Uchaguzi 2020 Lissu akifika Kigoma amuunge mkono Zitto na ACT-Wazalendo

Uchaguzi 2020 Lissu akifika Kigoma amuunge mkono Zitto na ACT-Wazalendo

Ndugu zangu,

Kama haikuwa unafiki Zanzibar pale Tundu Lissu alipoamua kukitosa chama chake na mgombea urais wao na kumuunga mkono Maalim Seif, basi aendelee atakapokuwa Kigoma kwa kumnadi Zitto na ACT-Wazalendo.

Sababu na nia ni ileile Chadema ioneshe kwa vitendo kuwa sehemu ambazo kuna mgombea imara wa upinzani wao wamuunge mkono.

Muda umefika wa mbivu ama mbichi.
Think big
 
Chadema ioneshe kwa vitendo kuwa sehemu ambazo kuna mgombea imara wa upinzani wao wamuunge mkono.
Wakudadavua hatimae hata ccm yako imeufyata kwa Zitto. Imetambua kuwa ni mgombea imara.

Sasa kuhusu Lisu kumuunga mkono Zitto naona kama hukuufumbata vizuri mkuyati wa mumeo usiku huu. Lisu anagombea urais wakati Zitto anagombea ubunge. Kigoma siyo nchi kama ilivyo Zanzibar.
 
Ndugu zangu,

Kama haikuwa unafiki Zanzibar pale Tundu Lissu alipoamua kukitosa chama chake na mgombea urais wao na kumuunga mkono Maalim Seif, basi aendelee atakapokuwa Kigoma kwa kumnadi Zitto na ACT-Wazalendo.

Sababu na nia ni ileile Chadema ioneshe kwa vitendo kuwa sehemu ambazo kuna mgombea imara wa upinzani wao wamuunge mkono.

Muda umefika wa mbivu ama mbichi.
Umesahau kuwakumbushia ACT pia kuwa nao wamechelewa tena saana kumuunga mkono Lissu nafasi ya Urais na kuwaachia majimbo ya ubunge CHADEMA ambayo wana nguvu kuliko ACT kama Ubungo n.k. Wanasiasa bwana utakuja kusikia matokeo ya Ubunge eti:
CCM - 35,678,
Chadema - 34,675
,
ACT - 3,456

H
apo ndipo utasikia eti kufanya kosa sio kosa...Mburaaaa.😵
 
Usitupangie ww, kwani kumuunga mkono Sharif ulitupangha ww..
Kule Zanzibar huko bara..
Shika adibu yako
 
Ndugu zangu,

Kama haikuwa unafiki Zanzibar pale Tundu Lissu alipoamua kukitosa chama chake na mgombea urais wao na kumuunga mkono Maalim Seif, basi aendelee atakapokuwa Kigoma kwa kumnadi Zitto na ACT-Wazalendo.

Sababu na nia ni ileile Chadema ioneshe kwa vitendo kuwa sehemu ambazo kuna mgombea imara wa upinzani wao wamuunge mkono.

Muda umefika wa mbivu ama mbichi.
Tulia mrembo, mbona una panic?

 
Umesahau kuwakumbushia ACT pia kuwa nao wamechelewa tena saana kumuunga mkono Lissu nafasi ya Urais na kuwaachia majimbo ya ubunge CHADEMA ambayo wana nguvu kuliko ACT kama Ubungo n.k. Wanasiasa bwana utakuja kusikia matokeo ya Ubunge eti:
CCM - 35,678,
Chadema - 34,675
,
ACT - 3,456

H
apo ndipo utasikia eti kufanya kosa sio kosa...Mburaaaa.😵
Lengo la ACT litakuwa limetimia
 
Hoja ni kwa Tundu kamanda
Umesahau kuwakumbushia ACT pia kuwa nao wamechelewa tena saana kumuunga mkono Lissu nafasi ya Urais na kuwaachia majimbo ya ubunge CHADEMA ambayo wana nguvu kuliko ACT kama Ubungo n.k. Wanasiasa bwana utakuja kusikia matokeo ya Ubunge eti:
CCM - 35,678,
Chadema - 34,675
,
ACT - 3,456

H
apo ndipo utasikia eti kufanya kosa sio kosa...Mburaaaa.😵
 
Back
Top Bottom