Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Hivi huyo Zitto afanyeje ninyi mamangiiiiiZitto mjanja sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huyo Zitto afanyeje ninyi mamangiiiiiZitto mjanja sana.
Think bigNdugu zangu,
Kama haikuwa unafiki Zanzibar pale Tundu Lissu alipoamua kukitosa chama chake na mgombea urais wao na kumuunga mkono Maalim Seif, basi aendelee atakapokuwa Kigoma kwa kumnadi Zitto na ACT-Wazalendo.
Sababu na nia ni ileile Chadema ioneshe kwa vitendo kuwa sehemu ambazo kuna mgombea imara wa upinzani wao wamuunge mkono.
Muda umefika wa mbivu ama mbichi.
Wakudadavua hatimae hata ccm yako imeufyata kwa Zitto. Imetambua kuwa ni mgombea imara.Chadema ioneshe kwa vitendo kuwa sehemu ambazo kuna mgombea imara wa upinzani wao wamuunge mkono.
Haya tumekusikia , mwambie na magufuri akifika vunjo amnadi mzee wa kiraracha na asimnadi Dr kimei
KafuliePovu
Kafulie
Umesahau kuwakumbushia ACT pia kuwa nao wamechelewa tena saana kumuunga mkono Lissu nafasi ya Urais na kuwaachia majimbo ya ubunge CHADEMA ambayo wana nguvu kuliko ACT kama Ubungo n.k. Wanasiasa bwana utakuja kusikia matokeo ya Ubunge eti:Ndugu zangu,
Kama haikuwa unafiki Zanzibar pale Tundu Lissu alipoamua kukitosa chama chake na mgombea urais wao na kumuunga mkono Maalim Seif, basi aendelee atakapokuwa Kigoma kwa kumnadi Zitto na ACT-Wazalendo.
Sababu na nia ni ileile Chadema ioneshe kwa vitendo kuwa sehemu ambazo kuna mgombea imara wa upinzani wao wamuunge mkono.
Muda umefika wa mbivu ama mbichi.
Tulia mrembo, mbona una panic?Ndugu zangu,
Kama haikuwa unafiki Zanzibar pale Tundu Lissu alipoamua kukitosa chama chake na mgombea urais wao na kumuunga mkono Maalim Seif, basi aendelee atakapokuwa Kigoma kwa kumnadi Zitto na ACT-Wazalendo.
Sababu na nia ni ileile Chadema ioneshe kwa vitendo kuwa sehemu ambazo kuna mgombea imara wa upinzani wao wamuunge mkono.
Muda umefika wa mbivu ama mbichi.
Subiri Mtwara kama hujasikia Magufuli kumuunga mkono Lissu ili tuu ashangiliwe!Tundu akatangaze kumuunga mkono Zitto
Lengo la ACT litakuwa limetimiaUmesahau kuwakumbushia ACT pia kuwa nao wamechelewa tena saana kumuunga mkono Lissu nafasi ya Urais na kuwaachia majimbo ya ubunge CHADEMA ambayo wana nguvu kuliko ACT kama Ubungo n.k. Wanasiasa bwana utakuja kusikia matokeo ya Ubunge eti:
CCM - 35,678,
Chadema - 34,675,
ACT - 3,456
Hapo ndipo utasikia eti kufanya kosa sio kosa...Mburaaaa.😵
Kama nayo ni matumizi yake basi sawaDuh kunywa chai kamanda
Umesahau kuwakumbushia ACT pia kuwa nao wamechelewa tena saana kumuunga mkono Lissu nafasi ya Urais na kuwaachia majimbo ya ubunge CHADEMA ambayo wana nguvu kuliko ACT kama Ubungo n.k. Wanasiasa bwana utakuja kusikia matokeo ya Ubunge eti:
CCM - 35,678,
Chadema - 34,675,
ACT - 3,456
Hapo ndipo utasikia eti kufanya kosa sio kosa...Mburaaaa.😵
Usitupangie ww, kwani kumuunga mkono Sharif ulitupangha ww..
Kule Zanzibar huko bara..
Shika adibu yako
Subiri Mtwara kama hujasikia Magufuli kumuunga mkono Lissu ili tuu ashangiliwe!