Uchaguzi 2020 Lissu akishinda uchaguzi sijui itakuwaje!

Uchaguzi 2020 Lissu akishinda uchaguzi sijui itakuwaje!

Hawezi kwa sababu.. hana cha kumpa cheo hicho.. aendelee tukuwa mwanaharakati.. mdaku..mpiga domo.. mpenda kupewa pesa na mabeberu.. msutaji.. n.k.
 
Amini nakuaminia, Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025 ni Tundu Antipas Lissu.
Na kwa kukuhakikishia, Magufuli anaenda kukanwa na wenye CCM yao mwaka huu.
Chadema mjuaje kujifariji!!!! Yaani hadi mnatia huruma ya kweli.But hii inawasaidia kuondoa stress
 
Ushawai kuona wapi wananchi wanafurahia tetesi za Raisi wao kufariki??? Alafu leo unauliza huo umma utatoka wapi???

Na bado , mwaka huu ndo mtaona picha halisi za watanzania. Ndo mtaona matunda hasa ya kupiga watu risasi na kuwabambikia makesi, ndo mtaona matunda ya kuharibu uchumi na kutengeneza majobless wengi!!
Halipendwi na wananchi!
 
Hakutakuwa na namna nyingine , kama ilivyo kuwa kwa marais wengine nchi zilizo badili mifumo ya utawala!
 
Hapa ni ndoto za kila namna utafikiri imepita shibe kali ya “ubwabwa” wa Mzee Spunda.
 
Nawaza kwa mfano Lissu akishinda 2020 sijui watu wengine wataweka wapi sura zao.

Hawa wasanii wetu ambao kila kukicha wana nyimbo za kumsifu na kusherekea uongozi wake sijui na wao wataweka wapi sura.

Na wananchi wenye mawazo negative kuwa CCM haiwezi toka madarakani sijui na wao watasemaje.
Titawafuta wale waliopitishwa bila kupingwa uchaguzi urudiwe
 
Hahaha hawa ni wasanii kile ni sehemu ya kazi zao kinaitwa Chama cha music (ccm).
 
Kampeni zinaanza kesho Ila Leo mtaani kulikuwa na kasheshe kijani full mbwembwe kama zote Ila sijui Lissu akishinda watasemaje[emoji23][emoji23] Kampeni za CCM lazima wajaze watu kwasababu wanatembea na wasanii
 
Nawaza kwa mfano Lissu akishinda 2020 sijui watu wengine wataweka wapi sura zao.

Hawa wasanii wetu ambao kila kukicha wana nyimbo za kumsifu na kusherekea uongozi wake sijui na wao wataweka wapi sura.

Na wananchi wenye mawazo negative kuwa CCM haiwezi toka madarakani sijui na wao watasemaje.
Wasanii kama walivyo watanzania wengi na maaskofu uchwara kama gwajima huwa hawana aibu kukana misimamo yao ya siku chache nyuma.

Usishangae Diamond akianza kutafuta fundi amshonee gwanda.
 
Lissu hawezi kishinda uchaguzi!..Kura zake hazitazidi hata 10% ya wapiga kura! .Tuache kuota ndoto na kujipa matumaini hewa.Yaan hata wapinzani waungane wote hawawezi battle na JPM halipingiki Hilo, yule ni kisiki cha mpingo hawamuwezi!. Hii ni kwa sababu alioyoyafanya yanaonekana kwa macho, mpaka sasa sijaona hoja yoyoye ya maana aliotoa lissu zaidi ya kua attack mtu tu !.

Umesahau kwamba ulipiga ramli kuwa hawezi kurudi TZ akarudi ukasema hata akirudi atakamatwa hajakamatwa ukasema hata akichukuwa fomu hatapitishwa sasa amepitishwa endelea kusema ila matokeo ya kila hatua unayaona
 
Nawaza kwa mfano Lissu akishinda 2020 sijui watu wengine wataweka wapi sura zao.

Hawa wasanii wetu ambao kila kukicha wana nyimbo za kumsifu na kusherekea uongozi wake sijui na wao wataweka wapi sura.

Na wananchi wenye mawazo negative kuwa CCM haiwezi toka madarakani sijui na wao watasemaje.
Kutatokea vifo vingi sana vya gafla.amini hivyo.
 
Lissu hawezi kishinda uchaguzi!..Kura zake hazitazidi hata 10% ya wapiga kura! .Tuache kuota ndoto na kujipa matumaini hewa.Yaan hata wapinzani waungane wote hawawezi battle na JPM halipingiki Hilo, yule ni kisiki cha mpingo hawamuwezi!. Hii ni kwa sababu alioyoyafanya yanaonekana kwa macho, mpaka sasa sijaona hoja yoyoye ya maana aliotoa lissu zaidi ya kua attack mtu tu !.
wewe jipe matumaini tu kama magufuli anakubarika kwanini anatumia vyombo vya ulinzi na tume ya uchaguzi kumubeba. aachi wananchi wanao mkubali wachaguwe tuone kama atambulia hata kura milioni moja. miaka mitano yote imeisha akilazimisha kila mtu aimbe pambio za kumsifu yeye pekee. chakushangaza mpaka leo hawezi kuitisha mkutano bila wasaniii na watu kubebwa kwenye malori ili aweze kujaza watu wakati mpizani wake aliye kuwa kwenye kitanda cha hospital anajazaa watu bila hata mziki wala chombo cha habari kutangaza .
 
Nahisi kuna watu washaandaa visa kabisa mapema
 
Nawaza kwa mfano Lissu akishinda 2020 sijui watu wengine wataweka wapi sura zao.

Hawa wasanii wetu ambao kila kukicha wana nyimbo za kumsifu na kusherekea uongozi wake sijui na wao wataweka wapi sura.

Na wananchi wenye mawazo negative kuwa CCM haiwezi toka madarakani sijui na wao watasemaje.
Bado kidogo utaanza kuokota makopo
 
Labda ashinde njaa lakini uchaguzi lissu hawezi kushinda. Hana ushawishi.
 
Nawaza kwa mfano Lissu akishinda 2020 sijui watu wengine wataweka wapi sura zao.

Hawa wasanii wetu ambao kila kukicha wana nyimbo za kumsifu na kusherekea uongozi wake sijui na wao wataweka wapi sura.

Na wananchi wenye mawazo negative kuwa CCM haiwezi toka madarakani sijui na wao watasemaje.
hata kwa mfano tu haendani na hawezi kua
 
Back
Top Bottom