Uchaguzi 2020 Lissu akifika Kigoma amuunge mkono Zitto na ACT-Wazalendo

Uchaguzi 2020 Lissu akifika Kigoma amuunge mkono Zitto na ACT-Wazalendo

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,506
Reaction score
16,003
Ndugu zangu,

Kama haikuwa unafiki Zanzibar pale Tundu Lissu alipoamua kukitosa chama chake na mgombea urais wao na kumuunga mkono Maalim Seif, basi aendelee atakapokuwa Kigoma kwa kumnadi Zitto na ACT-Wazalendo.

Sababu na nia ni ileile Chadema ioneshe kwa vitendo kuwa sehemu ambazo kuna mgombea imara wa upinzani wao wamuunge mkono.

Muda umefika wa mbivu ama mbichi.
 
Lisu hana hekima hiyo anachowaza ni kuropoka tu
 
Tulieni CCM dawa ziwaingie. Jana si mlipeleka wasanii ili mjaze. Sasa subirini leo shujaa wa Mungu awaonyeshe jinsi gani upendo wa wananchi kwake ulivyo
Wanaendav kuona sarakasi zake na kusikia mapovu, maana siku hizi ameanza style ya kujidondosha ili watu waongezeke kuona anaombaje Samahani.
 
Kwa Chadema ina ubavu Zenji au ulikuwa ni unafiki?
hakuna kuunga mtu hapa, ulishasikia zitto aunga mkono mgombea yoyote wa cdm tangu kampeni zianze? lissu alifungua milango kule zenj, akina zto wakaunyuti, kila mtu abebe wake
 
20200919_084926.jpg
 
Back
Top Bottom