Huu ndio ukweli mchungu ambao team makengeza hawataki kuusikia!!.Tukizungumza uhalisia kwa sasa lissu ndo uhai wa chadema/kifo chake. Hatma ya chadema ipo mikononi mwa lissu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndio ukweli mchungu ambao team makengeza hawataki kuusikia!!.Tukizungumza uhalisia kwa sasa lissu ndo uhai wa chadema/kifo chake. Hatma ya chadema ipo mikononi mwa lissu.
Gari imewakia kwenye giaKuna mashabiki na wanachama wamekuwa wakitishia kwamba endapo Lissu hatokuwa mwenyekiti wa Chadema basi wataondoka nae kwenye chama.
Wanapiga mikwala hiyo ili kushinikiza Mbowe amuachie kiti Lissu au wajumbe waingie hofu kwamba kumchagua jemedari wao the one and only Mbowe itasababisha chama kupasuka na kufa.
Ni hivi hakuna mtu yoyote wa Chadema anaweza kuondoka sababu ya Lissu. Lissu zaidi ya kuropoka hana ushawishi wowote wa maana na kwa taarifa tu wanachadema wanakipenda mno chama chao zaidi ya Lissu. Wapo tayari kurekebisha kasoro zinazowakwaza wakiwa ndani chadema ila sio kutoka.
Kwanza wakitoka wanaenda wapi? ACT ? NCCR? CUF? Hawana pakwenda. Kupata chama ghafla ghafla wakiamini na kukipenda kama chama chao chadema sio kazi rahisi. Kwa hiyo wapo sana na wanajiandaa kuongozwa na Mbowe iwe wanataka au hawataki.
Tuendeleee kusubiri kishindo cha Mbowe, bado ananoa bisu lake.
Heri ya mwaka mpya!
Ngoja nikuambie wewe mke wa diamond....achilia mbali Lissu kuondoka..so far kwa haya yanayoendelea hiki chama cha wachaga salama yao ni Lissu kuwa mwenyekiti..kinyume chake Freeman hapati hata diwani mmoja..hiyo ni bila hata figisu..Kuna mashabiki na wanachama wamekuwa wakitishia kwamba endapo Lissu hatokuwa mwenyekiti wa Chadema basi wataondoka nae kwenye chama.
Wanapiga mikwala hiyo ili kushinikiza Mbowe amuachie kiti Lissu au wajumbe waingie hofu kwamba kumchagua jemedari wao the one and only Mbowe itasababisha chama kupasuka na kufa.
Ni hivi hakuna mtu yoyote wa Chadema anaweza kuondoka sababu ya Lissu. Lissu zaidi ya kuropoka hana ushawishi wowote wa maana na kwa taarifa tu wanachadema wanakipenda mno chama chao zaidi ya Lissu. Wapo tayari kurekebisha kasoro zinazowakwaza wakiwa ndani chadema ila sio kutoka.
Kwanza wakitoka wanaenda wapi? ACT ? NCCR? CUF? Hawana pakwenda. Kupata chama ghafla ghafla wakiamini na kukipenda kama chama chao chadema sio kazi rahisi. Kwa hiyo wapo sana na wanajiandaa kuongozwa na Mbowe iwe wanataka au hawataki.
Tuendeleee kusubiri kishindo cha Mbowe, bado ananoa bisu lake.
Heri ya mwaka mpya!
Kuna mashabiki na wanachama wamekuwa wakitishia kwamba endapo Lissu hatokuwa mwenyekiti wa Chadema basi wataondoka nae kwenye chama.
Wanapiga mikwala hiyo ili kushinikiza Mbowe amuachie kiti Lissu au wajumbe waingie hofu kwamba kumchagua jemedari wao the one and only Mbowe itasababisha chama kupasuka na kufa.
Ni hivi hakuna mtu yoyote wa Chadema anaweza kuondoka sababu ya Lissu. Lissu zaidi ya kuropoka hana ushawishi wowote wa maana na kwa taarifa tu wanachadema wanakipenda mno chama chao zaidi ya Lissu. Wapo tayari kurekebisha kasoro zinazowakwaza wakiwa ndani chadema ila sio kutoka.
Kwanza wakitoka wanaenda wapi? ACT ? NCCR? CUF? Hawana pakwenda. Kupata chama ghafla ghafla wakiamini na kukipenda kama chama chao chadema sio kazi rahisi. Kwa hiyo wapo sana na wanajiandaa kuongozwa na Mbowe iwe wanataka au hawataki.
Tuendeleee kusubiri kishindo cha Mbowe, bado ananoa bisu lake
Lissu ni machine ya kazi ndani ya CHADEMA. Endeleeni kudhani Mbowe anakiimarisha chama kumbe anakisambaratisha. Nasimama na Tundu Lissu.Kuna mashabiki na wanachama wamekuwa wakitishia kwamba endapo Lissu hatokuwa mwenyekiti wa Chadema basi wataondoka nae kwenye chama.
Wanapiga mikwala hiyo ili kushinikiza Mbowe amuachie kiti Lissu au wajumbe waingie hofu kwamba kumchagua jemedari wao the one and only Mbowe itasababisha chama kupasuka na kufa.
Ni hivi hakuna mtu yoyote wa Chadema anaweza kuondoka sababu ya Lissu. Lissu zaidi ya kuropoka hana ushawishi wowote wa maana na kwa taarifa tu wanachadema wanakipenda mno chama chao zaidi ya Lissu. Wapo tayari kurekebisha kasoro zinazowakwaza wakiwa ndani chadema ila sio kutoka.
