Elections 2010 Lisa M Rockerffeller urge Tanzanians to reject Kikwete a 2nd Term

Elections 2010 Lisa M Rockerffeller urge Tanzanians to reject Kikwete a 2nd Term

Status
Not open for further replies.
....Mimi kipigo cha Lisa kimeniingia...sawa sawa....kama mwanaharakati hatuwezi kumnyima ku comment kwenye mambo ya nchi yetu.....kama sisi tunavyoweza kutoa maoni yetu kwenye blogs mbalimbali za nje juu ya viongozi wao au mambo yao!!!!

.........i usually tell people kuwa Americans are making fool of Kikwete and he thinks they like him....this is what people he meet in USA think of him......kuna rafiki zangu waliongea nae Washington last time wakasema "your president is not a serious man...."....sikupenda comment yao nikadhani wamemuona hivyo tu...but that is Jakaya since the age of foreign affairs todate.....he dont want to be the statesman!!

- Mkuu heshima yako sana, mambo ya ndani ya taifa letu hasa ya uongozi yanatakiwa kuamuliwa na sisi wananchi wa Tanzania, sio kuambiwa na mzungu, kuhusu maoni ya wananchi wa nje kuhusu viongozi wetu sidhani kama ni tija maana siamini kwamba Reagan alikuwa na maoni mema kuhusu Mwalimu, lakini haikubadili anything kuna watu huku US wanaamini Obama ana kichaa hasa kutokana na Health Care Plan, so what!

- Siasa za desparation haziwezi kuliokoa hili taifa, siasa za kulazimisha kuingia Ikulu haziwezi kuwa cure ya matatizo ya taifa letu ni kutafuta majibu rahisi rahisi tu kwamba tatizo la taifa letu ni Rais, aliyeshika nchi in olny Five years, unahitaji kwenda deep than that, tusikubali utumwa kwa sababu huenda utatusaidia kuingia Ikulu hata kama unaletwa na dada wa kizungu tukatae kwa kauli moja, damu ya kina Chief Mkwawa haikumwagika bure, walikuwa wakikataa kuamuliwa na wazungu what to do kama huyu dada anavyotaka kutuamulia!

William.
 
- Mkuu heshima yako sana, mambo ya ndani ya taifa letu hasa ya uongozi yanatakiwa kuamuliwa na sisi wananchi wa Tanzania, sio kuambiwa na mzungu, kuhusu maoni ya wananchi wa nje kuhusu viongozi wetu sidhani kama ni tija maana siamini kwamba Reagan alikuwa na maoni mema kuhusu Mwalimu, lakini haikubadili anything kuna watu huku US wanaamini Obama ana kichaa hasa kutokana na Health Care Plan, so what!

- Siasa za desparation haziwezi kuliokoa hili taifa, siasa za kulazimisha kuingia Ikulu haziwezi kuwa cure ya matatizo ya taifa letu ni kutafuta majibu rahisi rahisi tu kwamba tatizo la taifa letu ni Rais, aliyeshika nchi in olny Five years, unahitaji kwenda deep than that, tusikubali utumwa kwa sababu huenda utatusaidia kuingia Ikulu hata kama unaletwa na dada wa kizungu tukatae kwa kauli moja, damu ya kina Chief Mkwawa haikumwagika bure, walikuwa wakikataa kuamuliwa na wazungu what to do kama huyu dada anavyotaka kutuamulia!

William.

So what about this William???? Hatukukusikia wakati tunaionggelea hii!!!!!!

Habari leo leo ukurasa wa kwanza:

Sasa huku sijui ni kujipendekeza CCM au ni ulimbukeni just can't understand yaani mzungu kuvaa scarf ya CCM ni big deal?

Kweli hivyo vyombo vya habari vya serikali vimefilisika.


24xnayf.jpg



"Wakati kampeni za uchaguzi mkuu zikielekea ukingoni, baadhi ya watu wakiwemo wageni wameshindwa kuzuia hisia zao kama inavyoonekana kwa dada huyu wa kizungu akiwa amevaa skafu inayonadi Chama Cha Mapinduzi. (Picha na Frank Leonard)."
 
Inocent Mungy thinks we dont know that it is his wife Susan that he should be grateful to.He is a nobody.And she is a someboby,particulaly where JK is concerned.Does he need me to spell it out for him ??
 
- Hao wazungu wangetuachia mambo yetu ya ndani tutayaamua wenyewe, wao wazungu mabaya waliyotufanyia Africa sio madogo eti, huyu mdada anasahau kwamba ni wizi wa familia yake kwa taifa lake ndio uliopelekea kuanzishwa kwa sheria ya Standard Act, ili kuzuia monopoly za wizi wa familia yake kwa wananchi wa US, sasa kama yeye ni mkweli angeanza kuwarudishia serikali ya US na wananchi wake hela walizoiba huko mpaka kuanzishiwa sheria.

- Africa bwana tunakuaga so desparate na ushindi wa uongozi kwamba hata huwa hatuulizi maswali magumu, halafu baadaye ndio tutakuja kuanza kutafutana uchawi, huyu dada hana moral authority yoyote ya kutufundisha wa-Tanzania kuhusu uzuri na ubaya wa viongozi wetu, kwa sababu tunayajua vizuri matatizo yetu, yeye na familia yake warudishe zile hela zote walizowabia wananchi wenzao huko US through biashara zao za mafuta na ngano!

Ahsanteni.

