Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Ebu jifunze kuandika kwanzahili shambulio la Trump linamuumbua Tundu Lisu mwenye siasa za kitapeli aliyehongwa na Accacia kuwaxkibaraka na aliposhindwa kazi wakamlamba blancons
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu jifunze kuandika kwanzahili shambulio la Trump linamuumbua Tundu Lisu mwenye siasa za kitapeli aliyehongwa na Accacia kuwaxkibaraka na aliposhindwa kazi wakamlamba blancons
Waambie ukweli Hawa mapimbi hawaelewi kitu chochote kabisa! Shwaini!Lisu kupona kwake wahafidhina mnaumia sana hadi leo hamuwezi shindana na Mungu na msiishie kulinganisha kwenye complete make na footage basi tuone alivyoshambuliwa na hizo blackons na vyombo vya ulinzi pia vieleze kinagaubaga kilijiri nini siku ya tukio kwenye eneo lenye ulinzi mkali makazi ya viongo kama FBI walivyofanya
Trump ndio anatakiwa ajifunze kwa Lissu, maana Lissu ana uzoefu kuliko TrumpTundu Lissu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani Sserikali akamlaani Hayati Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons
lkn Trump kashambuliwa hajailaumu Serikali wala hajamlaumu Biden. Hili ni fundisho kwa Lissu na wanasiasa uchwara wengine.
Pia soma
Hahitaji kumnyooshea tena kidole kwani alisha mwambia sana,matokeo ya zile kesi mchongo ni matokeo ya utawala dhaifu wa Biden,kumfanya mhanda wa msako wa uchawi(witch hunt)Tundu Lissu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani Sserikali akamlaani Hayati Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons
lkn Trump kashambuliwa hajailaumu Serikali wala hajamlaumu Biden. Hili ni fundisho kwa Lissu na wanasiasa uchwara wengine.
Pia soma
Eti Sativa, kuna watu hamna akili kabisa.Tundu Lisu ashadharaulika, watu walipiga kelele na kumlilia sana alipopigwa risasi, ila yeye SATIVA alipotekwa, hajasikika, wakati wote wameundergo the same experience. katelekeza kabisa victim wenzie, amesahau kuwa hata sativa inawezekana alilia kwasababu yake siku ile dom.
Tofautisha siasa ya Marekani na Tanzania na Africa kwa ujumla.Tundu Lissu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani Sserikali akamlaani Hayati Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons
lkn Trump kashambuliwa hajailaumu Serikali wala hajamlaumu Biden. Hili ni fundisho kwa Lissu na wanasiasa uchwara wengine.
Pia soma
vya Lissu havina uhusiano na Trump. Ni kama mbingu na ardhi
Kiongozi acha hoja za kitotoAliingilia usalama gani? Vipi wale walioruhusu makinikia yauzwe hadi nchi kuingia hasara ya matrilioni mbona hawakupigwa risasi? Vipi mnaodai waliuza bandari hawakuhatarisha usalama kwa wananchi kutoa bandari kwa mgeni? Mbona hawapigwi risasi?
Usilinganishe maumivu ya watu. Mdogo wangu alipata shida ya jino, akaenda hospitali, akaomba ang'olewe jino bila ya kutiwa dawa ya ganzi. Huwezi kusema mtu akiumwa jino ajifunze kutoka kwa huyu mdogo wangu. Kila mtu anapokea maumivu yake 'differently' na pia Kila mtu ana njia zake za ku'cope' na situation alitopitia. This is what I can say.Tundu Lissu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani Sserikali akamlaani Hayati Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons
lkn Trump kashambuliwa hajailaumu Serikali wala hajamlaumu Biden. Hili ni fundisho kwa Lissu na wanasiasa uchwara wengine.
Pia soma
Hivi serekali ya Biden ime handle vipi tukio lile?. ......Tundu Lissu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani Sserikali akamlaani Hayati Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons
lkn Trump kashambuliwa hajailaumu Serikali wala hajamlaumu Biden. Hili ni fundisho kwa Lissu na wanasiasa uchwara wengine.
Pia soma
Tundu Lissu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani Sserikali akamlaani Hayati Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons
lkn Trump kashambuliwa hajailaumu Serikali wala hajamlaumu Biden. Hili ni fundisho kwa Lissu na wanasiasa uchwara wengine.
