Hapo Mbeya manispaa ya Mbeya ikiwa Chini ya Chadema wafanyabiashara ndogo walikuwa wakipigwa mateke na mgambo wa jiji kudaiwa of na kuvurumishwa huki na huku hivyo vitambulisho ndivyo vikiwaokoa na kipigo Cha mgambo wa jiji chini ya meya wa Chadema
Lisu alitaka wabaki bila vitambulisho ili mgambo waendelee kuwapiga mateke