William.

I used to think that you were a big pain in the neck. Now I have a much lower opinion of you.
 
- Mkuu heshima yako sana, mambo ya ndani ya taifa letu hasa ya uongozi yanatakiwa kuamuliwa na sisi wananchi wa Tanzania, sio kuambiwa na mzungu, kuhusu maoni ya wananchi wa nje kuhusu viongozi wetu sidhani kama ni tija maana siamini kwamba Reagan alikuwa na maoni mema kuhusu Mwalimu, lakini haikubadili anything kuna watu huku US wanaamini Obama ana kichaa hasa kutokana na Health Care Plan, so what!

- Siasa za desparation haziwezi kuliokoa hili taifa, siasa za kulazimisha kuingia Ikulu haziwezi kuwa cure ya matatizo ya taifa letu ni kutafuta majibu rahisi rahisi tu kwamba tatizo la taifa letu ni Rais, aliyeshika nchi in olny Five years, unahitaji kwenda deep than that, tusikubali utumwa kwa sababu huenda utatusaidia kuingia Ikulu hata kama unaletwa na dada wa kizungu tukatae kwa kauli moja, damu ya kina Chief Mkwawa haikumwagika bure, walikuwa wakikataa kuamuliwa na wazungu what to do kama huyu dada anavyotaka kutuamulia!

William.

huyu bwana malechela amaechanganyikiwa na maisha ya marekani ya kubeba boxi, na nyumbani baba kalosti. hapa familia ndo hivyo tena. william hacha kuleta frustration zako humu mkuu,
 
Bill Acha zako wewe,
Kikwete juzi kasema safari za nje ndo zinatufanya tusife njaa,Rais na Mwenyekiti wa CCM anajivunia kutembea na Bakuli kubwa kuliko lile la Matonya,Bill ulikaa kimya kama mshindo wa kivuli hukuthubutu kutoa neno. Leo wale ambao kikwete anawategemea wampe fedha wamemtolea uvivu unakuja na sela zako uchwara kwamba asituingilie. Hivi ninyi Watanganyika mnataka muingiliwe mara ngapi ndiyo mjue mmeingiliwa??

60% ya bajeti ya nchi inategemea wahisani, wahisani wenyewe ndo akina Lisa. fedha yao mnataka kisha mnataka wawe mabubu. Ovyoo!
Ni Ujuha wa hali ya juu rais wa nchi na Chama chake kujivunia wahisani. Ni Ujuha mkubwa zaidi kwako wewe mwananchi kumtetea Rais na chama chake kinachojivunia wahisani wanao toa dollar zenye thamani ya kunua gagulo na kuruhusu Mabilioni ya fedha kuibiwa na Makampuni makubwa kam Barrick Goldmine.


Nimepita State karibu 30 hapa Marekani sijaona kundi au mtu anaye tuonea huruma sisi Watanganyika sasa sijui hizo safari za Kikwete zinampa kula vipi?? Kujipendekeza??

Lisa kamfunua mkuu hadharani sasa wapambe mnajaribu kumfunika uchi na vikoi vyenu.

Kwa matokeo yeyote ya Uchaguzi huu msimamo wetu bado utakua uleule tunataka Rais anayewajibika mbele ya wananchi na kujali watu wake.Siyo kuchekacheka mbele ya mademu wa kizungu kama kijana wa miaka 17!!!
Tunata kuleta mageuzi yakuifanya Tanzania kuwa nchi ya kwanza kujenga viwanda vya kisasa vinavyoendeshwa na Watanzania wenyewe.
 
- Ukweli ni kwamba muajiri wangu hana anything to do na maisha yangu ya binafsi pamoja na kwamba ananilisha mimi na familia yangu kutokana na ujira anaonilipa kwa kumfanyia kazi.

William.

Kuajiriwa na kulishwa ni vitu tofauti. Muajiri wako anafanya hivyo kutokana na kazi unayomfanyia na hata siku moja hawezi kudai kuwa anakulisha. Mtu anayekulisha kwa fadhila tu basi atakuwa na haki kukuingilia maisha yako binafsi kama vile kukuambia upunguze ulabu, utafute kazi n.k. Ndivyo ilivyo. Sisi kama watanzania tunalishwa na hao unaowaita wakoloni.

Hivi huyu dada angetusifia na kutuambia kuwa uongozi wa sasa unastahili kupewa nafasi nyingine mngembeza kuwa anatuingilia? Ni sisi ambao tutaamua kama ushauri wake unafaa au sio maana ni sisi ambao tutapiga kura leo na sio yeye. Yeye anaweza kutushauri tu lakini usimngizie kuwa anaweza kutuchagulia maana uwezo wa kuingia kwenye kiboksi cha kupiga kura hana.

Amandla......
 
- Mkuu heshima yako sana, mambo ya ndani ya taifa letu hasa ya uongozi yanatakiwa kuamuliwa na sisi wananchi wa Tanzania, sio kuambiwa na mzungu, kuhusu maoni ya wananchi wa nje kuhusu viongozi wetu sidhani kama ni tija maana siamini kwamba Reagan alikuwa na maoni mema kuhusu Mwalimu, lakini haikubadili anything kuna watu huku US wanaamini Obama ana kichaa hasa kutokana na Health Care Plan, so what!

