Wewe huna ata uwezo wakujua kesho yako itakuaje unawezaje kujua yatakayoikuta hii nchi miezi mitatu ijayo.Lolote kinawezekana chini ya jua.Lissu hawezi kishinda uchaguzi!..Kura zake hazitazidi hata 10% ya wapiga kura! .Tuache kuota ndoto na kujipa matumaini hewa.Yaan hata wapinzani waungane wote hawawezi battle na JPM halipingiki Hilo, yule ni kisiki cha mpingo hawamuwezi!. Hii ni kwa sababu alioyoyafanya yanaonekana kwa macho, mpaka sasa sijaona hoja yoyoye ya maana aliotoa lissu zaidi ya kua attack mtu tu !.
Haitafutwa itajifuta yenyewe...... first and foremost CCM ifutwe halafu mengine yaendelee.
Lissu hawezi kishinda uchaguzi!..Kura zake hazitazidi hata 10% ya wapiga kura! .Tuache kuota ndoto na kujipa matumaini hewa.Yaan hata wapinzani waungane wote hawawezi battle na JPM halipingiki Hilo, yule ni kisiki cha mpingo hawamuwezi!. Hii ni kwa sababu alioyoyafanya yanaonekana kwa macho, mpaka sasa sijaona hoja yoyoye ya maana aliotoa lissu zaidi ya kua attack mtu tu !.
Wasted sperm...Lissu hawezi kishinda uchaguzi!..Kura zake hazitazidi hata 10% ya wapiga kura! .Tuache kuota ndoto na kujipa matumaini hewa.Yaan hata wapinzani waungane wote hawawezi battle na JPM halipingiki Hilo, yule ni kisiki cha mpingo hawamuwezi!. Hii ni kwa sababu alioyoyafanya yanaonekana kwa macho, mpaka sasa sijaona hoja yoyoye ya maana aliotoa lissu zaidi ya kua attack mtu tu !.
Kwani Ccm inaongoza nchi kwa sera gani za tofauti nazavyama vingine.Ccm iko madarakani sio kwasababu ya sera bora au ubora wa viongozi wake bali kwasababu yakurithi nchi toka kipindi cha uhuru.Nahiyo ndio advantage pekee waliyonayo na wanayoendelea kuitumia.Yaani CCM kiwaze kuwa chama cha upinzani?? Kwa sera zipi?? Kwa mikakati ipi mliyonayo ninyi wapinzani?.Mnafikili kushika dola ni kama kuokota embe dodo!
Hii ni Tanzania.........huyo Yahaya hajulikani anaishi wapiYahya jameih alimiliki tume na tume hio hio ndo ikamtangaza Barrow mshindi,kumiliki tume sio kumiliki akili za watu.
hii ni dotcom na sio zama za ujima za zidumu fikra za mwalimu sio kila siku ni jpiliHii ni Tanzania.........huyo Yahaya hajulikani anaishi wapi
We subiri oct ndo utajua hao timamu wako upande upi.kwani ndugu zake ccm mfano KANU nk walishindwa vipi kuendeleea,anga limeshaikataa ccm.
kama ameumiza na kusomesha wengi namba kwann asiisome nae october.
kuna mtz yeyeto mwenye akili timamu atachagua kuteswaa tena 5 yrs
kafanya mambo gani? ajira?Lissu hawezi kishinda uchaguzi!..Kura zake hazitazidi hata 10% ya wapiga kura! .Tuache kuota ndoto na kujipa matumaini hewa.Yaan hata wapinzani waungane wote hawawezi battle na JPM halipingiki Hilo, yule ni kisiki cha mpingo hawamuwezi!. Hii ni kwa sababu alioyoyafanya yanaonekana kwa macho, mpaka sasa sijaona hoja yoyoye ya maana aliotoa lissu zaidi ya kua attack mtu tu !.
kwa makundi yepi kwenye jamii atawashawishi ili waendelee kuteswa tena.
Lisu ana roho kama ya Mandela atawasamehe wote kama Mandela alivyowasamehe wabaya wake woteNawaza kwa mfano Lissu akishinda 2020 sijui watu wengine wataweka wapi sura zao.
Hawa wasanii wetu ambao kila kukicha wana nyimbo za kumsifu na kusherekea uongozi wake sijui na wao wataweka wapi sura.
Na wananchi wenye mawazo negative kuwa CCM haiwezi toka madarakani sijui na wao watasemaje.
CCM wakienda kuomba omba misaada ulaya huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga wa CCM huwaita mabeberu utazani CCM ni mbuzi jikeLissu akishinda mabeberu yatakuja kwa fujo.. wa tanzania tutageuzwa mbuzi jike na ma beberu
Usije na mifano ya kenya twende na ya Malawi sasaNdoto ya mchana kweupe. Ninawambiaga watu wajifunze kutoka kwa Miguna Miguna wa Kenya. Kelele nyingi bila ubora.
Haya maneno yenu hayakuanza leo, hao wananchi wanaoteswa na huu utawala na wasioteswa watajulikana mwishoni mwa oct.kwa makundi yepi kwenye jamii atawashawishi ili waendelee kuteswa tena.
kipi kipya zaidi ya sgr,mabeberu,flyoverHaya maneno yenu hayakuanza leo, hao wananchi wanaoteswa na huu utawala na wasioteswa watajulikana mwishoni mwa oct.
Ni jambo la kuvuta subira tu watu wapo jikoni wanaandaa chakula cha akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haitakaa itokee kwako kwa sababu, Wewe hautashiriki furaha ya Mageuzi yatayojitokeza, Tupishe sisi Wanamageuzi Tufurahie Mageuzi ya Umma.Haitakaa itokeee
Kweli kabisa.CCM wakienda kuomba omba misaada ulaya huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga wa CCM huwaita mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike