Lissu ajifunze kwa Trump. Pamoja na tofauti za kisiasa na Biden, hajamnyooshea kidole

Lissu ajifunze kwa Trump. Pamoja na tofauti za kisiasa na Biden, hajamnyooshea kidole

Tundu Lisu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani serikali akamlaani Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons

lkn Trump kashambuliwa hajailaumu serikali wala hajamlaumu Biden hili ni fundisho kwa Lisu na wanasiasa uchwara wengine
Hujamjua Trump vizuri. Subiri Milwaukee kwenye kikao Cha kukabdidhiwa tiketi ya chama. Umeona majibu ya JD Vince? Unafirikiri ameandika tu?
 
Tundu Lisu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani serikali akamlaani Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons

lkn Trump kashambuliwa hajailaumu serikali wala hajamlaumu Biden hili ni fundisho kwa Lisu na wanasiasa uchwara wengine
Yani ulivotoa mada utazani unabakwa katavi.
Usifananishe ushenzi wa tanzania na usa.
We unaweza kufanya uhalifu hapa tanzania ndani ya mda mfupi washakukamata.
Ila waliofanya kwa jina wasiojulikana wasikamatwe
 
Tundu Lisu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani serikali akamlaani Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons

lkn Trump kashambuliwa hajailaumu serikali wala hajamlaumu Biden hili ni fundisho kwa Lisu na wanasiasa uchwara wengine
Acha ujingabwewe. Unasahau mwenye alikuwa na madaraka aliwqhi kusema nini dhidi yake!
Isotoshe Lissu aliwahi kusema Kuna Gari Gari inamfuatilia!
Je Kuna hata kilifanyiwa kazi.

Hili la Trump aliyefanya hicho kitendo umeona alichofanyiwa na majina zake zimeanikwa na tabia !
Unaona jinsi Secret service walivyofanya kazi yao.

Unajuja let mfano na upuuzi wa Tanzania wq Wasiojulikana ambao ni hao wanatumwa.

Watu wanatekwa na kupotezwa.

Kumbafu yako!!
 
Ulivyo jibu utazani ulikuwa peke yako unaongea mwenyewe chumbani
Siasa sio shughuli nyepesi kwa waendesha nchi kila siku (civil servants),

Huyu investment bank hataki kupangiwa risk assessment (ikiiingia serikali moja iseme hivi, serikali nyingine iseme vile) bank zenyewe ikipoteza amana za CD wateja serikali inalipa.

Wakati huo huo bank and other financial. Institution zinamsimamo wake ukiingilia risk aversion zao za kulinda wateja ugomvi na wata lobby.

Serikali nayo ina mikakati yake ya kisera ambayo sio yote wapinzani wanakubali. Kuna kupi gangs kwa hoja (huko kwa wenzetu) muhimu ni middle class families.

Halafu kuna maswala ya national security/priority/rectification kutokana na upuuzi wa awali. Wakati watu wanapambana na vita yenyewe inataka propaganda unakutana na poyoyo kama Lissu lenyewe linatumia nguvu kukatisha jitihada za serikali (mind you Lissu, hajui contract law) ni wapuuzi wenzake tu humu ndio wanadhani alikuwa akiongea vitu vya maana. Uhalisia alikuwa anatumia nguvu tu kwa title ya mwanasheria kuwa against maamuzi ya serikari (kilichomkuta alikuwa anakitafuta huo ndio uhalisia(.

Hata ukiingilia national security issues za nchi zilizoendelea ‘bad things happen’ that’s the norm.

Halafu kunachangamoto ya ku-deal na watu kama nyie kwenye hili jukwaa; kukuelezea psychologically kiwango cha upuuzi wako kutokana na hiyo post is beyond me.

Sijaandika kwa kirefu hivyo kukujibu wewe, umenipa tu fursa ya kuongelea point zangu kwa kadamnasi. Otherwise shallow people like you daah I can’t say.

Like seriously sipendi ujinga na watu wajinga; only those who know me can tell you that.

Believe and I am not abash about that, yaani watu wajinga wajinga wananikera (I need a tolerance psychological help).
 
Siasa sio shughuli nyepesi kwa waendesha nchi kila siku (civil servants),

Huyu investment bank hataki kupangiwa risk assessment (ikiiingia serikali moja iseme hivi, serikali nyingine iseme vile) bank zenyewe ikipoteza amana za CD wateja serikali inalipa.

Wakati huo huo bank and other financial. Institution zinamsimamo wake ukiingilia risk aversion zao za kulinda wateja ugomvi na wata lobby.

