Yaapo mengi sana, sasa hivi kila eneo kuna mradi au miradi iwe ujenzi wa kituo cha afya, maji, barabara na n.kkipi kipya zaidi ya sgr,mabeberu,flyover
Chadema mjuaje kujifariji!!!! Yaani hadi mnatia huruma ya kweli.But hii inawasaidia kuondoa stressAmini nakuaminia, Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025 ni Tundu Antipas Lissu.
Na kwa kukuhakikishia, Magufuli anaenda kukanwa na wenye CCM yao mwaka huu.
Halipendwi na wananchi!Ushawai kuona wapi wananchi wanafurahia tetesi za Raisi wao kufariki??? Alafu leo unauliza huo umma utatoka wapi???
Na bado , mwaka huu ndo mtaona picha halisi za watanzania. Ndo mtaona matunda hasa ya kupiga watu risasi na kuwabambikia makesi, ndo mtaona matunda ya kuharibu uchumi na kutengeneza majobless wengi!!
Titawafuta wale waliopitishwa bila kupingwa uchaguzi urudiweNawaza kwa mfano Lissu akishinda 2020 sijui watu wengine wataweka wapi sura zao.
Hawa wasanii wetu ambao kila kukicha wana nyimbo za kumsifu na kusherekea uongozi wake sijui na wao wataweka wapi sura.
Na wananchi wenye mawazo negative kuwa CCM haiwezi toka madarakani sijui na wao watasemaje.
Wasanii kama walivyo watanzania wengi na maaskofu uchwara kama gwajima huwa hawana aibu kukana misimamo yao ya siku chache nyuma.Nawaza kwa mfano Lissu akishinda 2020 sijui watu wengine wataweka wapi sura zao.
Hawa wasanii wetu ambao kila kukicha wana nyimbo za kumsifu na kusherekea uongozi wake sijui na wao wataweka wapi sura.
Na wananchi wenye mawazo negative kuwa CCM haiwezi toka madarakani sijui na wao watasemaje.
Lissu hawezi kishinda uchaguzi!..Kura zake hazitazidi hata 10% ya wapiga kura! .Tuache kuota ndoto na kujipa matumaini hewa.Yaan hata wapinzani waungane wote hawawezi battle na JPM halipingiki Hilo, yule ni kisiki cha mpingo hawamuwezi!. Hii ni kwa sababu alioyoyafanya yanaonekana kwa macho, mpaka sasa sijaona hoja yoyoye ya maana aliotoa lissu zaidi ya kua attack mtu tu !.
Kutatokea vifo vingi sana vya gafla.amini hivyo.Nawaza kwa mfano Lissu akishinda 2020 sijui watu wengine wataweka wapi sura zao.
Hawa wasanii wetu ambao kila kukicha wana nyimbo za kumsifu na kusherekea uongozi wake sijui na wao wataweka wapi sura.
Na wananchi wenye mawazo negative kuwa CCM haiwezi toka madarakani sijui na wao watasemaje.
wewe jipe matumaini tu kama magufuli anakubarika kwanini anatumia vyombo vya ulinzi na tume ya uchaguzi kumubeba. aachi wananchi wanao mkubali wachaguwe tuone kama atambulia hata kura milioni moja. miaka mitano yote imeisha akilazimisha kila mtu aimbe pambio za kumsifu yeye pekee. chakushangaza mpaka leo hawezi kuitisha mkutano bila wasaniii na watu kubebwa kwenye malori ili aweze kujaza watu wakati mpizani wake aliye kuwa kwenye kitanda cha hospital anajazaa watu bila hata mziki wala chombo cha habari kutangaza .Lissu hawezi kishinda uchaguzi!..Kura zake hazitazidi hata 10% ya wapiga kura! .Tuache kuota ndoto na kujipa matumaini hewa.Yaan hata wapinzani waungane wote hawawezi battle na JPM halipingiki Hilo, yule ni kisiki cha mpingo hawamuwezi!. Hii ni kwa sababu alioyoyafanya yanaonekana kwa macho, mpaka sasa sijaona hoja yoyoye ya maana aliotoa lissu zaidi ya kua attack mtu tu !.
Bado kidogo utaanza kuokota makopoNawaza kwa mfano Lissu akishinda 2020 sijui watu wengine wataweka wapi sura zao.
Hawa wasanii wetu ambao kila kukicha wana nyimbo za kumsifu na kusherekea uongozi wake sijui na wao wataweka wapi sura.
Na wananchi wenye mawazo negative kuwa CCM haiwezi toka madarakani sijui na wao watasemaje.
Dah!Ndoa za jinsia moja zitashamiri
hata kwa mfano tu haendani na hawezi kuaNawaza kwa mfano Lissu akishinda 2020 sijui watu wengine wataweka wapi sura zao.
Hawa wasanii wetu ambao kila kukicha wana nyimbo za kumsifu na kusherekea uongozi wake sijui na wao wataweka wapi sura.
Na wananchi wenye mawazo negative kuwa CCM haiwezi toka madarakani sijui na wao watasemaje.