- Siasa za desparation haziwezi kuliokoa hili taifa, siasa za kulazimisha kuingia Ikulu haziwezi kuwa cure ya matatizo ya taifa letu ni kutafuta majibu rahisi rahisi tu kwamba tatizo la taifa letu ni Rais, aliyeshika nchi in olny Five years, unahitaji kwenda deep than that, tusikubali utumwa kwa sababu huenda utatusaidia kuingia Ikulu hata kama unaletwa na dada wa kizungu tukatae kwa kauli moja, damu ya kina Chief Mkwawa haikumwagika bure, walikuwa wakikataa kuamuliwa na wazungu what to do kama huyu dada anavyotaka kutuamulia!

William.

Kuna habari Membe aliongea na Maaskofu huko Mwanza kawaambia kuna Faida ya kuingia kwenye OIC tutafaidika na misaada, akufafanua masharti ya jumuia hiyo.

My take is this:

Ungekua so upset kwa kiongozi wa nchi kusearch jumuia kwa misaada, na unajua kuna sababu ya misaada, na sio private raia wa nchi nyingine kukomenti mambo ya TZ
 
- Mkuu heshima yako sana, mambo ya ndani ya taifa letu hasa ya uongozi yanatakiwa kuamuliwa na sisi wananchi wa Tanzania, sio kuambiwa na mzungu, kuhusu maoni ya wananchi wa nje kuhusu viongozi wetu sidhani kama ni tija maana siamini kwamba Reagan alikuwa na maoni mema kuhusu Mwalimu, lakini haikubadili anything kuna watu huku US wanaamini Obama ana kichaa hasa kutokana na Health Care Plan, so what!

- Siasa za desparation haziwezi kuliokoa hili taifa, siasa za kulazimisha kuingia Ikulu haziwezi kuwa cure ya matatizo ya taifa letu ni kutafuta majibu rahisi rahisi tu kwamba tatizo la taifa letu ni Rais, aliyeshika nchi in olny Five years, unahitaji kwenda deep than that, tusikubali utumwa kwa sababu huenda utatusaidia kuingia Ikulu hata kama unaletwa na dada wa kizungu tukatae kwa kauli moja, damu ya kina Chief Mkwawa haikumwagika bure, walikuwa wakikataa kuamuliwa na wazungu what to do kama huyu dada anavyotaka kutuamulia!

William.


Bill uamuzi unabaki kuwa ni wetu yeye ametoa maoni yake tu!!!!!
 
- Siwezi kumuita Rais wangu zero mbele ya watu wenye akili, maana nitawasaidia kunielewa kwa urahisi sana kwamba na mimi ni nani.

William.

kama raisi wako ni ziro na watu wanamjua ni ziro, lakini wewe huwezi kusema mbele yao kuwa raisi wako ni ziro basi na wewe watakuona ni ZIRO tu
 
Kuajiriwa na kulishwa ni vitu tofauti. Muajiri wako anafanya hivyo kutokana na kazi unayomfanyia na hata siku moja hawezi kudai kuwa anakulisha. Mtu anayekulisha kwa fadhila tu basi atakuwa na haki kukuingilia maisha yako binafsi kama vile kukuambia upunguze ulabu, utafute kazi n.k. Ndivyo ilivyo. Sisi kama watanzania tunalishwa na hao unaowaita wakoloni.

Hivi huyu dada angetusifia na kutuambia kuwa uongozi wa sasa unastahili kupewa nafasi nyingine mngembeza kuwa anatuingilia? Ni sisi ambao tutaamua kama ushauri wake unafaa au sio maana ni sisi ambao tutapiga kura leo na sio yeye. Yeye anaweza kutushauri tu lakini usimngizie kuwa anaweza kutuchagulia maana uwezo wa kuingia kwenye kiboksi cha kupiga kura hana.

Amandla......


kusifiwa ni lingine ...viongozi wetu hata wakisifiwa na mwendawazimu ulaya wanapita njia zote kusifu ..aah hata wageni wanatusifia......iweje tukikosolewa!!!!...........wazungu wanakiri mugabe is brilliant....na wanamuita rais wetu dummy.....!!..thats is how they may rate him....na pia ni lesson kwake arudi aangalia mikanda ya mwalimu nyerere na viongozi wengine wenye msimamo aone namna wanavyoongea na wazungu...wazungu bwana wakikuona huna akili ...watakufanya kituko....wanaweza hata kukuambia mambo ya kijinga kama mtego ...ukikubali wanajuwa huna msimamo...thats how they fish our president!!!.......from mwalimu aliyekuwa anaona misaada ni aibu to JK ambaye anaona misaada ni sifa.....anaita "faida za kuzunguka zunguka..."" ni vema aambiwe straight ..ni wazi atarudi tena [thanks to mtandao mpana wa chama"...lakini tumejifunza kuwa nchi hii inataka rais wa aina gani na yeye anajuwa kuwa nchi hii wanataka nini....."">>>akikosea ni wazi mwaka 2015 dola itaenda UPINZANI jumla jumla....sio reja reja kama sasa!
 
Jakaya Kikwete We're in last day of our campaigns.Tomorrow,we've to go out and vote.With all the efforts that we've shown as a nation,there's no target we cannot hit if we aim together.It's tomorrow,when we'll vote against all the seeds of discord.When we'll vote for how far we've travelled in the past 5 years and how far we are determined to go.When we'll vote for socio-economic progress,peace,harmony and unity.

