Lissu akiwa kwenye jukwaa la mabanzi (Kichanja)

Lissu akiwa kwenye jukwaa la mabanzi (Kichanja)

Very shallow minded

1684693581810.png
 
Ametisha sana
Nikuulize wewe, Mwalimu Nyerere aliwahi kutumia jukwaa la aina hiyo hata nyakati zile za kudai uhuru?

Hii ni zaidi ya miaka 60 tokea tumetoka huko.
Hizi ni ishara tosha kabisa kwamba chi yetu hii itatuchukua miaka mingi sana kupata mabadiliko yaliyo tofauti na huko tulikoanzia.

Haiti (nchi moja huko bara la Marekani kusini), na haiko mbali sana na vinara wa maendeleo makubwa duniani), wao nao walipata uhuru wao toka Ufaransa miaka mingi sana, zaidi ya 100; lakini hali yao leo hii hatofautiani sana na huko walikoanzia baada ya kupata uhuru wao.

Kama tutaendelea kuwa na viongozi wa aina tuliyonayo sasa, tusiwe na matumaini ya mabadiliko dhidi ya haya tunayoyaona kwa mfano huu wa haya majukwaa ya Lissu. Hiki ni kielelezo tu kidogo kuhusu hali zetu duni huko vijijini.
 
Nikuulize wewe, Mwalimu Nyerere aliwahi kutumia jukwaa la aina hiyo hata nyakati zile za kudai uhuru?

Hii ni zaidi ya miaka 60 tokea tumetoka huko.
Hizi ni ishara tosha kabisa kwamba chi yetu hii itatuchukua miaka mingi sana kupata mabadiliko yaliyo tofauti na huko tulikoanzia.

Haiti (nchi moja huko bara la Marekani kusini), na haiko mbali sana na vinara wa maendeleo makubwa duniani), wao nao walipata uhuru wao toka Ufaransa miaka mingi sana, zaidi ya 100; lakini hali yao leo hii hatofautiani sana na huko walikoanzia baada ya kupata uhuru wao.

Kama tutaendelea kuwa na viongozi wa aina tuliyonayo sasa, tusiwe na matumaini ya mabadiliko dhidi ya haya tunayoyaona kwa mfano huu wa haya majukwaa ya Lissu. Hiki ni kielelezo tu kidogo kuhusu hali zetu duni huko vijijini.
Nimeambiwa hilo siyo Jukwaa ni Kizimba cha Mahakama ya Jadi

Nimeshangaa sana
 
Angeanguka hapo na kuvunjika miguu hilo tukio lingekuwa sawa tu na lile la dodoma
 
Hata angepanda juu ya jiwe au mabegani mwa mtu,kinachopaswa ni ujumbe ufike loud and clear.Maeneo ya vijijini ambako serikali ya CCM imeshindwa kuinua uchumi wa watu na kupaemdeleza ulitegemea ukute maturubai au majukwaa ya vyuma?Hujui kusoma mazingira?
Umesomeka mkuu.
 
Una uhakika na ulichokiandika au umeshashiba kimela kilichovundikwa.Unajua tofauti ya watu wa kadiri na hakukuwa na watu?Kwani wao hawakuwa watu?Punguza ujuaji hadi unaonesha umekula nini kwenye magego.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom