Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Katika ziara yake ya Mbeya, mheshimiwa Tundu Lissu amekemea vikali unyanyaswaji wa wafanyabiashara nchini kupitia TRA. Amesema TRA inapelekea biashara nyingi kufa na hivyo haisaidii biashara kukua
Wakati huohuo Tundu Lissu amelaani mtindo wa vitambulisho vya wamachinga vinavyouzwa shilingi 20000 na akasema hivyo vitambulisho havipo kwa mujibu wa sheria.
Huku akishangiliwa sana, Lissu amesema hayo mambo mwisho wake ni tarehe 28 October mwaka huu pale ambapo Magufuli atang'olewa madarakani.
Kwa taarifa zaidi unaweza kumsikiliza hapa chini:
Wakati huohuo Tundu Lissu amelaani mtindo wa vitambulisho vya wamachinga vinavyouzwa shilingi 20000 na akasema hivyo vitambulisho havipo kwa mujibu wa sheria.
Huku akishangiliwa sana, Lissu amesema hayo mambo mwisho wake ni tarehe 28 October mwaka huu pale ambapo Magufuli atang'olewa madarakani.
Kwa taarifa zaidi unaweza kumsikiliza hapa chini: