Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Wanaendav kuona sarakasi zake na kusikia mapovu, maana siku hizi ameanza style ya kujidondosha ili watu waongezeke kuona anaombaje Samahani.Tulieni CCM dawa ziwaingie. Jana si mlipeleka wasanii ili mjaze. Sasa subirini leo shujaa wa Mungu awaonyeshe jinsi gani upendo wa wananchi kwake ulivyo
hapa mataga tayari umeshapanic 🤣Lisu hana hekima hiyo anachowaza ni kuropoka tu
Tulieni CCM dawa ziwaingie. Jana si mlipeleka wasanii ili mjaze. Sasa subirini leo shujaa wa Mungu awaonyeshe jinsi gani upendo wa wananchi kwake ulivyo
Humphrey polepolemgombea urais zanzibar kwa tiketi ya chadema ni nani?
hakuna kuunga mtu hapa, ulishasikia zitto aunga mkono mgombea yoyote wa cdm tangu kampeni zianze? lissu alifungua milango kule zenj, akina zto wakaunyuti, kila mtu abebe wake
Zitto mjanja sana.
Halafu sijui kwanini ZZK aliamua kuuchuna kimya,kuna wakati huwa nadhani Huenda ZZK ni wakala wa CCMhakuna kuunga mtu hapa, ulishasikia zitto aunga mkono mgombea yoyote wa cdm tangu kampeni zianze? lissu alifungua milango kule zenj, akina zto wakaunyuti, kila mtu abebe wake
HahahahhaahahhaahahahhhaahHayakuhusu kaa kimya kabisa...kati ya Lissu na wewe mnafiki ni nani hapa!?Paambafu kabisa[emoji35][emoji34][emoji35][emoji34]
Joto la lissu linawahenyesha sanaHalafu sijui kwanini ZZK aliamua kuuchuna kimya,kuna wakati huwa nadhani Huenda ZZK ni wakala wa CCM
Hayakuhusu kaa kimya kabisa...kati ya Lissu na wewe mnafiki ni nani hapa!?Paambafu kabisa[emoji35][emoji34][emoji35][emoji34]