Pia soma
Sasa kama ni waru wake wa karibu waliomshambulia kwanini serikali ilikataa katakata ufanyike uchunguzi huru?Tundu Lissu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani Sserikali akamlaani Hayati Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons
lkn Trump kashambuliwa hajailaumu Serikali wala hajamlaumu Biden. Hili ni fundisho kwa Lissu na wanasiasa uchwara wengine.
Pia soma
Haya mlilipwa bei gani kwa hayo makinikia mliyokua mkisema mmeibiwa?Haiingii akilini wezi kushughulika na wezi wengine never ever on earth!!! Tawala ndio mnaongoza nchi na rasilimali zipo chini yenu hivyo wizi wowote unaofanyika nyie ni sehemu ya huo uchafu absolutely kwakua ndik mna dhamana za kila kitu kuanzia ulinzi na utawala, haya kesi ngapi mmeshashitakiwa nakushindwa kwakutumia ubabe? Lissu alitakiwa asikilizwe na ushauri wake ufanyiwe kazi leo ukiulizwa manufaa ya zile professorial rubbish kwa Taifa unaweza kutueleza ni yapi na nchi imenufaika vipi? Acheni kuona watu wapuuzi people are now tired of your nonsense 😴Kiongozi acha hoja za kitoto
Republic of Tanzania sio sawa na South Africa kupata uhuru baada ya Apartheid ilikuwa tuunde mahakama za kila mtu kuelezea Mąkosa yake na kusamehana.
Kiongozi free democractic nation ukichukua uongozi unakutana (going concerns) za warithi wako.
Bila ya kuelezea upuuzi wote aliorithi Magufuli na kujaribu kubadili (halafu anatokea) mtu katikati ya vita m wenzenu analeta hadithi za nchi itashitakiwa whatsoever with his persistent nonsense.
Hadi uelewe tatizo kwanza inabidi ujue Lissu hajui contract law kabisa (huo ndio uhalisia) anakuja na hadithi zake za MIGA and nonsense (upuuzi ambao wafuasi mpaka leo wanadhani ni hoja) anaonywa acha huo upuuzi hataki, yeye kajikita kupotosha na kuna wapumbavu mpaka leo wanaamini alikuwa ana hoja watu ambao hawana abc za contract laws.
Ni hivi Lissu alikuwa mchokozi kwa vyombo vya usalama wakati Magufuli anapambania kubadili, ufanisi wa mbinu zake ni swala lingine. Lakini nchi aikuhitaji mpotoshaji kipindi kile.
For that nitasema na nitarudia kusema japo siafiki shambulizi lake allikadhalika tabia zake zilikuwa azivumiliki.
Deductively Lissu wa sasa ni usalama wa hovyo tu ambao hawawezi muona he is compromised.
Ndio maana wengine tunaona bora tuyarukane MaCCM tułałe tuamke (zimwi uljjualo).
Naam, ulinganifu wa matukio hayo mleta mada atakuwa fair kama ahusisha reactions za serekali na taasisi zake baada ya matukio hayo.Ulinganishe maumivu ya watu. Mdogo wangu alipata shida ya jino, akaenda hospitali, akaomba ang'olewe jino bila ya kutiwa dawa ya ganzi. Huwezi kusema mtu akiumwa jino ajifunze kutoka kwa huyu mdogo wangu. Kila mtu anapokea maumivu yake 'differently' na pia Kila mtu ana njia zake za ku'cope' na situation alitopitia. This is what I can say.
Na hatutofikia kamwe, jitu linalingalisha America na nchi yake mkuu wa nchi ni kama Mungu, mpaka Leo aliyemshambulia Tundu Lissu hajulikani tena alishambuliwa kwenye makaazi ya viongozi na wakazima na kung'oa camera zote, So sad...unajibishana nalo jitu kama hilo unapoteza muda mkuuLissu haumbuki kwa lolote, siasa za america na tz wapi na wapi? Ni mbingu na ardhi achen kujifananisha na mataifa yaliyo juu wkt levels hizo hamjafika
Hapo I meant "usilinganishe matukio ya watu" - nikiwa na maana kwamba kila mtu anapokea mambo aliyopitia au anayopitia kwa namna yake tofauti na mwingine.Naam, ulinganifu wa matukio hayo mleta mada atakuwa fair kama ahusisha reactions za serekali na taasisi zake baada ya matukio hayo.
Hilo ndio la msingiSisi tunashukuru kuwa Magufuli aliyeamuru Lissu auwawe yeye ndiye alikufa kibudu na Lissu yu hai.