8 hours ago · Comment · Like
  • Rasel Mpuya Madaha, Said Awadh, Kibibi Awadhi and 86 others like this.
    • Ernesto Sheka ‎" loot" - sacking,plundering,despoiling,despoliation or pillaging is the indiscriminate taking of goods by force as part of a military or political victory,or during a catastrophe or riot, such as during war,natural disaster or rioting.?I ...think you have misused the word.
      "never took any action." how many people are in court of misuse of public funds today?
      " initiative to investigate"-many people are still at standby with court orders.The law is what is used and not just what people feel.And that's how the rule of law suggests,no one's above the law but at the same time no one is guilty until proven so beyond doubt by the court that infact uses laws.Now,you and I can agree that something is wrong with the laws all over the world,the laws,not people or governments.See More
      2 hours ago ·

    • Ernesto Sheka Chuma was MCC so blind to grant us the MDG education awards?about an hour ago ·

    • Ernesto Sheka Chuma,nadhani kila msikilizaji wa hotuba za Kikwete hata mahojiano ya jana usiku anajua kwamba Kikwete knows the challenges that these schools are facing,he said why they haven't met on time,he showed the improvements.(student:book) and he analysed for areas geared towards the improvement of these schools and how it will be done.Mbona tunaongopeana?about an hour ago · 1 personLoading... ·

    • Florah Msafiri ushindi lazima mheshimiwa,wapende wasipendeabout an hour ago ·

    • Ernesto Sheka ‎"Lisa the dude is a fuckin gang leader wht wud u expect" that doesn't answer any of my questions that I posed to you @ Mike and it's still a doubtable statement.The rest of your reply is personal and has nothing to help this country or thousands of young people who are working hard to make their ways up using the limited resources available in schools like books.about an hour ago ·

    • Lisa M Rockefeller as part of my mission work, I was in Tanzania, that was back in 2003. I was in Mbeya for 6 months. A loaf of bread was Tsh. 300, today same loaf is Tsh 900, what gain can he claim or how has he helped the country? USD1 was Tsh. 475 today 1USd is Tsh. 1500, C'mmon dude, you know better than that. Your candidate has delivered -35%; meaning he has driven Tanzanian economy into negative territory -35%about an hour ago · 1 personLoading... ·

    • Ernesto Sheka Lisa,a fair question.What was a South African Vs US Dollar exchange rate in 2003 and what is it today?(You can sense where am heading from there I hope,fair indeed.)about an hour ago · 1 personLoading... ·

    • Lisa M Rockefeller We are not talking about South Africa, that is another nation, in another level. We are talking about Tanzania and Jakaya Kikwete, and if I can tell you, I sat with Mr. Kikwete in 2005 in Washington DC. It was quite sad to hear him speak. Gargabe for a head of state. I am sure, if I could sense that, many Tanzanians who are the victims of his misrule have realized that, and will do the right thing come election dayabout an hour ago · 1 personLoading... ·

    • Ernesto Sheka We cannot talk about the trends of a Tanzanian shilling against a US Dollar without referring to what was happening in other parts of the world in the same season.That will be the worst form of making ourselves blind and we'll be missing a ...point and above all we'll have an extremely biased argument Lisa.Can you point out clearly what you refer as "garbage"? I think we have missed a point in global currency trends,we can't fool people that the government has a 100% or even a 50% share of the problems in currency values.See More
      about an hour ago · 1 personLoading... ·

    • Ernesto Sheka Not in our county,not in South Asia,not in Latin America,not in East Europe.That's somewhere else and you know it!Let's face the facts.about an hour ago · 1 personLoading... ·

    • Maryangela Kamene Kimwele Amani about an hour ago ·

    • Maryangela Kamene Kimwele Amani about an hour ago ·

    • Maryangela Kamene Kimwele Amani about an hour ago ·

    • Maryangela Kamene Kimwele Lisa do u hav a vote?about an hour ago ·

    • Lisa M Rockefeller Dont take my argument and base it on the currency. That is just a drop of water in an ocean in regards to Kikwte's misdeed to the contry of Tanzania. I have been to Tannzania more than 4 times, but was suprised how civil servant under Kikwe...te whose Salary is less than $500 a month can own $1miilion dollar house, and drive $200,000 dollar car. If this is not corruption, what is it? Mind you children are dying in hospital because their parents cant afford to pay for treatment. What is wrong witht hat argument? Guys, I feeel for you. All
      I come for in your country is to help the needy, not to invest or anything else, but if you are blind to your own problems, then noway you can be helped. The only way you can rescue yourself is to vote responsibly by voting out Kikwete protecting the kingpins of corrptionSee More
      54 minutes ago ·

    • Lisa M Rockefeller ‎@Thakur, seriuosly, I cant respond to you, too many logical flaws in your reasoning. I dont know what you are talking about53 minutes ago ·

    • Ernesto Sheka ‎"civil servant under Kikwete whose Salary is less than $500 a month can own $1miilion dollar house, and drive $200,000 dollar car." did you get any info about this?Loans maybe?I know of mayors in the US who run lives beyond their own salar...ies,who get business deals using their positions in the government,Michael Bloomberg for a start.Am not justifying anything,I want you to tell me if you have any details concernning property ownership to civil servants in Tanzania.I don't wana talk about kingpins in the USA,Italy or any country or the projects that you are doing (have you ever monitored your own projects in Tanzania?How did it go?)See More
      46 minutes ago · 1 personLoading... ·

    • Lisa M Rockefeller They are greedy you (leaders) sought from around the world. You let them do what they wanted. In america, we have them, but our laws and the people dont allow them. We allow Obama to lead us because he promised change, unfortunately he has ...proved to bea burden, he is not going to get another chance. So if your leaders let people into the country to mine your gold and a throw away price, that is not a question for me to answer, it is you and your leaders to answer... what did your leaders get in return for letting barrick into Tanzania, and what did you get a common man apart from the craters? I am sure you are a indian, do you pay taxes in Tanzania@Thakur?See More
      43 minutes ago ·

    • Ernesto Sheka What laws allowed the Watergate Scandal or the Iraq Oil saga or even the Guantanamo Project?Lisa.39 minutes ago ·

    • Hassan Said Good luck everything will be alright.ari zaidi, nguvu zaidi na kasi zaidi39 minutes ago ·

    • Lisa M Rockefeller ‎@Thakur I have the best of Tanzania in my heart. I met good people in Tanzania, and my family has given more than $5million to the needy in Tanznaia in the past 4 years, so you cna reserve that statement yo yourself. So what part are you playing, are you paying taxes?38 minutes ago ·

    • Lisa M Rockefeller If you are aTanzanian, and you are paying taxes, you know the pain when your maoney goes to handful of families in the rulling party yet you can't afford paying tuition fees for your children. If you have this in mind, then most definitely, you are not going to vote for Kikwete, because he is a JOKE35 minutes ago ·

    • Dinnah Walton There'll never b a better President for any country in Africa! But,we must support those who have courage to step up n try2make changes. There'll never b another Obama in US & his fate is no different than that of Kikwete rite now! After 50yrs of independence to a continent with resources that all its citizens can each b afforded a palace bigger than DC in US,what more do you want of these people?28 minutes ago ·

    • Lisa M Rockefeller Thakur, I am sympathetic. Tanzania is not poor, it is one of the richest in the continent, the only problem you people have, is leadership. People like Kikwete are the one making your country look so poor in the eyes of the world.That is why i feel sorry for you for electing this guy in the first place, and if you were born in Tanznaia and see your future there, think before you vote28 minutes ago ·

    • Lisa M Rockefeller i sat with Kikwete when he took office in 2005, he came to DC, and narrated to him my expirience in Mbeya, asked him if he was going to do something. He gave me his personal contacts, I came to Tanznaia, before I went to mbeya he sent people to clean the hospital I was to visit, years later, the hospital was in terrible situation than before, and here after we donated $500,000.He does not deserve another term in the office, he needs to go24 minutes ago ·

    • Ernesto Sheka Lisa,in my last inbox chat with you (am sorry I have to disclose this),you said you have been helping Tanzania four years in a row.How do you keep helping a person who is misusing your funds?(I have a huge question mark).I am also not sure with what you have just said and you know why.14 minutes ago ·

    • Lisa M Rockefeller ‎@Thakur, keep up your hard work, but know that. even if you are in the manufacturing industry, as much as he is destroying your country, you may end up finding you worked for nothing all of your life. Look at Zimbabwe, there are people who owned so much, but at the end of the day ownded nothing because Mugabe destroyed their future. He is no different from Kikwete, the only difference is that, Mugabe is brilliant and Kikwete is "dummy"11 minutes ago ·

    • Jesse Mecameca Lisa u knw what,.! Nyerere said in his speach " in multprt systm the president maight come out of ccm, bt the best president can't be found any where but in ccm unless ccm members fails to put the best candidate for the position, and if tha...t will happen the Tanzanians we look to the other parties for the best president"
      so ccm has faild to produce the best candidet and now the Tanzanians are doing what Nyerere said they 'll do...!!
      Kikwete might go back to power for the last time with shame and that will be the bad end of ccm on the coming elections of 2015...!
      ccm has com to an end...!
      See More
      9 minutes ago ·

    • Lisa M Rockefeller ‎@sheka, helping Tanzanians is not helping Kikwete. Ordinary citizen is innocent, I am having a problem with your leadership. You are Kikwete's propaganda machine, and know quite well that, it is going to reach a point you will be sitting back and cry over what you in the name of the mighty dollar.Betraying your country to please an ignorant man who does not want to prosecute corruption kingpins8 minutes ago ·

    • Rasel Mpuya Madaha Lisa Rockefeller indeed an offspring of the richest person in recorded history of USA (I am aware of Rockfeller foundation). However, Kikwete is much better than your Bush though he can not be compared to Obama. Kikwete must stay because he improved our economy. It is better that you could manage to see Kikwete. I have been striving to see Obama for a year while living in Buffalo but I could not see him despite the fact that he visited Buffalo.7 minutes ago ·

    • Lisa M Rockefeller ‎@Rasel, dont quote my family. Quote me as an activist, wanting good for the Tanzanian people. Where is Bush, where is Obama they are soon becoming history, Americans know what best for them. once you screw up, no second chance. Kikwete plays too much, how can a president tell you something in the audience and when you see him he smiles at you like a little baby? Head of State? Please !!!!

hjapo ndio kuna tofauti ya mzungu na mUAFRIKA
 
- Kutu-criticize ni one thing na kutuambia nani anafaa na nani hafai kuwa kiongozi wetu ni totally another story, ninaktaa mkoloni kutuambia nani hafai na nani anafaa kua kiongozi wetu, sijakaataa kuwa criticized!

william.

napata shida na uwezo wako wa kupambanua mambo ya kisiasa, au kwa kifupi naweza kukuita wewe ni Kaburu (kwa tafsiri ya JK Nyerere), wewe unachokiongea hapa ni ubaguzi wa rangi tu waLA hakuna lolote, KILONZO mWASIOKA ALIPOKUJA HATA TANZANIA HIVI KARIBUNI PALE ARUSHA, ALIZUNGUMZA NA KUKARIRIWA NA VYOMBO VINGI VYA HABARI AKISEMA WATANZANIA TUMCHAGUE JK KUONGOZA KWA MIAKA MINGINE MITANO, NA HATA THREAD YAKE ILIKUWA HUMU JF, LAKINI WEWE HUKUSEMA KITU KWA SABABU NI MTU WA RANGI YAKO NA KAMSEMEA RAISI WAKO UNAYEMPENDA,
LEO KASEMA MZUNGU NA KAMPINGA RAISI WAKO UNAYEMPENDA-Presha inapanda na kushuka

kama unavyoona Kilonzo ana haki basi na Lisa ana haki ya kusema hivyo
 
It's very sad reading the comments from my fellow Tzs on this topic ! It shows how backwards we still are. we are scared to speak the truth even when it stares at us right in the face. Where we suffer Tanzaniand can't afford medicine. People are still dying of malaria. Malaria?? Hundreds of thousands are yes!! People can't even afford tp buy paracetamel/ panadol to relieve pain. Women are dying during child birth still? Babies and young children are dying from easily treatable diseases. Why? Because there is no proper investments. Why? Because all the money that can be used to help here is used by a few for their own benefits. The good doctors we have won't work in villages in Govt hospitals. Why??... We know why.....
This is just a little example. But many of us still sit there and say CCM is the only solution. How could it be where in 50 yrs things are getting worse. Why or why are you so scared of change?? Look at Kenya, why do you think they are doing better than us??

Am I scared to call the president incompetent? Nooo! How did he get where he is that's my question. Are we so blind not to see through this? Come on Tanzania.... think of all your sufferings and let's do it!!
 

- Haya yote hayahusu, ninachosema ni hivi mzungu hawezi kutuchagulia nani anafaa na nani anafaa sisi Africa, na hasa Tanzania kuwa kiongozi kumsikiliza huyu mzungu ndio unaitwa utumwa acha kichaa, au uchizi maana ni bora kuliko utumwa wa kumsikiliza mzungu!

- Halafu hayo maneno mekundu mengi ni kichaa na uchizi, vipi muandishi are you okay bro?

William.

Hivi mkoloni akikuambia usinywe maji kwenye hiyo glass hapo ... kwa kuwa anafikiri yana sumu.... Utaonyesha ujeuri na kuyanywa ili kuonyesha ukomavu na uzalendo wa Kitanzania? ...

Au ukiacha kuyanywa hiyo sumu utakuwa mtumwa wake eh? ...

Give in ..., yield ..., submit yourself, uncondtionaly and objectively to the constructive critism given by Lisa.

Ni ukweli ambao Watanzania tunauhuitaji, na hasa viongozi wetu... na utalikoa Taifa hata kama umotolewa na mkoloni...tutaepuka sumu/kifo.. ingawa bado watabakia wakoloni ...na tutawachukulia wakoloni!

...What is all this Mkuu? ....Tuamke!
 
Achana na Wamarekani.Ni wajinga tu na wachonganishi.
Mjinga ni wewe mwenyewe. Waamerika wana tatizo gani? wao wanatuibia lakini hawaibiani wao wenyewe.Sisi tunaibiwana Kikwete na wenzake halafu tunamtukana Mwamerika. Ami una akili timamu?
 
Its hard to believe whether people who are praised to help Tanzania can be annoyed of the this funded corrupt leadership. Being the citizen of Tanzania shall be accountable for this fate. It would mean right were such leadership could be put aside so that so that we can build a new Tanzania. Am sure people do understand well wisher Lisa Rockfeller but are adamant to make changes. I wonder why Tanzania shouldn't adhear to this Voice of Us lady that Tanzania could be built anew! We sons&daughters of the poor lack quality education, poor health services and the like. It was better to fight corruption rather than emphasize silly politics. Tanzania is peaceful but fear,tourture,force and secret service always make activits perish,here dwells my dought.We shall be cursed by our forthcoming generations in the lament for having not exercised our electoral vote. I pray for citzens that today can make their Tanzania. God bless Tanzania.
 
Jakaya Kikwete We're in last day of our campaigns.Tomorrow,we've to go out and vote.With all the efforts that we've shown as a nation,there's no target we cannot hit if we aim together.It's tomorrow,when we'll vote against all the seeds of discord.When we'll vote for how far we've travelled in the past 5 years and how far we are determined to go.When we'll vote for socio-economic progress,peace,harmony and unity.

