Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuangaika na kujipendeza kwa Mhe, LISSU utapasuka msamba bure, sio saizi yako hata kidogo.
Saizi yako ni Magufuli msaidie kupokea ndugu zake WAHUTU.
Halafu sijui kwanini ZZK aliamua kuuchuna kimya,kuna wakati huwa nadhani Huenda ZZK ni wakala wa CCM
Zitto amuunge mkono mgombea wake. Kila chama kile urefu wa kamba yake.Ndugu zangu,
Kama haikuwa unafiki Zanzibar pale Tundu Lissu alipoamua kukitosa chama chake na mgombea urais wao na kumuunga mkono Maalim Seif, basi aendelee atakapokuwa Kigoma kwa kumnadi Zitto na ACT-Wazalendo.
Sababu na nia ni ileile Chadema ioneshe kwa vitendo kuwa sehemu ambazo kuna mgombea imara wa upinzani wao wamuunge mkono.
Muda umefika wa mbivu ama mbichi.
Umeridhika?
Umeridhika?