Serikali nayo ina mikakati yake ya kisera ambayo sio yote wapinzani wanakubali. Kuna kupi gangs kwa hoja (huko kwa wenzetu) muhimu ni middle class families.

Halafu kuna maswala ya national security/priority/rectification kutokana na upuuzi wa awali. Wakati watu wanapambana na vita yenyewe inataka propaganda unakutana na poyoyo kama Lissu lenyewe linatumia nguvu kukatisha jitihada za serikali (mind you Lissu, hajui contract law) ni wapuuzi wenzake tu humu ndio wanadhani alikuwa akiongea vitu vya maana. Uhalisia alikuwa anatumia nguvu tu kwa title ya mwanasheria kuwa against maamuzi ya serikari (kilichomkuta alikuwa anakitafuta huo ndio uhalisia(.

Hata ukiingilia national security issues za nchi zilizoendelea ‘bad things happen’ that’s the norm.

Halafu kunachangamoto ya ku-deal na watu kama nyie kwenye hili jukwaa; kukuelezea psychologically kiwango cha upuuzi wako kutokana na hiyo post is beyond me.

Sijaandika kwa kirefu hivyo kukujibu wewe, umenipa tu fursa ya kuongelea point zangu kwa kadamnasi. Otherwise shallow people like you daah I can’t say.

Like seriously sipendi ujinga na watu wajinga; only those who know me can tell you that.
Naona mpaka sasa wewe ni chizi na kada mtiifu wa ccm.
Kwa hiyo unaona nchi yako inafanya vizuri kabisa na kila siku tukifikia pabaya
 
Lisu kupona kwake wahafidhina mnaumia sana hadi leo hamuwezi shindana na Mungu na msiishie kulinganisha kwenye complete make na footage basi tuone alivyoshambuliwa na hizo blackons na vyombo vya ulinzi pia vieleze kinagaubaga kilijiri nini siku ya tukio kwenye eneo lenye ulinzi mkali makazi ya viongo kama FBI walivyofanya
Wewe ni mnafiki na mbumbumbu.
 
Tundu Lisu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani serikali akamlaani Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons

lkn Trump kashambuliwa hajailaumu serikali wala hajamlaumu Biden hili ni fundisho kwa Lisu na wanasiasa uchwara wengine
Wewe kweli una shida. Mshambuliaji wa Trump kauawa on the spot ila mshambuliaji wa Lissu analindwa mpaka Leo. Pia suala la Trump FBI wamelitolea taarifa mapema kwamba mshambuliaji alifanya hivyo pekee yake hakuagizwa na mtu.
 
Naona mpaka sasa wewe ni chizi na kada mtiifu wa ccm.
Kwa hiyo unaona nchi yako inafanya vizuri kabisa na kila siku tukifikia pabaya
Kwa sasa hata wewe mwenyewe hujui una hoja gani ambayo unatakiwa kujibiwa.

Sina muda wa kuijadili CCM ni hovyo, anaetamba kwa sababu hana mbadala.

Hoja hapa ni assassination attempts kwa mujibu wa mtazamo wa usalama wa taifa and deducting what might influence their motives to act (not necessarily is whet transpired but just hypothetical scenarios).

Where I stand inabidi uanzie post yangu ambayo ni number kwenye hii mada. The summarise Lissu alitoa kila sababu ya kushambuliwa not necessary serikali ilihusika.
 
Tundu Lisu ashadharaulika, watu walipiga kelele na kumlilia sana alipopigwa risasi, ila yeye SATIVA alipotekwa, hajasikika, wakati wote wameundergo the same experience. katelekeza kabisa victim wenzie, amesahau kuwa hata sativa inawezekana alilia kwasababu yake siku ile dom.
Wewe kweli mjinga. Lissu ndio amekuwa IGP? Yani Lissu mwenyewe mhanga ndio asaidie wengine waliopotezwa ila IGP akae ofisini anakula mshahara wa Bure?. Kweli wabongo tuna shida kichwani.
 
Tundu Lisu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani serikali akamlaani Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons

lkn Trump kashambuliwa hajailaumu serikali wala hajamlaumu Biden hili ni fundisho kwa Lisu na wanasiasa uchwara wengine
Who told you..
...
 
