Haya mlilipwa bei gani kwa hayo makinikia mliyokua mkisema mmeibiwa?Haiingii akilini wezi kushughulika na wezi wengine never ever on earth!!! Tawala ndio mnaongoza nchi na rasilimali zipo chini yenu hivyo wizi wowote unaofanyika nyie ni sehemu ya huo uchafu absolutely kwakua ndik mna dhamana za kila kitu kuanzia ulinzi na utawala, haya kesi ngapi mmeshashitakiwa nakushindwa kwakutumia ubabe? Lissu alitakiwa asikilizwe na ushauri wake ufanyiwe kazi leo ukiulizwa manufaa ya zile professorial rubbish kwa Taifa unaweza kutueleza ni yapi na nchi imenufaika vipi? Acheni kuona watu wapuuzi people are now tired of your nonsense 😴