Kwanza wakitoka wanaenda wapi? ACT ? NCCR? CUF? Hawana pakwenda. Kupata chama ghafla ghafla wakiamini na kukipenda kama chama chao chadema sio kazi rahisi. Kwa hiyo wapo sana na wanajiandaa kuongozwa na Mbowe iwe wanataka au hawataki.
Tuendeleee kusubiri kishindo cha Mbowe, bado ananoa bisu lake.
Heri ya mwaka mpya!
Kuna mashabiki na wanachama wamekuwa wakitishia kwamba endapo Lissu hatokuwa mwenyekiti wa Chadema basi wataondoka nae kwenye chama.
Wanapiga mikwala hiyo ili kushinikiza Mbowe amuachie kiti Lissu au wajumbe waingie hofu kwamba kumchagua jemedari wao the one and only Mbowe itasababisha chama kupasuka na kufa.
Ni hivi hakuna mtu yoyote wa Chadema anaweza kuondoka sababu ya Lissu. Lissu zaidi ya kuropoka hana ushawishi wowote wa maana na kwa taarifa tu wanachadema wanakipenda mno chama chao zaidi ya Lissu. Wapo tayari kurekebisha kasoro zinazowakwaza wakiwa ndani chadema ila sio kutoka.
Kwanza wakitoka wanaenda wapi? ACT ? NCCR? CUF? Hawana pakwenda. Kupata chama ghafla ghafla wakiamini na kukipenda kama chama chao chadema sio kazi rahisi. Kwa hiyo wapo sana na wanajiandaa kuongozwa na Mbowe iwe wanataka au hawataki.
Tuendeleee kusubiri kishindo cha Mbowe, bado ananoa bisu lake.
Heri ya mwaka mpya!
Uliongea nao wakakuhakikishia hilo?Kuna mashabiki na wanachama wamekuwa wakitishia kwamba endapo Lissu hatokuwa mwenyekiti wa Chadema basi wataondoka nae kwenye chama.
Wanapiga mikwala hiyo ili kushinikiza Mbowe amuachie kiti Lissu au wajumbe waingie hofu kwamba kumchagua jemedari wao the one and only Mbowe itasababisha chama kupasuka na kufa.
Ni hivi hakuna mtu yoyote wa Chadema anaweza kuondoka sababu ya Lissu. Lissu zaidi ya kuropoka hana ushawishi wowote wa maana na kwa taarifa tu wanachadema wanakipenda mno chama chao zaidi ya Lissu. Wapo tayari kurekebisha kasoro zinazowakwaza wakiwa ndani chadema ila sio kutoka.
Kwanza wakitoka wanaenda wapi? ACT ? NCCR? CUF? Hawana pakwenda. Kupata chama ghafla ghafla wakiamini na kukipenda kama chama chao chadema sio kazi rahisi. Kwa hiyo wapo sana na wanajiandaa kuongozwa na Mbowe iwe wanataka au hawataki.
Tuendeleee kusubiri kishindo cha Mbowe, bado ananoa bisu lake.
Heri ya mwaka mpya!
Wangejitokeza wengi ila kitendo cha Mbowe kuchukua fomu wengi wameogopa kuitwa wasaliti. Ndio maana tulitamani apisheChdm this time mko offside...hamueleweki, mnyukano wenu utadhani ni vyama viwili tofauti..siwaelewi na sidhani kama mnaeleweka..waliochukua form za uenyekiti naona wote hawafai kwa maoni niyaonayo humu..bora angetokeaga mwingine tofauti na hawa..kisha apate hio nafasi..ili Mbowe na TL wote wakae pembeni
Hao wanachama ni chumia tumbo kama Lissu mwenyewe maana Lissu sasa hivi anatumiwa na ccm kukidhoofisha chama.Kuna mashabiki na wanachama wamekuwa wakitishia kwamba endapo Lissu hatokuwa mwenyekiti wa Chadema basi wataondoka nae kwenye chama.
Wanapiga mikwala hiyo ili kushinikiza Mbowe amuachie kiti Lissu au wajumbe waingie hofu kwamba kumchagua jemedari wao the one and only Mbowe itasababisha chama kupasuka na kufa.
Ni hivi hakuna mtu yoyote wa Chadema anaweza kuondoka sababu ya Lissu. Lissu zaidi ya kuropoka hana ushawishi wowote wa maana na kwa taarifa tu wanachadema wanakipenda mno chama chao zaidi ya Lissu. Wapo tayari kurekebisha kasoro zinazowakwaza wakiwa ndani chadema ila sio kutoka.
Kwanza wakitoka wanaenda wapi? ACT ? NCCR? CUF? Hawana pakwenda. Kupata chama ghafla ghafla wakiamini na kukipenda kama chama chao chadema sio kazi rahisi. Kwa hiyo wapo sana na wanajiandaa kuongozwa na Mbowe iwe wanataka au hawataki.
Tuendeleee kusubiri kishindo cha Mbowe, bado ananoa bisu lake.
Heri ya mwaka mpya!
SawaaHauna pakwenda. Chadema ni chama kubwa
Ndiyo sisi na pia ni wapiga kuraUliongea nao wakakuhakikishia hilo?
Chadema haitakufa kama TLP, Itaendelea kubaki ila kwa umma itakuwa imepoteaHauna pakwenda. Chadema ni chama kubwa