Ulivyo jibu utazani ulikuwa peke yako unaongea mwenyewe chumbani
Siasa sio shughuli nyepesi kwa waendesha nchi kila siku (civil servants),
Huyu investment bank hataki kupangiwa risk assessment (ikiiingia serikali moja iseme hivi, serikali nyingine iseme vile) bank zenyewe ikipoteza amana za CD wateja serikali inalipa.
Wakati huo huo bank and other financial. Institution zinamsimamo wake ukiingilia risk aversion zao za kulinda wateja ugomvi na wata lobby.
Serikali nayo ina mikakati yake ya kisera ambayo sio yote wapinzani wanakubali. Kuna kupi gangs kwa hoja (huko kwa wenzetu) muhimu ni middle class families.
Halafu kuna maswala ya national security/priority/rectification kutokana na upuuzi wa awali. Wakati watu wanapambana na vita yenyewe inataka propaganda unakutana na poyoyo kama Lissu lenyewe linatumia nguvu kukatisha jitihada za serikali (mind you Lissu, hajui contract law) ni wapuuzi wenzake tu humu ndio wanadhani alikuwa akiongea vitu vya maana. Uhalisia alikuwa anatumia nguvu tu kwa title ya mwanasheria kuwa against maamuzi ya serikari (kilichomkuta alikuwa anakitafuta huo ndio uhalisia(.
Hata ukiingilia national security issues za nchi zilizoendelea ‘bad things happen’ that’s the norm.
Halafu kunachangamoto ya ku-deal na watu kama nyie kwenye hili jukwaa; kukuelezea psychologically kiwango cha upuuzi wako kutokana na hiyo post is beyond me.
Sijaandika kwa kirefu hivyo kukujibu wewe, umenipa tu fursa ya kuongelea point zangu kwa kadamnasi. Otherwise shallow people like you daah I can’t say.
Like seriously sipendi ujinga na watu wajinga; only those who know me can tell you that.
Believe and I am not abash about that, yaani watu wajinga wajinga wananikera (I need a tolerance psychological help).