Lissu acha kudandia, hoja ya mfumuko wa bei ni ya Mpina. Alikwisha ifikisha Bungeni miezi 8 iliyopita!

Lissu acha kudandia, hoja ya mfumuko wa bei ni ya Mpina. Alikwisha ifikisha Bungeni miezi 8 iliyopita!



Huu ndio ukweli halisi!

Mheshimiwa Luhaga Mpina, mbunge wa Jimbo la kisesa, alijitoa kafara,bila kupepesa macho bungeni,na kuichana Live, serikali ya chama chake cha CCM. Akatohoa kila kitu kutokana ndhila wanayopitia Watanzania.
Kutokana na upandaji holela wa bei za bidhaa nchini.

Lissu na Chadema meelewe hilo. Suala la mfumko wa bei,Lissu na Chadema wamedandia hoja ambayo tayari,wabunge wa CCM yenyewe!, walikwisha liona na kuibana serikali hii,ambayo imelalia kwa Upper Class na walamba asali.

Badala ya wananchi na wapiga kura. Tuaenda kwa hoja na uthibitisho mpaka kieleweke. Na wakati Mpina akijitoa muhanga!takribani miezi nane iliyopita!

Lissu alikuwa akipigania kulipwa mafao yake,akiwa huko huko Ulaya,nchini Ubelgiji. Lakini #Mpina alikuwa hapahapa, tena ndani ya bunge, akiichachafya serikali ya chama ambacho ndio pia kimempa nafasi ya kugombea ubunge na kuupata!

Na hilo limemgharimu mpaka kufyekwa jina lake, katika kugombea kuwa mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM pamoja na U-NEC wa CCM.

My take:
Hawa watu kama Mpina. Ndio waterezi halisi wa wananchi ambao tunaowataka Tanzania hii. Na sio wale cwa Msimu kama Lissu, wanaogeresha,huku familia zao zikiwa Ughaibuni.

Na wakishakosa malengo yao wanarudi Ulaya kama kawaida yao.

Asubuhi njema!

10101.

Kwani Mpina ni nani katika Tanzania hii.
 
Swali la kujiuliza hilo tatizo aliloliongelea Mpina limeisha?
Na kama lipo je Mpina ana hati miliki yake?
Tufike mahali tuache kupopoana bila sababu! Lissu kaongelea mfumuko wa bei ambao bado upo, na hata wewe mkuu panda jukwaani paza sauti mfumuko wa bei bado upo juu hali ni mbaya mkuu.
Ukweli ndiyo huo.
 
Hoja hiyo hiyo ameiwasilisha Jana Bashiru Ally, mbona hukumwambia mmiliki ni Mpina?

Kama hoja haikujibiwa ipasavyo na kufanyiwa marekebisho, lazima isemwe na watu mbalimbali.
 


Huu ndio ukweli halisi!

Mheshimiwa Luhaga Mpina, mbunge wa Jimbo la kisesa, alijitoa kafara,bila kupepesa macho bungeni,na kuichana Live, serikali ya chama chake cha CCM. Akatohoa kila kitu kutokana ndhila wanayopitia Watanzania.
Kutokana na upandaji holela wa bei za bidhaa nchini.

Lissu na Chadema meelewe hilo. Suala la mfumko wa bei,Lissu na Chadema wamedandia hoja ambayo tayari,wabunge wa CCM yenyewe!, walikwisha liona na kuibana serikali hii,ambayo imelalia kwa Upper Class na walamba asali.

Badala ya wananchi na wapiga kura. Tuaenda kwa hoja na uthibitisho mpaka kieleweke. Na wakati Mpina akijitoa muhanga!takribani miezi nane iliyopita!

Lissu alikuwa akipigania kulipwa mafao yake,akiwa huko huko Ulaya,nchini Ubelgiji. Lakini #Mpina alikuwa hapahapa, tena ndani ya bunge, akiichachafya serikali ya chama ambacho ndio pia kimempa nafasi ya kugombea ubunge na kuupata!

Na hilo limemgharimu mpaka kufyekwa jina lake, katika kugombea kuwa mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM pamoja na U-NEC wa CCM.

My take:
Hawa watu kama Mpina. Ndio waterezi halisi wa wananchi ambao tunaowataka Tanzania hii. Na sio wale cwa Msimu kama Lissu, wanaogeresha,huku familia zao zikiwa Ughaibuni.

Na wakishakosa malengo yao wanarudi Ulaya kama kawaida yao.

Asubuhi njema!

10101.


Nimecheka kwa nguvu, eti hoja ni ya Luhaga Mpina, kwahiyo ana haki miliki ya hoja? Kama alisema mbona hatukuona heka heka kama sasa? Mbona bei hazikushuka? Halafu hoja yenyewe kaizungumzia wapi, huko kwenye bunge kibogoyo la majizi ya kura?
 


Huu ndio ukweli halisi!

Mheshimiwa Luhaga Mpina, mbunge wa Jimbo la kisesa, alijitoa kafara,bila kupepesa macho bungeni,na kuichana Live, serikali ya chama chake cha CCM. Akatohoa kila kitu kutokana ndhila wanayopitia Watanzania.
Kutokana na upandaji holela wa bei za bidhaa nchini.

Lissu na Chadema meelewe hilo. Suala la mfumko wa bei,Lissu na Chadema wamedandia hoja ambayo tayari,wabunge wa CCM yenyewe!, walikwisha liona na kuibana serikali hii,ambayo imelalia kwa Upper Class na walamba asali.

Badala ya wananchi na wapiga kura. Tuaenda kwa hoja na uthibitisho mpaka kieleweke. Na wakati Mpina akijitoa muhanga!takribani miezi nane iliyopita!

