Lissu ajifunze kwa Trump. Pamoja na tofauti za kisiasa na Biden, hajamnyooshea kidole

Lissu ajifunze kwa Trump. Pamoja na tofauti za kisiasa na Biden, hajamnyooshea kidole

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Lisu kupona kwake wahafidhina mnaumia sana hadi leo hamuwezi shindana na Mungu na msiishie kulinganisha kwenye complete make na footage basi tuone alivyoshambuliwa na hizo blackons na vyombo vya ulinzi pia vieleze kinagaubaga kilijiri nini siku ya tukio kwenye eneo lenye ulinzi mkali makazi ya viongo kama FBI walivyofanya
 
hili shambulio la Trump linamuumbua Tundu Lisu mwenye siasa za kitapeli aliyehongwa na Accacia kuwaxkibaraka na aliposhindwa kazi wakamlamba blancons
Lissu haumbuki kwa lolote, siasa za america na tz wapi na wapi? Ni mbingu na ardhi achen kujifananisha na mataifa yaliyo juu wkt levels hizo hamjafika
 
hili shambulio la Trump linamuumbua Tundu Lisu mwenye siasa za kitapeli aliyehongwa na Accacia kuwaxkibaraka na aliposhindwa kazi wakamlamba blancons
Sasa Lisu au sisiemu ndio wanaunbuka? Mbona uko na roho mbaya kwa mwanadamu mwenzio hizo hasira kama kweli ungekua una uchungu na uzalendo ungeanza na report za CAG kwa wanaotafuna hela za umma.
 
Tundu Lisu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani serikali akamlaani Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons

lkn Trump kashambuliwa hajailaumu serikali wala hajamlaumu Biden hili ni fundisho kwa Lisu na wanasiasa uchwara wengine
Tundu Lisu ashadharaulika, watu walipiga kelele na kumlilia sana alipopigwa risasi, ila yeye SATIVA alipotekwa, hajasikika, wakati wote wameundergo the same experience. katelekeza kabisa victim wenzie, amesahau kuwa hata sativa inawezekana alilia kwasababu yake siku ile dom.
 
Tundu Lisu ashadharaulika, watu walipiga kelele na kumlilia sana alipopigwa risasi, ila yeye SATIVA alipotekwa, hajasikika, wakati wote wameundergo the same experience. katelekeza kabisa victim wenzie, amesahau kuwa hata sativa inawezekana alilia kwasababu yake siku ile dom.
Wewe ulipiga kelele au ushawahi chukua hatua gadi dhidi ya any injustice? Lisu unaweza jifananisha nae au kumfananisha na mwanasiasa gani kwenye kupigania haki za watu au nimgeni nchi hii?hiki chuma mtatangulia nyie Mungu anamipango nacho juu ya Watanganyika kshapaza sautj zakutosha dhiti ya haki za watu na rasilimali wengine mkiwa mpo tu kutoa maoni mitandaoni na fake ID.
 
Mambo serious na etiquette za siasa za democratic nations sio ya kujadiliwa na wapuuzi na kila poyoyo.

Baki na hadithi za Makonda, Magufuli, Bi Tozo and local contents nonsense; kuliko kuandika shallow theories za ujinga humu ndani.

Hivi tumefikiaje hapa mtu mjinga kama wewe kwa mazingira yetu ya ulezi wa hovyo (JF being responsible) tunafikia hatua hapa.

Siasa ni discipline chukulia hii mifano ya elementary contents za A level education. What you need to cover in UK politics at A level

IMG_7493.jpeg


US politics at foundation level wanataka ujue mambo yafuatayo

IMG_7495.jpeg


Mind you siasa ni devolved aspect ya philosophy, ambayo ina misingi ya sheria, morality, ethics, historical contents to name a few. Hadi watu kutumia hizo dhana kutengeneza katiba.

Ndugu siasa ni social science, sio habari rahisi kama za Bashiru kuropoka sisi wa jamaa au kelele za sisi mabepari hiyo ni social economic politics (the lower layer of politics).

Na mkasirke uhalisia ni kwamba more than 95% ya wachangiaji wa jukwaa la siasa hata hizo siasa zenyewe hawazijui (that’s just politics), let alone kubishana maswala mengine ya uchumi.

Sanasana kuna popular figures humu zinazo andika ujinga many of whom can’t even writefollowing academic structure in presenting their arguments, which in most cases are weak arguments. Mnaishia kupeana likes 100 kwa ujinga mtupu.

Halafu watu wanaweza tumia akili kweli kuandika sense jinsi ambavyo mambo yanavyofanyika kwa rules za duniani ukaonekana wewe ndio hovyo.

Hata sijui watu kama nyinyi mnachomoka vipi, believe me kama nchi hampo kwenye umaskini kwa bahati mbaya isipokuwa uwezo wa jamii ndio ulipo. .

Ain’t no body cares, kuna wasaa lazima tuambizane ukweli.

Hakuna siasa hapa kuna ujinga tu (blame it on Hennesey), ukiwasikiliza wazungu kwenye siasa salalee ni level nyingine unatoka na elimu sio sisi ujinga mtupu.
 
Tundu Lisu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani serikali akamlaani Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons

lkn Trump kashambuliwa hajailaumu serikali wala hajamlaumu Biden hili ni fundisho kwa Lisu na wanasiasa uchwara wengine
Sisi tunashukuru kuwa Magufuli aliyeamuru Lissu auwawe yeye ndiye alikufa kibudu na Lissu yu hai.
 
Tundu Lisu ashadharaulika, watu walipiga kelele na kumlilia sana alipopigwa risasi, ila yeye SATIVA alipotekwa, hajasikika, wakati wote wameundergo the same experience. katelekeza kabisa victim wenzie, amesahau kuwa hata sativa inawezekana alilia kwasababu yake siku ile dom.
Mpumbavu wewe hata hujitambui .
 
Tundu Lisu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani serikali akamlaani Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons

lkn Trump kashambuliwa hajailaumu serikali wala hajamlaumu Biden hili ni fundisho kwa Lisu na wanasiasa uchwara wengine
Unaongea kama kichwani umejaza inya!
 
Kwa Trump haina shida kwa sababu waliotaka kutekeleza assisnation WAMEJULIKANA! Vyombo vya Usalama vimefanyakazi yake na vinaendelea kufanya upelelezi kujua chanzo chake ni nini?
Who was behind?
Waliotaka kumua Lissu WAMEJULIKANA? Vyombo vya Usalama ambavyo vina dhamana ya kulinda raia na mali zao vimefanya nini?
Sasa kwa nini Lissu asiilaumu Serikali?
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=kBUGt1kS3Zs&pp=ygUOdGhlIGdpbGRlZCBhZ2U%3D


View: https://m.youtube.com/watch?v=VWsZN_OoqrI&pp=ygUUVGhlIG1vbmV5IG1lbiBvZiB1cyA%3D

Weka bundle jifunze nchi kama US wqmefikiaje hapo kukabiliana na changamoto za kutengeneza nchi.

Kazi ya kujenga nchi sio rahisi.

Uwezi kujenga nchi na civil service weak ambayo raisi anaweza badili maafisa wa usalama kila mwaka. That tells you hata hiyo katiba ni weak kujenga nchi.

Kufananisha ugomvi wa Trump na Lissu kwa vyombo vya ni vitu viwili tofauti.

Lissu ni poyoyo anaetumika tu alie wazi, yeye wenyewe hata hajui madhara ya kauli zake.

Donald Trump ni megalomaniac ambae anataka ku-experiment vitu ambavyo nje ya comfort ya civil services (we are going back to Plato’’s Republic).

Jamii forums nayo ina mapoyoyo tu ambayo ni contributors ambao hawajasoma hata vitabu vya siasa.

But then siasa democratically ni haki ya kila raia. Nonetheless it’s a siasa ni social discipline ina rules of arguments nchi za wenzetu.

Nichukiwe 90% ya michango yetu ni ujinga mtupu, tunahitaji mtu wa kutunyoosha zaidi ya Magufuli; wakati tunapewa elimu.

Ohoo Mwamposa Nyami, mara waislamu sijui hivi, mkuu wa wilaya, waziri wa hivyo ndio Iła anapewa lawama ambazo sio zake afukuzwe, degree yangu ya BA/MSc sina kazi au sistahili kufanya kazi hii.

Makonda hafai, Makonda anafaa, Makamba raisi, Mwigulu mwizi, Jerry Slaa anatafuta sifa.

Huu upuuzi kwanza unahitaji strong civil service then credible politicians, asilimia kubwa za mada za jukwaa la siasa ni ujinga mtupu.
 
Tundu Lisu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani serikali akamlaani Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons

lkn Trump kashambuliwa hajailaumu serikali wala hajamlaumu Biden hili ni fundisho kwa Lisu na wanasiasa uchwara wengine
YAani kwakuwa tu Trump hajanyoosha kidole kwa Biden na Lisu naye asinyoshe hata kama amemuona mbaya wake
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=kBUGt1kS3Zs&pp=ygUOdGhlIGdpbGRlZCBhZ2U%3D


View: https://m.youtube.com/watch?v=VWsZN_OoqrI&pp=ygUUVGhlIG1vbmV5IG1lbiBvZiB1cyA%3D

Weka bundle jifunze nchi kama US wqmefikiaje hapo kukabiliana na changamoto za kutengeneza nchi.

Kazi ya kujenga nchi sio rahisi.

Uwezi kujenga nchi na civil service weak ambayo raisi anaweza badili maafisa wa usalama kila mwaka. That tells you hata hiyo katiba ni weak kujenga nchi.

Kufananisha ugomvi wa Trump na Lissu kwa vyombo vya ni vitu viwili tofauti.

Lissu ni poyoyo anaetumika tu alie wazi, yeye wenyewe hata hajui madhara ya kauli zake.

Donald Trump ni megalomaniac ambae anataka ku-experiment vitu ambavyo nje ya comfort ya civil services (we are going back to Plato’’s Republic).

Jamii forums nayo ina mapoyoyo tu ambayo ni contributors ambao hawajasoma hata vitabu vya siasa.

But then siasa democratically ni haki ya kila raia. Nonetheless it’s a siasa ni social discipline ina rules of arguments nchi za wenzetu.

Nichukiwe 90% ya michango yetu ni ujinga mtupu, tunahitaji mtu wa kutunyoosha zaidi ya Magufuli; wakati tunapewa elimu.

Ohoo Mwamposa Nyami, mara waislamu sijui hivi, mkuu wa wilaya, waziri wa hivyo ndio Iła anapewa lawama ambazo sio zake afukuzwe, degree yangu ya BA/MSc sina kazi au sistahili kufanya kazi hii.

Makonda hafai, Makonda anafaa, Makamba raisi, Mwigulu mwizi, Jerry Slaa anatafuta sifa.

Huu upuuzi kwanza unahitaji strong civil service then credible politicians, asilimia kubwa za mada za jukwaa la siasa ni ujinga mtupu.

Ulivyo jibu utazani ulikuwa peke yako unaongea mwenyewe chumbani
 
Back
Top Bottom