Tundu Lisu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani serikali akamlaani Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons

lkn Trump kashambuliwa hajailaumu serikali wala hajamlaumu Biden hili ni fundisho kwa Lisu na wanasiasa uchwara wengine
wewe ni bonge la maku. Ya kwamba mazingira ya kushambuliwa Trump ni sawa na Lissu, kwamba CCTV za mji zimengolewa masa machache kabla ya Trump kushamuliwa ?! Kwamba walinzi wote wameondolewa kabla ya Trump kushambuliwa ?! Kwamba Biden aliahidi kuwashugulikia "wasaliti" kama alivyoahidi bwana wako JPM., etc

nirudie kusema WEWE NI BONGE LA MAKU
 
Tundu Lisu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani serikali akamlaani Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons

lkn Trump kashambuliwa hajailaumu serikali wala hajamlaumu Biden hili ni fundisho kwa Lisu na wanasiasa uchwara wengine
MOJA YA WATU WAPUMBAV NA TAKATAKA KUWAHI KUTOKEA KATIKA NCHI HII BASI WEWE NI MMOJAWAPO. INASIKITISHA SANA KUONA MTU KAMA WEWE UNAANDIKA VITU VYA KIPUUZI KAMA HIVI KWA AJILI YA KUHONGWA PILAU KWENYE SAHANI, HII NCHI TUNA WAJINGA NA WAPUMBAVU WENGI SANA AMBAO BONGO ZAO BADO ZINA LOCK, UKIWEMO NA WEWE MPUMBAV.
 
Tundu Lisu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani serikali akamlaani Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons

lkn Trump kashambuliwa hajailaumu serikali wala hajamlaumu Biden hili ni fundisho kwa Lisu na wanasiasa uchwara wengine
LGBTQ at work
 
Siasa sio shughuli nyepesi kwa waendesha nchi kila siku (civil servants),

Huyu investment bank hataki kupangiwa risk assessment (ikiiingia serikali moja iseme hivi, serikali nyingine iseme vile) bank zenyewe ikipoteza amana za CD wateja serikali inalipa.

Wakati huo huo bank and other financial. Institution zinamsimamo wake ukiingilia risk aversion zao za kulinda wateja ugomvi na wata lobby.

Serikali nayo ina mikakati yake ya kisera ambayo sio yote wapinzani wanakubali. Kuna kupi gangs kwa hoja (huko kwa wenzetu) muhimu ni middle class families.

Halafu kuna maswala ya national security/priority/rectification kutokana na upuuzi wa awali. Wakati watu wanapambana na vita yenyewe inataka propaganda unakutana na poyoyo kama Lissu lenyewe linatumia nguvu kukatisha jitihada za serikali (mind you Lissu, hajui contract law) ni wapuuzi wenzake tu humu ndio wanadhani alikuwa akiongea vitu vya maana. Uhalisia alikuwa anatumia nguvu tu kwa title ya mwanasheria kuwa against maamuzi ya serikari (kilichomkuta alikuwa anakitafuta huo ndio uhalisia(.

Hata ukiingilia national security issues za nchi zilizoendelea ‘bad things happen’ that’s the norm.

Halafu kunachangamoto ya ku-deal na watu kama nyie kwenye hili jukwaa; kukuelezea psychologically kiwango cha upuuzi wako kutokana na hiyo post is beyond me.

Sijaandika kwa kirefu hivyo kukujibu wewe, umenipa tu fursa ya kuongelea point zangu kwa kadamnasi. Otherwise shallow people like you daah I can’t say.

Like seriously sipendi ujinga na watu wajinga; only those who know me can tell you that.

Believe and I am not abash about that, yaani watu wajinga wajinga wananikera (I need a tolerance psychological help).
Wewe tangu siku ile ushindwe kutofautisha AU chairperson na AU Commission Chairperson. Nilikuona mjinga anayejifanya kujua mambo kumbe hujui kitu.

Unamtukana Lissu kisa alishindwa kifo?. Yani kosa la Lissu ni kwamba hakufa?. Wewe kweli kubwa jinga na Wala hautawahi kuwa na akili.
 
Tundu Lisu ashadharaulika, watu walipiga kelele na kumlilia sana alipopigwa risasi, ila yeye SATIVA alipotekwa, hajasikika, wakati wote wameundergo the same experience. katelekeza kabisa victim wenzie, amesahau kuwa hata sativa inawezekana alilia kwasababu yake siku ile dom.
ASIPIGE KELELE IGP NA VIONGOZI WENGINE WA USALAMA UNATAKA KELELE APIGE TUNDU LISU? HIVI VICHWA VYENU VIMEWEKWA VITU GANI NINYI WAPUMBAV.
 
Back
Top Bottom