UWE WA KULETA MAENDELEO KTK NCHI YETU. KIMSINGI NAUNGA HOJA YA HUYU DADA ANA UCHUNGU SANA NA NCHI YETU INGAWA SISI WENYEWE UNAFIKI UMETUJAA, TWAFURAHI KUONA WENGINE WANATESEKA ILHALI SISI NA FAMILIA ZETU ZENYE MAJINA MAKUBWA TWANEEMEKA. MUNGU IBARIKI TANZANIA YETU TUFUMBUKE MACHO. AMEN
 
- Ninatetea taifa langu kutoingiliwa na Wazungu tuliowafukuza bila kupenda, kama for that heshima yngu kwako inashuka so be it,
ila wazungu watuachie taifa letu maana sasa tuko huru kuamua mambo yetu, maana ni hao hao ndio waliotuletea hizi political confusions in the first place!


William.


....Huna Hoja. kama hutaki Taifa lako kuingiliwa na Wazungu ungemuambia kwanza rais wako aache kutembeza bakuli kila siku ulaya akiomba misaada kwa hao hao wazungu usiotaka waingilie taifa lako. Wawafuatiani??? Watu watoe hela zao halafu wakiuliza matumizi yake unakimbilia kudai hutaki waingilie taifa lako??
 
Kwanini watu hawasomi historia? Kuna mtu alimfukusa mzungu/mkoloni? Ivi mnakuwa wagumu wa kufikiria? Wazungu waliamua kutupa uhuru ndo mana mwl.nyerere alianza kuwa waziri mkuu chini ya uyo mkoloni,akapewa nafasi aanze kuandaa serikali alaf mnasema mlifukuza mzungu ivo asiwaingilie? Mna kichaa kweli! Mwache mzungu awaelekeze bwana mana budget ya nchi yetu analeta yeye. Mpe dr.SLAA nchi muone kama atawaingilia tena,si mmekuwa matonya? Endelea kuwapasha ee Mzungu!
 
hahahahaha.........Mkuu nimefurahi sana kukusoma leo na saa hizi.............nilijua kuna mtu kama wewe ungekuja na hiyo challenge...........YES they can make us accountable from what they contractually give.........your analogy (i.e. tukubali humiliation) brings about slavery conditions/environment (i.e slap on our face?..........NO WAY)............tunapokwenda kuomba misaada/mikopo..........hatuombi hiyo misaada ili tuje kuwa watumwa wa misaada hiyo..(it is unfortunate jinsi tunavyoitumia hiyo misaada/mikopo though)............BUT............IT is our responsibility (sisi Wananchi) kuwa -challenge viongozi wetu..........kwa sababu ultimately its me and you who gonna pay the loan..................WE WILL PAY THEM (Wazungu).........hivyo wasituingilie..........sisi ni TAIFA................hiyo ni misimamo yetu tangu enzi zile.........au?

Nakutakia kila la kheri nawe pia

Mtu umeoa bado unakaa kwenye nyumba ya baba yako, baba yako ndiye anayekununulia chakula, nakukupa posho, anakununulia wewe, mkeo na watoto wako nguo, anawasomesha watoto wako, anakulipia umeme na maji na akiugua yeyote katika familia yako, yeye ndiye anayelipa. Wewe na mkeo hamfanyi kazi bali mnajisifia kuwa mzee wenu tajiri. Hivi siku baba akikuambia kuwa uache kulewa ovyo, usiwachape bila sababu watoto wako na usimpige mkeo utatanua kifua na kumwambia kuwa asikuiingilie katika himaya yako? Himaya gani hiyo!

Sisi tunapitisha kibakuli hata kuomba vyandarua, madawati, kuchimbiwa vyoo na visima n.k. Sisi tunapigiwa muziki ili hao mnaowaita wakoloni watusamehe madeni ambayo kweli tulikopa na tumeshindwa kurudisha ( ati.. we will pay them!)! Leo, miaka 50 baada ya uhuru, sehemu kubwa ya bajeti yetu wanaibeba hao tunaowaita wakoloni! Sasa hizo responsibility mnazojivunia ziko wapi? Mtu ambae ni responsible hata siku moja hataki kuwa tegemezi maana anajua athari zake. Utasemaje unapoenda kuomba misaada ( na sio mikopo) ati si kwa sababu mnataka kuwa watumwa! Mngejua hivyo basi mngehakikisha mnajitegemea na mnaweka mazingira ambayo wenyewe watawabembeleza kuwekeza. Hapo watawaheshimu. Hakuna mtu anayemheshimu mtembeza kibakuli! Tukubali makosa yetu na tujifunze kutokana nao. Tusipofanya hivyo tutabaki watu wakuonewa huruma na kudharauliwa.

Amandla.....
 
Mtu umeoa bado unakaa kwenye nyumba ya baba yako, baba yako ndiye anayekununulia chakula, nakukupa posho, anakununulia wewe, mkeo na watoto wako nguo, anawasomesha watoto wako, anakulipia umeme na maji na akiugua yeyote katika familia yako, yeye ndiye anayelipa. Wewe na mkeo hamfanyi kazi bali mnajisifia kuwa mzee wenu tajiri. Hivi siku baba akikuambia kuwa uache kulewa ovyo, usiwachape bila sababu watoto wako na usimpige mkeo utatanua kifua na kumwambia kuwa asikuiingilie katika himaya yako? Himaya gani hiyo!

Sisi tunapitisha kibakuli hata kuomba vyandarua, madawati, kuchimbiwa vyoo na visima n.k. Sisi tunapigiwa muziki ili hao mnaowaita wakoloni watusamehe madeni ambayo kweli tulikopa na tumeshindwa kurudisha ( ati.. we will pay them!)! Leo, miaka 50 baada ya uhuru, sehemu kubwa ya bajeti yetu wanaibeba hao tunaowaita wakoloni! Sasa hizo responsibility mnazojivunia ziko wapi? Mtu ambae ni responsible hata siku moja hataki kuwa tegemezi maana anajua athari zake. Utasemaje unapoenda kuomba misaada ( na sio mikopo) ati si kwa sababu mnataka kuwa watumwa! Mngejua hivyo basi mngehakikisha mnajitegemea na mnaweka mazingira ambayo wenyewe watawabembeleza kuwekeza. Hapo watawaheshimu. Hakuna mtu anayemheshimu mtembeza kibakuli! Tukubali makosa yetu na tujifunze kutokana nao. Tusipofanya hivyo tutabaki watu wakuonewa huruma na kudharauliwa.

Amandla.....


Safi sana!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom