Uzuri wa hii nchi hata usipokuwa raisi wa nchi utakua raisi wa mioyo ya watanzania,kuna mmoja wa mioyo ya watu bado anaendelea kumaliza muda wake,hata kwa Lisu itakua hivyo hivyo.
Uzuriwa hii nchi hata usipokuwa raisi wa nchi utakua raisi wa mioyo ya watanzania,kuna mmoja wa mipyo ya watu bado anaendelea kumaliza muda wake,hata kwa Lisu itakua hivyo hivyo.
Naamini Lisu akiingia madarakani atawatoa kina Tito Magoti...mwe inaniumaga hii ishu na ya Kabendera...dah..duniani Kuna watu Wana roho za kichawi Sana jamani!..Rip Mama kabendera