Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Leo ndio nimeamini Lissu ni chizi kabisa! Hawa wanachinga walikuwa wanalipa kila siku miatano ...hahaha yani leo hii wanalipa 20000 kwa mwaka anasema ni utaratibu mbaya hahahaha eti haupo kisheria...
Shida ya Lissu anaongea sana bila kutafakari kweli vitambulisho havipo kisheria?
Shida ya Lissu anaongea sana bila kutafakari kweli vitambulisho havipo kisheria?