8 hours ago · Comment · Like
  • Rasel Mpuya Madaha, Said Awadh, Kibibi Awadhi and 86 others like this.
    • Ernesto Sheka ‎" loot" - sacking,plundering,despoiling,despoliation or pillaging is the indiscriminate taking of goods by force as part of a military or political victory,or during a catastrophe or riot, such as during war,natural disaster or rioting.?I ...think you have misused the word.
      "never took any action." how many people are in court of misuse of public funds today?
      " initiative to investigate"-many people are still at standby with court orders.The law is what is used and not just what people feel.And that's how the rule of law suggests,no one's above the law but at the same time no one is guilty until proven so beyond doubt by the court that infact uses laws.Now,you and I can agree that something is wrong with the laws all over the world,the laws,not people or governments.See More
      2 hours ago ·
    • Ernesto Sheka Chuma was MCC so blind to grant us the MDG education awards?about an hour ago ·
    • Ernesto Sheka Chuma,nadhani kila msikilizaji wa hotuba za Kikwete hata mahojiano ya jana usiku anajua kwamba Kikwete knows the challenges that these schools are facing,he said why they haven't met on time,he showed the improvements.(student:book) and he analysed for areas geared towards the improvement of these schools and how it will be done.Mbona tunaongopeana?about an hour ago · 1 personLoading... ·
    • Florah Msafiri ushindi lazima mheshimiwa,wapende wasipendeabout an hour ago ·
    • Ernesto Sheka ‎"Lisa the dude is a fuckin gang leader wht wud u expect" that doesn't answer any of my questions that I posed to you @ Mike and it's still a doubtable statement.The rest of your reply is personal and has nothing to help this country or thousands of young people who are working hard to make their ways up using the limited resources available in schools like books.about an hour ago ·
    • Lisa M Rockefeller as part of my mission work, I was in Tanzania, that was back in 2003. I was in Mbeya for 6 months. A loaf of bread was Tsh. 300, today same loaf is Tsh 900, what gain can he claim or how has he helped the country? USD1 was Tsh. 475 today 1USd is Tsh. 1500, C'mmon dude, you know better than that. Your candidate has delivered -35%; meaning he has driven Tanzanian economy into negative territory -35%about an hour ago · 1 personLoading... ·
    • Ernesto Sheka Lisa,a fair question.What was a South African Vs US Dollar exchange rate in 2003 and what is it today?(You can sense where am heading from there I hope,fair indeed.)about an hour ago · 1 personLoading... ·
    • Lisa M Rockefeller We are not talking about South Africa, that is another nation, in another level. We are talking about Tanzania and Jakaya Kikwete, and if I can tell you, I sat with Mr. Kikwete in 2005 in Washington DC. It was quite sad to hear him speak. Gargabe for a head of state. I am sure, if I could sense that, many Tanzanians who are the victims of his misrule have realized that, and will do the right thing come election dayabout an hour ago · 1 personLoading... ·
    • Ernesto Sheka We cannot talk about the trends of a Tanzanian shilling against a US Dollar without referring to what was happening in other parts of the world in the same season.That will be the worst form of making ourselves blind and we'll be missing a ...point and above all we'll have an extremely biased argument Lisa.Can you point out clearly what you refer as "garbage"? I think we have missed a point in global currency trends,we can't fool people that the government has a 100% or even a 50% share of the problems in currency values.See More
      about an hour ago · 1 personLoading... ·
    • Ernesto Sheka Not in our county,not in South Asia,not in Latin America,not in East Europe.That's somewhere else and you know it!Let's face the facts.about an hour ago · 1 personLoading... ·
    • Maryangela Kamene Kimwele Amani about an hour ago ·
    • Maryangela Kamene Kimwele Amani about an hour ago ·
    • Maryangela Kamene Kimwele Amani about an hour ago ·
    • Maryangela Kamene Kimwele Lisa do u hav a vote?about an hour ago ·
    • Lisa M Rockefeller Dont take my argument and base it on the currency. That is just a drop of water in an ocean in regards to Kikwte's misdeed to the contry of Tanzania. I have been to Tannzania more than 4 times, but was suprised how civil servant under Kikwe...te whose Salary is less than $500 a month can own $1miilion dollar house, and drive $200,000 dollar car. If this is not corruption, what is it? Mind you children are dying in hospital because their parents cant afford to pay for treatment. What is wrong witht hat argument? Guys, I feeel for you. All
      I come for in your country is to help the needy, not to invest or anything else, but if you are blind to your own problems, then noway you can be helped. The only way you can rescue yourself is to vote responsibly by voting out Kikwete protecting the kingpins of corrptionSee More
      54 minutes ago ·
    • Lisa M Rockefeller ‎@Thakur, seriuosly, I cant respond to you, too many logical flaws in your reasoning. I dont know what you are talking about53 minutes ago ·
    • Ernesto Sheka ‎"civil servant under Kikwete whose Salary is less than $500 a month can own $1miilion dollar house, and drive $200,000 dollar car." did you get any info about this?Loans maybe?I know of mayors in the US who run lives beyond their own salar...ies,who get business deals using their positions in the government,Michael Bloomberg for a start.Am not justifying anything,I want you to tell me if you have any details concernning property ownership to civil servants in Tanzania.I don't wana talk about kingpins in the USA,Italy or any country or the projects that you are doing (have you ever monitored your own projects in Tanzania?How did it go?)See More
      46 minutes ago · 1 personLoading... ·