Lissu alikuwa akipigania kulipwa mafao yake,akiwa huko huko Ulaya,nchini Ubelgiji. Lakini #Mpina alikuwa hapahapa, tena ndani ya bunge, akiichachafya serikali ya chama ambacho ndio pia kimempa nafasi ya kugombea ubunge na kuupata!

Na hilo limemgharimu mpaka kufyekwa jina lake, katika kugombea kuwa mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM pamoja na U-NEC wa CCM.

My take:
Hawa watu kama Mpina. Ndio waterezi halisi wa wananchi ambao tunaowataka Tanzania hii. Na sio wale cwa Msimu kama Lissu, wanaogeresha,huku familia zao zikiwa Ughaibuni.

Na wakishakosa malengo yao wanarudi Ulaya kama kawaida yao.

Asubuhi njema!

10101.
Wewe ni fala sana. Kwamba Kwa kuwa Mpina alishaongelea ugumu wa maisha, basi milango imefungwa kwa wengine kuzungumzia?

Aliongea Mpina, ameongea Lissu na tutazidi kuongea hadi hali iwe nafuu.

Acha kutumia matako katika kufikiri. Tumia japo akili kidogo.
 
Na hilo limemgharimu mpaka kufyekwa jina lake, katika kugombea kuwa mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM pamoja na U-NEC wa CCM.
Aisee kumbe ndio sababu iliyomponza mpina kuteuliwa nec bado tuna safari ndefu
 
Mkiambiwa mna vijana wa hovyo msiwe mnabishaga. Huyu mtu anayejiita voicer anaonesha wivu wa kisiasa au wa ukewenza?
labda ungempa ushahidi kwamba Lissu ndio alianza kupaza sauti kuhusu mfumko wa bei na sio mpina
 
labda ungempa ushahidi kwamba Lissu ndio alianza kupaza sauti kuhusu mfumko wa bei na sio mpina
Kuna mtu ana hati miliki ya kuongelea mfumuko wa bei nchi hii?! Anybody can speak out on that pale anapoona inafaa.
 
Kuna mtu ana hati miliki ya kuongelea mfumuko wa bei nchi hii?! Anybody can speak out on that pale anapoona inafaa.
Mfumko wa bei ulianza tangu mwaka 2022 anachouliza lissu alikuwa wapi
 


Huu ndio ukweli halisi!

Mheshimiwa Luhaga Mpina, mbunge wa Jimbo la kisesa, alijitoa kafara,bila kupepesa macho bungeni,na kuichana Live, serikali ya chama chake cha CCM. Akatohoa kila kitu kutokana ndhila wanayopitia Watanzania.
Kutokana na upandaji holela wa bei za bidhaa nchini.

Lissu na Chadema meelewe hilo. Suala la mfumko wa bei,Lissu na Chadema wamedandia hoja ambayo tayari,wabunge wa CCM yenyewe!, walikwisha liona na kuibana serikali hii,ambayo imelalia kwa Upper Class na walamba asali.

Badala ya wananchi na wapiga kura. Tuaenda kwa hoja na uthibitisho mpaka kieleweke. Na wakati Mpina akijitoa muhanga!takribani miezi nane iliyopita!

Lissu alikuwa akipigania kulipwa mafao yake,akiwa huko huko Ulaya,nchini Ubelgiji. Lakini #Mpina alikuwa hapahapa, tena ndani ya bunge, akiichachafya serikali ya chama ambacho ndio pia kimempa nafasi ya kugombea ubunge na kuupata!

Na hilo limemgharimu mpaka kufyekwa jina lake, katika kugombea kuwa mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM pamoja na U-NEC wa CCM.

My take:
Hawa watu kama Mpina. Ndio waterezi halisi wa wananchi ambao tunaowataka Tanzania hii. Na sio wale cwa Msimu kama Lissu, wanaogeresha,huku familia zao zikiwa Ughaibuni.

Na wakishakosa malengo yao wanarudi Ulaya kama kawaida yao.

Asubuhi njema!

10101.

Alaaniwe yeyote aliyemfyeka Mpina u-NEC ccm.
 


Huu ndio ukweli halisi!

Mheshimiwa Luhaga Mpina, mbunge wa Jimbo la kisesa, alijitoa kafara,bila kupepesa macho bungeni,na kuichana Live, serikali ya chama chake cha CCM. Akatohoa kila kitu kutokana ndhila wanayopitia Watanzania.
Kutokana na upandaji holela wa bei za bidhaa nchini.

Lissu na Chadema meelewe hilo. Suala la mfumko wa bei,Lissu na Chadema wamedandia hoja ambayo tayari,wabunge wa CCM yenyewe!, walikwisha liona na kuibana serikali hii,ambayo imelalia kwa Upper Class na walamba asali.

Badala ya wananchi na wapiga kura. Tuaenda kwa hoja na uthibitisho mpaka kieleweke. Na wakati Mpina akijitoa muhanga!takribani miezi nane iliyopita!

Lissu alikuwa akipigania kulipwa mafao yake,akiwa huko huko Ulaya,nchini Ubelgiji. Lakini #Mpina alikuwa hapahapa, tena ndani ya bunge, akiichachafya serikali ya chama ambacho ndio pia kimempa nafasi ya kugombea ubunge na kuupata!

Na hilo limemgharimu mpaka kufyekwa jina lake, katika kugombea kuwa mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM pamoja na U-NEC wa CCM.

My take:
Hawa watu kama Mpina. Ndio waterezi halisi wa wananchi ambao tunaowataka Tanzania hii. Na sio wale cwa Msimu kama Lissu, wanaogeresha,huku familia zao zikiwa Ughaibuni.

Na wakishakosa malengo yao wanarudi Ulaya kama kawaida yao.

Asubuhi njema!

10101.

 
Back
Top Bottom