Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata angepanda juu ya jiwe au mabegani mwa mtu,kinachopaswa ni ujumbe ufike loud and clear.Maeneo ya vijijini ambako serikali ya CCM imeshindwa kuinua uchumi wa watu na kupaemdeleza ulitegemea ukute maturubai au majukwaa ya vyuma?Hujui kusoma mazingira?Hapo sina mengi. Embu jaribuni kuangalia kwa makini picha hizo hapo chin.
Wamemuwekea kichanja, badala ya jukwaa.
Na akahutubia.Ametisha sana
Hata angepanda juu ya jiwe au mabegani mwa mtu, kinachopaswa ni ujumbe ufike loud and clear.Maeneo ya vijijini ambako serikali ya CCM imeshindwa kuinua uchumi wa watu na kupaemdeleza ulitegemea ukute maturubai au majukwaa ya vyuma?Hujui kusoma mazingira?
Una uhakika na ulichokiandika au umeshashiba kimela kilichovundikwa.Unajua tofauti ya watu wa kadiri na hakukuwa na watu?Kwani wao hawakuwa watu?Punguza ujuaji hadi unaonesha umekula nini kwenye magego.Bora hata kungekuwa na watu. Walikuwepo wenyewe tu. Bila wananchi au wanakijiji unaowasema.
Sasa bro hapo kadikisha ujumbe kwa hadhira gani!?Una uhakika na ulichokiandika au umeshashiba kimela kilichovundikwa.Unajua tofauti ya watu wa kadiri na hakukuwa na watu?Kwani wao hawakuwa watu?Punguza ujuaji hadi unaonesha umekula nini kwenye magego.
Tumia akili chache ulizojaaliwa kupata utotoni mwako.Umemuona anaangalia wapi?Mtu akitaka kuhutubia watu huwa anawageuzia mgongo?Tazama huyu!
Na yupo mjini anaandaa maboksi yake akalaze fuvu lake kwenye vibaraza vya Kariakoo.Naona Wapumbavu wamepata kitu Cha kujifariji nacho
Very shallow mindedNaona Wapumbavu wamepata kitu Cha kujifariji nacho
Akili ndogo hujadili hayo, akili kubwa hujadili contentKuna Maudhui, hadhira na maharishi. Sasa hilo la pili limekuwa changamoto kwenye mkutano huu.
Mnyika na Mrema wanapaswa kujitokeza na kutoa kauli thabiti ya kukemea kuhusu upotoshaji unaofanywa kuhusu mgogoro ambao unasemwa kuwa unafukuta ndani ya CDM. Hivi karibuni imetokea tabia za uzushi na upotoshaji wa makusudi kuhusu kila anachokifanya Lissu.Hapo sina mengi. Embu jaribuni kuangalia kwa makini picha hizo hapo chin.
Wamemuwekea kichanja, badala ya jukwaa.
View attachment 2630447
Na wewe unaaamini?Tusivamie mleta hoja, bali tuivamie hoja.
Embu angalia hadhira anayoongea nayo.
View attachment 2630455
"Hapo sina mengi. Embu jaribuni kuangalia kwa makini picha hizo hapo chin.Hapo sina mengi. Embu jaribuni kuangalia kwa makini picha hizo hapo chin.
Wamemuwekea kichanja, badala ya jukwaa.
View attachment 2630447
View attachment 2630451
View attachment 2630453