    • Lisa M Rockefeller They are greedy you (leaders) sought from around the world. You let them do what they wanted. In america, we have them, but our laws and the people dont allow them. We allow Obama to lead us because he promised change, unfortunately he has ...proved to bea burden, he is not going to get another chance. So if your leaders let people into the country to mine your gold and a throw away price, that is not a question for me to answer, it is you and your leaders to answer... what did your leaders get in return for letting barrick into Tanzania, and what did you get a common man apart from the craters? I am sure you are a indian, do you pay taxes in Tanzania@Thakur?See More
      43 minutes ago ·
    • Ernesto Sheka What laws allowed the Watergate Scandal or the Iraq Oil saga or even the Guantanamo Project?Lisa.39 minutes ago ·
    • Hassan Said Good luck everything will be alright.ari zaidi, nguvu zaidi na kasi zaidi39 minutes ago ·
    • Lisa M Rockefeller ‎@Thakur I have the best of Tanzania in my heart. I met good people in Tanzania, and my family has given more than $5million to the needy in Tanznaia in the past 4 years, so you cna reserve that statement yo yourself. So what part are you playing, are you paying taxes?38 minutes ago ·
    • Lisa M Rockefeller If you are aTanzanian, and you are paying taxes, you know the pain when your maoney goes to handful of families in the rulling party yet you can't afford paying tuition fees for your children. If you have this in mind, then most definitely, you are not going to vote for Kikwete, because he is a JOKE35 minutes ago ·
    • Dinnah Walton There'll never b a better President for any country in Africa! But,we must support those who have courage to step up n try2make changes. There'll never b another Obama in US & his fate is no different than that of Kikwete rite now! After 50yrs of independence to a continent with resources that all its citizens can each b afforded a palace bigger than DC in US,what more do you want of these people?28 minutes ago ·
    • Lisa M Rockefeller Thakur, I am sympathetic. Tanzania is not poor, it is one of the richest in the continent, the only problem you people have, is leadership. People like Kikwete are the one making your country look so poor in the eyes of the world.That is why i feel sorry for you for electing this guy in the first place, and if you were born in Tanznaia and see your future there, think before you vote28 minutes ago ·
    • Lisa M Rockefeller i sat with Kikwete when he took office in 2005, he came to DC, and narrated to him my expirience in Mbeya, asked him if he was going to do something. He gave me his personal contacts, I came to Tanznaia, before I went to mbeya he sent people to clean the hospital I was to visit, years later, the hospital was in terrible situation than before, and here after we donated $500,000.He does not deserve another term in the office, he needs to go24 minutes ago ·
    • Ernesto Sheka Lisa,in my last inbox chat with you (am sorry I have to disclose this),you said you have been helping Tanzania four years in a row.How do you keep helping a person who is misusing your funds?(I have a huge question mark).I am also not sure with what you have just said and you know why.14 minutes ago ·
    • Lisa M Rockefeller ‎@Thakur, keep up your hard work, but know that. even if you are in the manufacturing industry, as much as he is destroying your country, you may end up finding you worked for nothing all of your life. Look at Zimbabwe, there are people who owned so much, but at the end of the day ownded nothing because Mugabe destroyed their future. He is no different from Kikwete, the only difference is that, Mugabe is brilliant and Kikwete is "dummy"11 minutes ago ·
    • Jesse Mecameca Lisa u knw what,.! Nyerere said in his speach " in multprt systm the president maight come out of ccm, bt the best president can't be found any where but in ccm unless ccm members fails to put the best candidate for the position, and if tha...t will happen the Tanzanians we look to the other parties for the best president"
      so ccm has faild to produce the best candidet and now the Tanzanians are doing what Nyerere said they 'll do...!!
      Kikwete might go back to power for the last time with shame and that will be the bad end of ccm on the coming elections of 2015...!
      ccm has com to an end...!
      See More
      9 minutes ago ·
    • Lisa M Rockefeller ‎@sheka, helping Tanzanians is not helping Kikwete. Ordinary citizen is innocent, I am having a problem with your leadership. You are Kikwete's propaganda machine, and know quite well that, it is going to reach a point you will be sitting back and cry over what you in the name of the mighty dollar.Betraying your country to please an ignorant man who does not want to prosecute corruption kingpins8 minutes ago ·
    • Rasel Mpuya Madaha Lisa Rockefeller indeed an offspring of the richest person in recorded history of USA (I am aware of Rockfeller foundation). However, Kikwete is much better than your Bush though he can not be compared to Obama. Kikwete must stay because he improved our economy. It is better that you could manage to see Kikwete. I have been striving to see Obama for a year while living in Buffalo but I could not see him despite the fact that he visited Buffalo.7 minutes ago ·
    • Lisa M Rockefeller ‎@Rasel, dont quote my family. Quote me as an activist, wanting good for the Tanzanian people. Where is Bush, where is Obama they are soon becoming history, Americans know what best for them. once you screw up, no second chance. Kikwete plays too much, how can a president tell you something in the audience and when you see him he smiles at you like a little baby? Head of State? Please !!!!

Huyu maza ni noma.
 
So what about this William???? Hatukukusikia wakati tunaionggelea hii!!!!!!

Habari leo leo ukurasa wa kwanza:

Sasa huku sijui ni kujipendekeza CCM au ni ulimbukeni just can't understand yaani mzungu kuvaa scarf ya CCM ni big deal?

Kweli hivyo vyombo vya habari vya serikali vimefilisika.


24xnayf.jpg



"Wakati kampeni za uchaguzi mkuu zikielekea ukingoni, baadhi ya watu wakiwemo wageni wameshindwa kuzuia hisia zao kama inavyoonekana kwa dada huyu wa kizungu akiwa amevaa skafu inayonadi Chama Cha Mapinduzi. (Picha na Frank Leonard)."

- Mkuu vipi ulitaka mimi nijadili mzungu kuvaa skafu hapa kwenye uwanja wa Great Thinkers? Are you serious?

William.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom